MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,345
- 11,227
Haya ndio maneno aliyoshindwa kusema MEMBE juzi Bungeni. Sielewi nani alimwambia Membe awaite wa Malawi ''WENZETU'' wakati wao wanajiandaa kutupiga kivita.
Tangu lini adui akawa mwenzako?
Mbona unakuwa biased, na haya hapa chini yana tofauti gani na ya Membe
Watanzania na Wamalawi nindugu wa muda mrefu.
Mtu anayemwita adui "mwenzetu" na anayemwita adui ndugu tena wa muda mrefu, what's the difference.