usisahau exposure yake ya ulaya zaidi ya miaka 18.kyela itakuwa kama london.jamaa ni kama mzee jangala, haeleweki wala hana msimamo, alitamka kwa kimya chake leo anakula matapishi yake! Hafai kabisa huyo wanakyela mumuogope huyo
bado hii ni elimu ndogo sana kwa kuwasaidia wanakyela, kama mpaka sasa hajafanya kitu sidhani kama atawasaidia waiga kura kule...
kajinyonge ndugu yangu.mwakalinga yuko hatua kumi mbele.akiingia mjengoni kila mwanakyela anakula laptop. Hivi tunavyozungumza mwakalinga inabidi apewe ulinzi mzito kwani wafuasi wa mwakyembe wameanza kuchanganyikiwa.
Jamaa ni kama Mzee Jangala, haeleweki wala hana msimamo, alitamka kwa kimya chake leo anakula matapishi yake! Hafai kabisa huyo wanakyela mumuogope huyo
Bado hii ni elimu ndogo sana kwa kuwasaidia wanakyela, kama mpaka sasa hajafanya kitu sidhani kama atawasaidia waiga kura kule...
Mkuu,
Bila kukuficha hayo ulioandika yanaonesha ni jinsi gani upeo wako unahitaji maongezo kidogo katika "critical thinking" yako.
Na kwa kuongeza ni ashirio kwamba watanzania weingine wenye mawazo kama haya ulioandika,wanahitaji kuwa na "critical thinking" hasa kuelekea uchaguzi wa 2010.
Uko obsessed na Mwakalinga! you can not change my thinking...so sorry!
Si unajua tena sisi tunaomfahamu na wote tumo katika kutaka kuleta mabadiliko TZ na tunaanza na Kyela.
Mwakalinga ni mkristu wa Kyela.chuki zipi ndugu yangu?
mimi siku zote naamini JF ni one family sasa wewe unaumia kuona Mwakalinga anakuwa mbunge?
nilitegemea wewe ungekuwa wa kwanza kum support,imekuwa kinyume chake ni chuki na hasira,BILA MWAKALINGA jf LABDA ISINGEKUWEPO.
Mwakalinga OYEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!
kuigeuza Tanzania kuwa Tanzanistan.
Teh teh teh teh bwa bwa bwa ! I am afraid you must have started with a wrong foot....kila laheri kiongozi, ila mwishoni wanakyela watafanya uamuzi sahihi kwa atakaye wafaa...sisi wengine tuko nyuma ya PC tu!
Hii Kali kuliko wacha mimi niendelee kula nondo za Meremeta niko ukurasa wa 40 sasa!
mkuu msubiri SteveD yuko page ya 8 MS word anaandaa waraka kukujibu...btw mhazini wa tanzanet sidhani kama ana jipya.......Kijana"Field Marshal"sasa unasemaje na kauli hii ya Mwakalinga kugombea?maana ulituambia wazi kuwa Mwakalinga hana nia hiyo japokuwa mimi nilikuhakikshia kabisa kuwa atagombea na kaanza harakati za kugombea Kyela!
Mwakalinga tupe hoja zake kutuambia utaifanyia nini Kyela!?
Hee,Bwana weeee....stop! stop! stop!.....nikweli hii? hapa ni homa kali ,mpiganaji kazi anayo bajameni...mnasema hajafanya nini?Kwa mawazo yenu mnafikiri jamaa kajitupa kichwa kichwa?uzuri mmoja mwakyembe anaelewa vizuri sana kuwa mtu pekee anaweza kumwondoa kyela ni mwakalinga na kama katangaza hivyo basi nyie subirini na pc zenu
Kila la kheri Mwakalinga. vita uliyochokoza ni nzito ila watu makini kama sisi tuko nyuma yako utashinda kina Mwafrika wanalegea.
Hiyo ya mwanzilishi wa JF na Mtunza Fweza imechomekwa na mwandishi, Israel ni Mwandishi mpambe wa mwakyembe,Watu wa kyela tunajua hivyo..Lakini wapiga kura hawako JF wala majira