mchina mweusi
Member
- Mar 1, 2012
- 47
- 11
we nape uwe unatumia akili kijana,,,kwani tukiweka majina ndo tunabadilisha maada iliyopo??AU NDO UNAPOTEZEA??:A S thumbs_down:
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
Aaah afadhali we umesema ukweli! M4C ni kwa ajili ya kukusanya chenji ya walalahoi. Inasikitisha kuwa hamuwaonei huruma watu wanahangaika kujitafutia kipato nyie mwaja kukusanya vijisenti vyao! Wizi mkubwa.
Sisi tunatoa 'willingly' kwa ajili ya kazi ya ukombozi wetu na vizazi vyetu. Wezi ni nyie mnaokula kodi zetu through EPA, Richmond, Meremeta..(the list goes on) then mnakuja kutukebehi na kanga na T.shirt. Shame on you gghhrrrr!!!
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
Kaka si kwamba akina Faiza Fox hawana akili kabisa kwa jinsi unavyowafikiria, lakini kwa kitu kama hii ya leo watakuja kutetea nini! Nao wakati mwingine huwa zinakuwepo kichwani.Duh mh Nape bajeti ya kuwalipa watetezi wako imekata au?au umeshtuka kuwa ni wanafiki?hapa simuoni mafilili,kiboko yenu,rejao wala ma fox,unapambana peke yako mkuu!!sio dalili nzuri ninayoiona upande wako.
Duh hata balozi wa nyumba kumi, angepata watu zaidi ya hawa labda angezidiwa magari....
Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.
Hatimae umeikubalia ID yako, wewe ni mnafiki tu, mwanaume gani unajichubua kama shoga....hivi tukiitwa wanaumea na wewe utatoka?Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
Nnauye Jr a.k.a nape hebu jaribu kuongea kama katibu muenezi.Aaah afadhali we umesema ukweli! M4C ni kwa ajili ya kukusanya chenji ya walalahoi. Inasikitisha kuwa hamuwaonei huruma watu wanahangaika kujitafutia kipato nyie mwaja kukusanya vijisenti vyao! Wizi mkubwa.
UOTE=Daudi mchambuzi;4001293]
I can see Nape with crocodile smile.
Nafurahi sana kuona ccm inavyokufa mikononi mwake kwani layman solutions anazozitumia zitakumbukwa siku ya mazishi na yeye pia atakumbukwa kuwa ndiye mshiriki mkubwa ktk mauaji haya ya marehemu ccm.
Napendekeza kwenye team yao asikosekane Lowasa, Mwakyembe, Sita, Nape, Membe........Mheshimiwa Nnauye Jr usikate tamaa endelea kuimarisha uhai wa chama tawala. Wapinzani wako wanakwenda kwenye uwanja wa mapambano kama "team" ikijumuisha mtendaji mkuu (Katibu Mkuu) na wabunge wao; wewe mbona kama wamekuacha peke yako "Front line"?
Too Low ... Bro fanya vitu vya msingi, uchumi unaporomoka, ajira hakuna, gharama za maisha zinazidi kupanda.. Sekta ya afya hovyo, elimu hovyo almost kila kitu hovyo hovyo.. We unahangaika na kujikosha kwa wingi wa watu???
Leteni maendeleo kwa watu, acheni ufisadi, fateni utawala wa sheria, futeni viti maalum, ondoeni upendeleo, futeni ukuu wa wilaya na mikoa, wekezeni katika elimu na afya, lindeni raslimali.. Tutawaunga Mkono, ila kama mtaendelea kutukandamiza, na sisi tutawasagasaga, wananchi tuna hasira. Maneno kama haya hayafai kwa mtu kama wewe. All the best
Okey! Embu tuongee mambo ya msingi. Hivi swala la chama kujivua gamba kwa EL na CH limeishia wapi?
Wajanja walishajua kwamba halifiki 2015 wamewaachia Mazoba tu ambao wamebaki kuwa Matomaso mpaka waone CCM ikiingia kaburini. Ndo maana wengi hawampi ushirikiano wamesha-switch mind zao kwa CDM 2015, hata huyo jamaa analijua hilo. Halafu anatawanya nguvu zake sana, mara kwa Lowasa na Chenge, mara kwa Maige, ambao tayari ameshawashindwa.Mheshimiwa Nnauye Jr usikate tamaa endelea kuimarisha uhai wa chama tawala. Wapinzani wako wanakwenda kwenye uwanja wa mapambano kama "team" ikijumuisha mtendaji mkuu (Katibu Mkuu) na wabunge wao; wewe mbona kama wamekuacha peke yako "Front line"?
Wajanja walishajua kwamba halifiki 2015 wamewaachia Mazoba tu ambao wamebaki kuwa Matomaso mpaka waone CCM ikiingia kaburini. Ndo maana wengi hawampi ushirikiano wamesha-switch mind zao kwa CDM 2015, hata huyo jamaa analijua hilo. Halafu anatawanya nguvu zake sana, mara kwa Lowasa na Chenge, mara kwa Maige, ambao tayari ameshawashindwa.Mheshimiwa Nnauye Jr usikate tamaa endelea kuimarisha uhai wa chama tawala. Wapinzani wako wanakwenda kwenye uwanja wa mapambano kama "team" ikijumuisha mtendaji mkuu (Katibu Mkuu) na wabunge wao; wewe mbona kama wamekuacha peke yako "Front line"?
