Hapa ndipo ninapouona umuhimu wa waraka wa kanisa katoliki.Mwakalinga ni mwenzetu hivyo ni bora kuliko Mwakyembe.
Hapa ndipo ninapouona umuhimu wa waraka wa kanisa katoliki.Mwakalinga ni mwenzetu hivyo ni bora kuliko Mwakyembe.
Hapa ndipo ninapouona umuhimu wa waraka wa kanisa katoliki.
Mwakalinga ni mwenzetu hapa JF kwa muda mrefu,michango yake ni muhimu sana amekuwa hakosi kuwepo hapa kila siku masaa karibu 18 kwa siku.
ana exposure kubwa sana akiingia bungeni hata wabunge wengine watanufaika na Mwakalinga ambaye kwake Utaifa ni mbele kwa kila kitu.
Mwakalinga Utanzania umemjaa kuliko Ukyela.
naomba wote tumuunge mkono kama hapa kijiweni kwake tunaanza kumuombea mabaya nani atamsupport?
Mwalimu Nyerere mwaka 1995 alipiga kampeni nchi nzima isipokuwa Arusha Mjini. alipofika Arusha akasema kuwa pale anagombea mtoto wake-Makongoro Nyerere hata kama wako vyama tofauti hawezi kwenda kumpinga mtoto wake jimboni Arusha mjini.kama kuna mtu anaweza kuniambia tofauti aje hapa.
tufanye uzalendo kama wa Nyerere kwa kumsupport mwenzetu.
Mwakalinga hata michango tutakupa.kwetu sisi wewe ni bora mara elfu kwa Mwakyembe.
George Mwakalinga mwana Kyela aliyekuwa anaishi na kufanya kazi kama mtaalaum wa kompyuta nchini UK amewasili Kyela majuzi na tayari ametangaza kuwania ubunge wa wilaya ya Kyela ndani ya CCM!
Mwakalinga ametoka kuongea na wana Kyela sasa hivi kwenye hotel ya kisasa ya Sativa na watu waliokuwepo hapo wanasema hapana shaka Mwakalinga kaletwa Kyela na vigogo ndani ya CCM na serikalini na dhahiri anaungwa mkono na mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mzee Mwakalinga na Mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo Japhet Mwakasumi!
Kwa mujibu wa habari za watu wa Kyela,kama uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM utafanyila leo kwenye kata 15 zinazounda wilaya hiyo, Mwakalinga na Dr Mwakyembe watashinda kata 6 kila mmoja na kata 3 zikiwa ni "swing states".
Kata ya Kyela mjini,kata ya Matema na kata ya Ngonga sehemu ambapo wana siasa hawa wanapotokea ndiyo kata pekee za"swing states"lkn kata ya Kyela mjini ikianza kuegemea upande wa Mwakalinga na kumpa sasa likely kama anaongoza kwa kata 7 kwa 6 za Dr Mwakyembe!
Bila ubishi kata ya Ikolo,kata ya kajunjumele,kata ya Katumba Songwe,na kata 3 za mashariki ya Kyela hizo zitachukuliwa na Dr Mwakyembe ili hali kata ya Ipinda,kata ya Lusungu,kata ya Makwale na kata 3 kuzunguka upande wa Magharibi hasa kuanzia mpakani mwa Kasumulu na mgodi wa Kiwira zitachukuliwa na Mwakalinga kwa kile wanachosema Dr Mwakyembe kashindwa kazi ya kuwasadia wahanga waliofukuzwa kazi kwenye mgodi huo na vijiji jirani!
Mwakalinga,ambae pia ana vitege uchumi vingi sana wilayani Kyela zikiwemo hotel kubwa za kisasa tayari yupo Kyela,na kaanza kuzunguka kwa kasi vijijini kujinadi kwa wana CCM na kuna kila ukweli kuwa viongozi wa CCM wilayani na mkoani wamebariki kuanza huku kwake kampeni kabla ya muda wake.
Juhudi zinafanywa ili mazungumzo ya Mwakalinga akiwa kyela ambako tayari sasa kafanya ndiyo makazi yake yapatikane na yaletwe hapa ili wana JF wayachambue!
