Lowassa: Tuko tayari kuingia vitani na Malawi...

Mwana Mpotevu, huu mjadala sio kiboko, hizi ndizo opportunities za kuelimishana ili tuelekee kwenye ukombozi wa kifikra utakaoleta ukombozi wa pili wa Mtanzania.

sorry out of topic
naomba ile list please pm
 
Jamani, huyu Lowassa ameingia madarakani akiwa tajiri tu!!!!!!!!!Kama kaongezea mali basi kaongeza ila hakuwa masikini.

Ila tuseme ukweli tuweke itikadi zetu na vyama vyetu pembeni. Jamani Lowasa ni JEMBE! N i kiongozi ambaye ni tallented, nakumbuka alipokuwa waziri mkuu, alikuwa akienda mahali ziara, watendaji huko wanaharisha, maana waliozembea alikuwa anawaachisha kazi on spot! Nani anaweza haya kwa SIRIKALI yetu hii DHAIFU?? kAMA SIO WAPINZANI BASI NI LOWASSA ingawaje wapo kina Mwakyembe, lakini kwa wanaoonyesha nia yakugombea, kweli Lowassa for Presidency!
Mbona hajaeleza kwa dhati na moyo safi kilichotokea kwenye sakata la Richmond na kumsababisha kujiuzulu kabla hajatimuliwa na bunge?? amebaki kulalamika! hata kama ni mchapa kazi lakini tayari jamii ina shaka nae,.halafu alitajirika kutokana na nini? ni mfanya biashara?? wakati akiwa waziri wa ardhi ndipo alipotajirika huku utajiri wake ukianza alipokuwa mkurugenzi wa AICC ukitaka data za ufisadi wake utapewa,. Majembe safi yasiyo na shaka au doa yapo mengi sana tukiacha ushabiki wa vyama tukatuliza akili tunaweza kupata rais safi na jembe la kweli!
 
sorry out of topic
naomba ile list please pm
The Boss, sorry we have the obligation to maintain "the right to privacy" za watu kama wanafanya mambo yao in private, ila wanaokuwa exposed ni wale tuu wanaofanya privacy zao in public kama wale wanaojianika!. Kwa vile hao wengine nao wanafanya biashara in private tena wengine ni kwa "corporate clients" mpaka mpangaji wa ile nyumba nyeupe!, sio vizuri kuwa expose hata in pm, ili nisiingilie uhuru wa watu na starehe zao!. Hivi hujiulizi kwa nini wengi wa kundi lile wako single na wengine kwa kuwaona tuu kwa macho, utawajua tuu jinsi walivyo macho juu!.
 
The Boss, sorry we have the obligation to maintain "the right to privacy" za watu kama wanafanya mambo yao in private, ila wanaokuwa exposed ni wale tuu wanaofanya privacy zao in public kama wale wanaojianika!. Kwa vile hao wengine nao wanafanya biashara in private tena wengine ni kwa "corporate clients" mpaka mpangaji wa ile nyumba nyeupe!, sio vizuri kuwa expose hata in pm, ili nisiingilie uhuru wa watu na starehe zao!. Hivi hujiulizi kwa nini wengi wa kundi lile wako single na wengine kwa kuwaona tuu kwa macho, utawajua tuu jinsi walivyo macho juu!.

kuna siku ulisema utaweka a thread humu
so hunitendei haki ukininyima
hutavunja haki yao ya privacy ukitumia pm
labda na mimi nina clients wa biashara zao?lol who knows?
 
kuna siku ulisema utaweka a thread humu
so hunitendei haki ukininyima
hutavunja haki yao ya privacy ukitumia pm
labda na mimi nina clients wa biashara zao?lol who knows?
Sorry Boss ila nikupm nitajisikia guilt. Ukija pale eneo, njoo tuu kwenye vile viwanja, utawaona tuu kwa mivao yao, mitembeo yao, mikorogo yao na over make -ups zao huku wakibirigisha mi seductive eyes zao, please just come!.

Hata nanii si alisema hawajui wamiliki wa Richmonduli, au hajui kwa nini Tanzania ni masikini!, na mimi naomba kusema siwajui, ile kutishia kuwataja ilikuwa ni danganya toto!.
 
duuu kweli Serikali ya JEIKEI ni noma hata hii ishu ya walawi nadhani alijisemea ni upepo tu na naona unapita kweli,hakuna cha vita wala nini wajeda wetu walioletwa mpakani warudi tu kula iddi na familia zao,ila usiulize gharama za kuwapeleka tu huko utasikia tumetumia bilioni 400 kulinda mpaka dhidi ya malawi,chezea shimbo na jeikei nini?
 
Ziko nyakati za kuweza kuwaza katika mipaka ya kichama na kubishana kitabaka, ila kwa hili ni wakati wa kuweza kusema kwa sauti moja. Hatupendi na kama kuna jambo la mwisho ni vita, hata hivyo ukiona mwenzio anakula ubuyu anakupiga kokwa jiandae.
 
Sorry Boss ila nikupm nitajisikia guilt. Ukija pale eneo, njoo tuu kwenye vile viwanja, utawaona tuu kwa mivao yao, mitembeo yao, mikorogo yao na over make -ups zao huku wakibirigisha mi seductive eyes zao, please just come!.

