Zakumi,
Mkuu wangu weee! kwa mtu yeyote anayesoma habari hii atatucheka sana Wabongo kuwa sisi ndio Problem..Na kwa uhakika siku zote sisi ndio problem hadi kesho!.. mtu unaanzishiwa kiwanda cha kuzalishaji viatu, mwaka wa kwanza unafanya vizuri kisha uzalishaji unapungua kwa miaka 14 hujashtuka, leo unakuja mlaumu aliyejenga kiwanda mkuu wangu..Tena basi sababu sio kutokuwepo kwa soko isipokuwa uvivu na uchovu wa akili wa wananchi anaowaongoza!..
Hata hicho kiwanda cha viatu Morogoro, hiyo sababu ya Ventilation system inaonyesha upofu wa elimu yetu sisi wenyewe, contractor hakuwa mwalimu mkuu wangu ni sisi tunaojiita wasomi tunajenga vitu kwa vipimo vya Ulaya.. tunavaa suti hata jua kali ya nyuzi 40.. huwezi kusema Mkapa au Kikwete ndiye katuambukiza maradhi ya kuvaa suti jua kali..
Mkuu wangu hiii report inaonyesha wazi kumpa sifa Nyerere na kulaumu wananchi wake..Mtaji wa kuweka ventilation ni mdogo sana na hauwezi kuzuia uzalishaji.. Binafsi ningemlaumu Nyerere kujenga kiwanda cha viatu kama viatu hivyo vingekuwa havina soko na kiwanda kikafa lakini hapa mkuu wangu ndio hayo nazidi kuyasema kuwa mganga siku zote ni mchawi tu.. Tunamtoa Nyerere makosa mengi wakati sisi wenyewe ndio tulivurunda..
Mkuu wangu weee! kwa mtu yeyote anayesoma habari hii atatucheka sana Wabongo kuwa sisi ndio Problem..Na kwa uhakika siku zote sisi ndio problem hadi kesho!.. mtu unaanzishiwa kiwanda cha kuzalishaji viatu, mwaka wa kwanza unafanya vizuri kisha uzalishaji unapungua kwa miaka 14 hujashtuka, leo unakuja mlaumu aliyejenga kiwanda mkuu wangu..Tena basi sababu sio kutokuwepo kwa soko isipokuwa uvivu na uchovu wa akili wa wananchi anaowaongoza!..
Hata hicho kiwanda cha viatu Morogoro, hiyo sababu ya Ventilation system inaonyesha upofu wa elimu yetu sisi wenyewe, contractor hakuwa mwalimu mkuu wangu ni sisi tunaojiita wasomi tunajenga vitu kwa vipimo vya Ulaya.. tunavaa suti hata jua kali ya nyuzi 40.. huwezi kusema Mkapa au Kikwete ndiye katuambukiza maradhi ya kuvaa suti jua kali..
Mkuu wangu hiii report inaonyesha wazi kumpa sifa Nyerere na kulaumu wananchi wake..Mtaji wa kuweka ventilation ni mdogo sana na hauwezi kuzuia uzalishaji.. Binafsi ningemlaumu Nyerere kujenga kiwanda cha viatu kama viatu hivyo vingekuwa havina soko na kiwanda kikafa lakini hapa mkuu wangu ndio hayo nazidi kuyasema kuwa mganga siku zote ni mchawi tu.. Tunamtoa Nyerere makosa mengi wakati sisi wenyewe ndio tulivurunda..