Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,254
- 34,205
Sasa na wewe hujui kiongozi?Kikwete alipokuwa rais aliulizwa hilo swali na Bob Geldof, akajibu hajui.
Sasa na wewe hujui kiongozi?Kikwete alipokuwa rais aliulizwa hilo swali na Bob Geldof, akajibu hajui.
Umeniuliza "nani kakuambia" nikakujibu ni Samia au nimekosea kukujibu?Wewe unajazwa ujinga na unaendelea kukujaa. Mimi naamini kama nchi Tanzania sio masikini. Bali, Watanzania ndio masikini wa akili.
Sijaongea bali nimeandika.Hifunze kuongea kwa Takwimu
Tanzania kama nchi haijawahi kuukataa umasikini. Inafanya maigizo ya kuukataa umasikini.Sasa na wewe hujui kiongozi?
Ikiwa tatizo limeshajulikana(kuwa ni ccm) sasa mbona halitatuliwi?Kwa sababu ya CCM.
Hilo halina mjadala.
Ni kama Cuba bado wanaishi maisha ya miaka ya 1950's.
Inasikitisha sana.