Hata nanii si alisema hawajui wamiliki wa Richmonduli, au hajui kwa nini Tanzania ni masikini!, na mimi naomba kusema siwajui, ile kutishia kuwataja ilikuwa ni danganya toto!.

basi niruhusu niku pm
bado still naona u can help me
 
Nchunguzi kwanza tuekewane katika yafuatayo.

1. Amiri Jeshi Mkuu ni mmoja tuu ambaye ndiye mkuu wa Majeshi yetu yote ya Ulinzi na Usalama.
2. Kijeshi chini ya Amiri Jeshi kuna
- CDF-Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi
- CSS- Mkurugenzi wa TISS
- IGP - Mkuu wa Jeshi la Polisi
kuna sub component mbili ya
CPS - Kamishna Mkuu wa Magereza na
CIS - Kamishna Mkuu wa Uhamiaji.
Kila mmoja wa wakuu hao ana comand majeshi yaliyo chini yake. CDF anakomand majeshi na sub components zake za JKT, Airforce na Navy na hawezi
kuwacomand polisi, magereza wala wanausalama na hana mamlaka yoyote ya kumkamata yoyote nje ya comand yake unless ameingia ndani ya teritorial jurisdiction yake kama raia akifanya fujo ndani ya kambi ya jeshi atashughulikiwa na MP na atalazwa Qater Guard!. Vile vile mjeshi asiye Afisa akifanya fujo uraiani polisi wanamshughulikia kama mhalifu mwingine na kuliarifu jeshi husika.

3. Kisiasa juu ya wakuu hao wa majeshi kuna wizara za Ulinzi, usalama na mambo ya ndani ambazo wakuu wa majeshi hawa wanawajibika kwa mawaziri husika hata kama hao mawaziri ni raia!. CDF anampigia saluti waziri wa Ulinzi, IGP anampigia saluti W/Mambo ya ndani etc.

4. Waziri anawajibika kwenye kamati husika ya wizara yake na kamati isipiridhika haiungi mkono bajeji ya wizara husika.

5. Wenyeviti wa kamati husika, wana madaraka kamili ya kuwaita watendaji wowote walio chini ya wizara za kamati hizo!.

6. EL ni M/Kiti wa Kamati ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama hivyo Membe, Waziri wa Ulinzi na CDF wanaweza kuwa summoned mbele ya kamati anytime!.

7. Moja ya kazi za bunge ni kuisimamia serikali kupitia kamati husika, zile bajeti unazosonewa bungeni, zimepitishwa kwanza kwenye kamati husika zikaridhiwa ndipo ukasomewa. Hivyo wabunge ndio wasimamizi wa serikali.

8. Tunahitaji sana kuwaelimisha Watanzania wenzetu kama wewe kuhusu elimu ya uraia ili wananchi wazijue haki zao.

9. Hata rais wa nchi, tunaoaswa kumheshimu kama binadamu mwingine yoyote kwa kustahili utu na heshima ila ni rais anayepaswa kutubyenyekea, sisi ndio tuliomuajiri na kumlipa mshahara wake na akiboronga tunaweza kunfuta kazi!.

10. Tangu tumepata uhuru miaka 50 iliyopita CCM imekuwa ikitutawala huku inaboronga mwaka hadi mwaka na kwa ignorance ya watu wetu, tunaendelea kuichagua tena na tena na inaendelea kuboronga na kuboronga tena na tena na 2015 tutaichagua tena na tena sababu ya watu kama wewe!.

Hapo kwenye bold. Kwa nini unaamua kukosea mpangilio wa jeshi? Nani alipanga hizi unazoita sub components?

Mimi nilikutajia vizuri wewe unazipangua na kupanga upya. Unafahamu ni kwa nini Wizara inaitwa ni ya Ulinzi na JKT? Kwa nini JKT inatajwa pembeni ya Ulinzi?

Kubali tu kwamba hujui mpangilio wa majeshi yetu na vyombo vya usalama. Maana naona unaanza kuiweka TISS kwenye wizara unayoiunda ya usalama na mambo ya ndani.

Hayo uliyoyapanga na kugawa utawala haupo TZ hii. Hiyo ni nchi nyingine kabisa!!*
 
Mzee mamvi alipotangaza kuwa jeshi liko tayari wakati wowote ni kwa ajili ya kuwapeleka watoto wenzake au na wake pia wanakwenda?

Tunataka kuona uzalendo wake kwa kuanza kuwapeleka richard na fredrick lowassa kwanza kwenye mafunzo ya mgambo ili kitapolipuka basi tuwe nao front line na siyo kukimbilia kutangaza vita na kuwatanguliza watoto wa wenzio huku ukiwaficha wa kwako chini ya kitanda.
 
Mwana Mpotevu, huu mjadala sio kiboko, hizi ndizo opportunities za kuelimishana ili tuelekee kwenye ukombozi wa kifikra utakaoleta ukombozi wa pili wa Mtanzania.

Haya Pasco, nimeona elimu unayoitoa mkuu
 
Last edited by a moderator:
PASCO ndiye mkombozi pekee wa JF

Huna mfano kwa uchambuzi wako yakinifu

Baba mtakatibu akuongoze salama kaka yangu
 
Back
Top Bottom