Du ! jamaa woote wamekosa. Hapa mtaani kwetu mimi na jirani yangu tumehamaisha vijana wanafanya usafi barabara zote za mitaani na kupanda maua na miti na kuweka dust bins. Kuchonga bara bara nk.
Mbuzi wa ccm amejificha kama bosi wake.hawa madudu wasituchezee,hatutaki siasa za gizani.asiyekuja mdahalo asichaguliwe,awe buriani(marehemu) au kikwete.wizi mtupu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.