MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,521
- 1,368
Maskini milioni 2.5, looh! hawa jamaa yaani wanadanganya kila kitu.
Maskini Tanzania ni zaidi ya milioni 30, wenye unafuu wa angalau kuwa na uhakika na mlo kwa mwaka mzima TZ hawazidi milioni 10
Nafikiri ni idadi ya kaya (households) maskini ndo 2.5 million!