una roho ya kimaskini basi omba ukatoe kopy uone kama hairudi hiyo hiyoLecture mmoja JINA KAPUNI chuoni UDSM aamua kuchuma pesa kutoka kwa wanafunz wake 450 ameuza desa kwa tsh 10,000 yaan
10,000x450=4,500,000,,,KUNUNUA NI LAZIMA KWANI NI SEHEMU YA MARKS ZA COURSE WORK
hahahahahahahahahhah jf never boring hahahahahha umemweza kweli kweli akakojoe tu alale heheheeheheeheheheh SODOKA ukome we mtoto w mkulima nini nyoooooooooooooooooooooooooSoma wewe acha kuleta upuuzi wako humu.badala ya kusoma unahangaika na Jf huku sio size yako...hizo bundle unazotumia umepewa bure?? yani mtu anakuandalia maisha yako we kapuku unalalamika?? mbona mbunye mnazigharamia na hamsemi?? mpyuuz wewe
magwanda yanaharibu vijana wetu
No free lunch hapa duniani..tena nahc we jamaa utakua ni wa kule udbs.
i sawa kwani boom si ndo moja ya kazi yake?
Ulitaka akupe bure?
...mleta mada cjamuelewa kAbisa...
ar u complaining ..?,,au unafanya accounting hapo kujua jamaa katengeneza kiac gan..?
#hata acngekuzia ungetoa-copy na bado ungetumia pesa2...
ache kulalamika kwa mazoea...
Wewe ulitaka upewe bure?
Zinaitwaga Compendium,
Na ile Laki 2 wanayokupa bodi kwaajili ya "Stationaries+Books" ndio itumike.
#Tutaonana kwenye C.Work, registratn No yako ninayo..
Sticking your nose where it doesn't belong, kama system ya DSM huijui vizuri i think ist better you pass along silently au uulizie! Cause kwa mtu alie chuoni hapo atakubali thats wrong! Huwez muuzia mwanzfunz desa kwa nguvu na kugawa marks for that. Kama ni kweli its wrong boom or no boom! Protocol mwalim anatakiwa atume desa(which is just a guideline really) stationary kwa anaetaka anaenda kupiga copy also softcopy anaiweka online or anakua ametoa reference mnaenda kuchck librar
Good Guy
Lecture mmoja JINA KAPUNI chuoni UDSM aamua kuchuma pesa kutoka kwa wanafunz wake 450 ameuza desa kwa tsh 10,000 yaan
10,000x450=4,500,000,,,KUNUNUA NI LAZIMA KWANI NI SEHEMU YA MARKS ZA COURSE WORK
Lecture mmoja JINA KAPUNI chuoni UDSM aamua kuchuma pesa kutoka kwa wanafunz wake 450 ameuza desa kwa tsh 10,000 yaan
10,000x450=4,500,000,,,KUNUNUA NI LAZIMA KWANI NI SEHEMU YA MARKS ZA COURSE WORK
Lecture mmoja JINA KAPUNI chuoni UDSM aamua kuchuma pesa kutoka kwa wanafunz wake 450 ameuza desa kwa tsh 10,000 yaan
10,000x450=4,500,000,,,KUNUNUA NI LAZIMA KWANI NI SEHEMU YA MARKS ZA COURSE WORK