Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
lowasa atatawala makaburi yetu mwaka 2015, kamwe hatakuwa rais wa nchi hii damu zetu bado zikizunguka kwenye mishipa ya arti na veins!!!!!!!!!! never never even on our dead bodies
hahaa ndo rais wako huyo 2015...huyu jamaa ni stratergist sana...Sitta hatakaa amsahau maisha yake yote..alimwambia hata kuwa spika bunge lijalo na kweli ikawa ,,,sasa subiri come back yake 2015