Moseley
Senior Member
- Jul 10, 2010
- 187
- 94
picha na watoto angepiga Mbowe au Dr.wenu feki mngesema cdm mpaka kwa watoto,lakini kapiga Nape basi ooooh!!!!! Ukitaka kuona uendelevu wa zizi, angalia ndama wake!! CCM ipo leo kesho na hata milele!!
Too Low ... Bro fanya vitu vya msingi, uchumi unaporomoka, ajira hakuna, gharama za maisha zinazidi kupanda.. Sekta ya afya hovyo, elimu hovyo almost kila kitu hovyo hovyo.. We unahangaika na kujikosha kwa wingi wa watu???
Leteni maendeleo kwa watu, acheni ufisadi, fateni utawala wa sheria, futeni viti maalum, ondoeni upendeleo, futeni ukuu wa wilaya na mikoa, wekezeni katika elimu na afya, lindeni raslimali.. Tutawaunga Mkono, ila kama mtaendelea kutukandamiza, na sisi tutawasagasaga, wananchi tuna hasira. Maneno kama haya hayafai kwa mtu kama wewe. All the best