Mangandula
Senior Member
- Nov 30, 2011
- 184
- 37
Anayejiamini aingie hapa kwa jina lake tuzungumze hoja.Wengine kwasababu ya kuficha ids zenu ndo maana mnaongea hapa. wanaume wazima mnajificha!!! Hamuoni aibu?!!! Mnadhani kwa kejeli na maneno yenu ntakata tamaa!!!! Mnapoteza muda!
lakini mkuu unafahamika kwa kuikana Id yako pindi mambo yakikuendea vibaya, tumeona huko nyuma uliwahi kuiruka Id yako futi 100.