Kumbe kampeni za uchaguzi wa ubunge ndani ya ccm zimeshaanza, au nimesoma hiyo habari vibaya vile! Naona huyu keshashindwa hata kabla ya kuingiza mguu katika hatua zake. Nampa pole
Hapa kuna ukweli. George ameishi hiyo nchi ya Uingereza na anajua mambo mengi kwenye mitambo ya telecoms.George Mwakalinga mwana Kyela aliyekuwa anaishi na kufanya kazi kama mtaalaum wa kompyuta nchini UK amewasili Kyela majuzi na tayari ametangaza kuwania ubunge wa wilaya ya Kyela ndani ya CCM!
Mwakalinga ametoka kuongea na wana Kyela sasa hivi kwenye hotel ya kisasa ya Sativa na watu waliokuwepo hapo wanasema hapana shaka Mwakalinga kaletwa Kyela na vigogo ndani ya CCM na serikalini na dhahiri anaungwa mkono na mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mzee Mwakalinga na Mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo Japhet Mwakasumi!
Kwa mujibu wa habari za watu wa Kyela,kama uchaguzi wa kura za maoni ndani ya CCM utafanyila leo kwenye kata 15 zinazounda wilaya hiyo, Mwakalinga na Dr Mwakyembe watashinda kata 6 kila mmoja na kata 3 zikiwa ni "swing states".
Haya nadhani mengi ni majungu tu pia!!Kata ya Kyela mjini,kata ya Matema na kata ya Ngonga sehemu ambapo wana siasa hawa wanapotokea ndiyo kata pekee za"swing states"lkn kata ya Kyela mjini ikianza kuegemea upande wa Mwakalinga na kumpa sasa likely kama anaongoza kwa kata 7 kwa 6 za Dr Mwakyembe!
Bila ubishi kata ya Ikolo,kata ya kajunjumele,kata ya Katumba Songwe,na kata 3 za mashariki ya Kyela hizo zitachukuliwa na Dr Mwakyembe ili hali kata ya Ipinda,kata ya Lusungu,kata ya Makwale na kata 3 kuzunguka upande wa Magharibi hasa kuanzia mpakani mwa Kasumulu na mgodi wa Kiwira zitachukuliwa na Mwakalinga kwa kile wanachosema Dr Mwakyembe kashindwa kazi ya kuwasadia wahanga waliofukuzwa kazi kwenye mgodi huo na vijiji jirani!
Bana eeee.... kwanini watu mnakuwa waongo namna hii?!!! Dayyym! George wala hajafika huko Kyela. Bado yuko safarini, na kwa taarifa yako tu, George yuko Ngorongoro leo hii, alikuwa Dar, akazuka Manyara na baadae kujionea maendeleo anayofanya Dr. Slaa kule Karatu, maana ndiko aliko lala.Mwakalinga,ambae pia ana vitege uchumi vingi sana wilayani Kyela zikiwemo hotel kubwa za kisasa tayari yupo Kyela,na kaanza kuzunguka kwa kasi vijijini kujinadi kwa wana CCM na kuna kila ukweli kuwa viongozi wa CCM wilayani na mkoani wamebariki kuanza huku kwake kampeni kabla ya muda wake.
Juhudi zinafanywa ili mazungumzo ya Mwakalinga akiwa kyela ambako tayari sasa kafanya ndiyo makazi yake yapatikane na yaletwe hapa ili wana JF wayachambue!
eeeh stivi dii tutafutane mkuu nami ni mwana kyela.....najua una fungu kwa 2010......
malafyale kumbe alitulisha sumu? naona GT alimpa thanks.......ngoja tumsubiri labda na steveD nazo sumu.....
btw stev unataka kusema kuwa mwakalinga hana mpango kabisa wa kugombea ubunge?
Haya masuala ya kumpigia debe mtu kwa kisingizio cha mwenzetu ndo yametufikisha katika mtafaruku wa ufisadi, matokeo yake vyeo vinakwenda kwa ushikaji badala ya uchapa kazi. apimwe kwa kigezo cha ufanisi
eeeh stivi dii tutafutane mkuu nami ni mwana kyela.....najua una fungu kwa 2010......
Hebu tupatieni wasifu wa huyu mheshimiwa mtarajiwa. Mimi namfahamu mtu mmoja anaiywa George Ambwene Mwakalinga. Lisoma rungwe secondary, Tambaza High School, Mzumbe chuo cha Kilimo na mifugo, UDSM kabla ya Kutimkia Bulgaria. Je ndiyo huyu?