kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,150
- 16,137
Kiongozi wa mwisho aliyefanya mdahalo kwa kujiamini bila woga alikuwa ni hayati Benjamini Mkapa baada ya hapo waliofuatia wote waliingia mitini na sababu mbali mbali.
Imenikumbusha aibu ya mdahalo wa mchakato majimboni mpaka kupelekea mkurugenzi wa TBC komredi Tido kuvurumishwa na kupewa kesi za ajabu.
Leo hii CCM mnataka mdahalo kwa lipi kwa miradi gani mliokamilisha inayoweza kuwapa jeuri, nchi inakwenda mrama nchi haieleweki.
Naona ni kwenda kutia aibu na kujibu ya majibu yetu pendwa kamuulize mama yako. Ushauri fanyeni mdahalo 2025 ikiwa mmeshakamilisha mengi lakini kwa sasa CHADEMA hana cha kupoteza kesha poteza ila CCM na viongozi wake pia hakuna cha kujivunia ndani ya miaka 2 ni kupuyanga tu kusiko na tija wala muelekeo.
Kifupi CCM bado hakuna la kusema!
Pia soma:
Imenikumbusha aibu ya mdahalo wa mchakato majimboni mpaka kupelekea mkurugenzi wa TBC komredi Tido kuvurumishwa na kupewa kesi za ajabu.
Leo hii CCM mnataka mdahalo kwa lipi kwa miradi gani mliokamilisha inayoweza kuwapa jeuri, nchi inakwenda mrama nchi haieleweki.
Naona ni kwenda kutia aibu na kujibu ya majibu yetu pendwa kamuulize mama yako. Ushauri fanyeni mdahalo 2025 ikiwa mmeshakamilisha mengi lakini kwa sasa CHADEMA hana cha kupoteza kesha poteza ila CCM na viongozi wake pia hakuna cha kujivunia ndani ya miaka 2 ni kupuyanga tu kusiko na tija wala muelekeo.
Kifupi CCM bado hakuna la kusema!
Pia soma: