Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,015
- 12,288
Hili ni moja la wazo la kipuuzi kupata kulisikia toka kwa kiongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo.
"Aina za Wabunge wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, kuna aina kadhaa za Wabunge kwa mujibu wa Ibara ya 66(1)(a) na (b) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ambapo ni kama ifuatavyo; Wabunge wa Majimbo, Wabunge wa Viti Maalum, Wabunge watano waliochaguliwa na Baraza la Wawakilishi kutoka miongoni mwao, Mwanasheria Mkuu, Wabunge wasiozidi kumi walioteuliwa na Rais na Spika ikiwa hatachaguliwa miongoni mwa Wabunge, Tunapendekeza Ibara hiyo ifanyiwe marekebisho kwa kuzingatia yafuatayo:
Mapendekezo ya Chadema:
(i)Kuwe na wabunge wawili wa kuchaguliwa kwa kila Jimbo la uchaguzi, Mmoja Mwanaume na Mmoja mwanamke ambao kila mmoja atachaguliwa kwa kura zake kwenye kundi analogombea.
Pia soma
1. Gharama zitazoongezeka endapo hoja ya CHADEMA kuongeza idadi ya wabunge itapita
2. CHADEMA yashambuliwa na kukosolewa kila kona mitaani kwa kupendekeza kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo
"Aina za Wabunge wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, kuna aina kadhaa za Wabunge kwa mujibu wa Ibara ya 66(1)(a) na (b) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano ambapo ni kama ifuatavyo; Wabunge wa Majimbo, Wabunge wa Viti Maalum, Wabunge watano waliochaguliwa na Baraza la Wawakilishi kutoka miongoni mwao, Mwanasheria Mkuu, Wabunge wasiozidi kumi walioteuliwa na Rais na Spika ikiwa hatachaguliwa miongoni mwa Wabunge, Tunapendekeza Ibara hiyo ifanyiwe marekebisho kwa kuzingatia yafuatayo:
Mapendekezo ya Chadema:
(i)Kuwe na wabunge wawili wa kuchaguliwa kwa kila Jimbo la uchaguzi, Mmoja Mwanaume na Mmoja mwanamke ambao kila mmoja atachaguliwa kwa kura zake kwenye kundi analogombea.
Pia soma
1. Gharama zitazoongezeka endapo hoja ya CHADEMA kuongeza idadi ya wabunge itapita
2. CHADEMA yashambuliwa na kukosolewa kila kona mitaani kwa kupendekeza kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo