TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
January Makamba alijitafutia Ujiko juzi. Amepewa haki yake lakini sidhani kama atafanya chochote ila kwa maelekezo tu. Lyatonga sidhani kama kuna jipya hapa. Zitto anaweza sana, tunamhitaji.
Kumbe alikuwa ndiyo ameanza kampeni!wanasiasa bwana!they can turn stone into bread,nothing is impossible to them!!