Freetown
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 883
- 73
nyinyi kweli mna kasoro hapa mnamsifia mtu ambaye hata watoto wake wa kuwazaa wanajuta kuzaliwa nae.hawana uwezo hata wa kuwa makatibu kata kwa maana alishindwa hata kuitake care familia yake.tumegubikwa watanzania tuna maradhi yasiyo na tiba may hapo alipodai uhuru kwa manufaa yake leo hii bila fikra za nyerere za kibinafsi usingelisema nchi haikuwa na kitu alipoichukua.shame on him. Think twice.
Sahiba.
0000000000000000000000000000000000000000%%%%%%%%%%%%