Wajanja walishajua kwamba halifiki 2015 wamewaachia Mazoba tu ambao wamebaki kuwa Matomaso mpaka waone CCM ikiingia kaburini. Ndo maana wengi hawampi ushirikiano wamesha-switch mind zao kwa CDM 2015, hata huyo jamaa analijua hilo. Halafu anatawanya nguvu zake sana, mara kwa Lowasa na Chenge, mara kwa Maige, ambao tayari ameshawashindwa.
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
Kwa vijana wa CCM Mwigulu is Smart,Mzee Mkama hakukosea aliposema Nape hovyo na akamsifia Mwigulu kwamba ni kijana msikivu.Makama kiasi ingawa naye ni mnafiki
Kusisitiza umoja wa wanairamba ni jambo la muhimu, linalonishangaza wewe Mwigulu Lameck Madilu Nchemba kwanini umekwepa kutumia jina lako badala yake umetumia hili la YANGTZE. Hii ni dalili ya kutojiamini na ni old fashioned strategies za propaganda ambazo walisoma akina Lyatonga enzi hizo. Kutokana na dhana ya modus operandi nina uhakika 100% hii kitun umeandika wewe mwenyewe Mwigulu because i know you and your art of writing. Ukiwa kiongozi you have to be bold na kukabili changamoto kwa ujasiri usitafute huruma. Shauri yako 2015 si mbali usijekujuta kuacha kazi BOT
Great thinkers heshima kwenu! Sikuhizi baadhi ya watu wamekua na kasumba ya kutuhumu wengine kwa lengo la kuwapaka matope mbele ya jamii huku wakujua dhahiri kwamba tuhuma hizo nizakuzusha tu. Mimi ni mwana-Iramba na imenilazimu kujibu tuhuma za uongo, zilizotolewa na Patriq kuhusu Mh. Mwigulu Nchemba.
Mimi namashaka sana kama Patriq yuko hapa Iramba, otherwise asingekuja na siasa hizi za majitaka. Personally, nimewasiliana na Mh. Mwigulu na ameonesha kushangazwa sana madai haya. Pamoja na kwamba ilimlazimu Nchemba kujibu madai haya hapa jamvini, lkn bado nimeona nisiliache hili jambo lipite hivi hivi. Mbunge alikuwepo jimboni mwezi April na kama kweli Patriq alikuwepo basi angekua anafahamu hili kwani tuhuma hizi alizitoa tarehe 30 April siku chache baada ya ziara ya mbunge.
Mbunge alifanya ziara katika maeneo yafuatayo:- Tarehe 23/04 alikuja Nganguli na Maluga Tarehe 24/04 alikuwa kitusha na Uwanza Tarehe 25/04 alikuwa Galangala na KBI ambapo alizunguka sokoni akiongea na vijana pamoja na watu wa rika mbalimbali kuhusu njia bora ambayo wangependa kuwezeshwa katika ujasiriamali wao.
Mbunge pamoja na kwamba Chama kimempa majukumu ya kutunza fedha za chama ambayo kwake ni mepesi kutokana na taaluma yake ya uchumi na uzowefu wake pale BOT bado ameendelea kuwa pamoja na wanachi wake na imani yake kwa wana-Iramba bado iko juu.
Sisi wana Iramba kama kweli tunataka maendeleo kwa ajili yetu na vizazi vijavyo basi tuna kila sababu ya kushirikana kwa umoja wetu kuleta maendeleo yetu. Ni wazi tunaweza tukawa na different political Ideologies lakini tusiziruhusu zikatugawa bali tuzitumie kama chachu ya kuongeza kasi ya maendeleo jimboni kwetu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI IRAMBA MAGHARIBI
Mkereketwa wa Maendelo ya Iramba
[/QUOTE]Hahahaa! KUJIDANGANYA WENYEWE NA KUJARIBU KUWADANGANYA WAFADHILI WENU NI SIFA HALISI YA VYAMA VYA WANA HARAKATI.... NA HASA BAADA YA KUONA KUWA UONGO WA MWANZO UNAKOSA MASHIKO. OOOH CCM IMEKUFA!!!NIMEINGIA SONGEA WENYEWE MMEFYATA MKIA KWA MSHANGAO JINSI WATU WALIVYOJITOKEZA MKUTANONI, HALAFU HAKUNA MATUSI SERA TU.
MKAWA MNADANGANYA WATU MNAYO NJOMBE YOTE, MKUTANO WA JANA NJOMBE UMEWAUMBUWA SANA SANA.
MMEBAKI NA DUA LA KUKU, POLENI SANA.
NARUDIA SIWASHANGAI KWANI NDIO TABIA YA VYAMA VYA WANAHARAKATI.
UOTE=Candid Scope;4001152]
Hiyo ndiyo hali halisi ya mikutano ya CCM siku hizi. Inavyoonekana ni viongozi na magari yao na wachache ambao idadi yao inalingana na bendera walizo nazo.
Mkuu Nauye Jr. katika wana CCM wewe ni mmoja wa kuheshimiwa sana. You have to demonstrate political maturity and tolerance. Kumuita Dr. Slaa (Dr wa ukweli) kuwa ni feki, ni ku-stoop too low for your caliber. shape up man! dignify your self by what you do and say!