Mkuu tunaomba wasifu wa Mwakalinga tafahdhali
Mchapakazi, mtiifu, mwenye mapenzi mema na nchi yake na wananchi kwa ujumla,anayependa kukosolewa na kujifunza,msikivu,mpenda maendeleo ya wezao na chachu ya maendeleo ya jirani(nenda kyela ukaone na usikie).
Mwenye miono mipana nia madhubuti ktk ujenzi ,zero tolarence kwa maovu .nk
Kama akaamuwa kugombea mimi nitakuwa bega kwa bega naye.Ukitaka ushahidi zaidi funga safari uende kyela vinginevyo sito prove hapa.