Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,921
- 31,161
Mkuu Jasusi nilidhani ni mimi mwenyewe nimeona upungufu huu wa wanasiasa wanaopenda kutumia kila nafasi inayojitokeza kwa faida za kisiasa.
Mimi nashangaa chain of command yetu iko wapi. Lowassa yeye ni nani kuzungumza kwa niaba ya JWTZ? Kamanda in Chief yuko wapi? Yaani Tanzania yetu imeshaparaganyika kiasi kwamba yeyote tu anaweza kuzungumza kwa niaba yake? Suala la vita au kuwa tayari kwa jeshi letu ni kamanda in chief peke yake anayeweza kulizungumzia. When was the last time you saw Lowassa inspecting a guard of honour?
Last edited by a moderator: