JK alifikiri majibu ya kuondoa umasikini atayapata ikulu.
Mimi natoa wazo kwa Mr. Prez apunguze anasa maana yeye na mawaziri wake wameishaona maisha wanayoishi ndio standard ya maisha ya kawaida. Nchi inapoteza fedha nyingi kusupport anasa zao. Halafu Mr Prez na mawaziri wake wakumbuke hawakuja na utajiri, wengi wakitokea kwenye familia za madongo kuinama. Tumeona kwa macho yetu wakibadilika na kutusaliti.
Mr Prez hututendei haki kama unatuongoza halafu hata hujui unatupeleka wapi katika kufanikisha uliyotuahidi. Ulitudanganya una majibu ya umaskini wetu.
Mimi natoa wazo kwa Mr. Prez apunguze anasa maana yeye na mawaziri wake wameishaona maisha wanayoishi ndio standard ya maisha ya kawaida. Nchi inapoteza fedha nyingi kusupport anasa zao. Halafu Mr Prez na mawaziri wake wakumbuke hawakuja na utajiri, wengi wakitokea kwenye familia za madongo kuinama. Tumeona kwa macho yetu wakibadilika na kutusaliti.
Mr Prez hututendei haki kama unatuongoza halafu hata hujui unatupeleka wapi katika kufanikisha uliyotuahidi. Ulitudanganya una majibu ya umaskini wetu.