kwa taarifa yako nyerere aling'oa reli kutoka bandarini mtwara hadi nachingwea iliyokuwa uti wa mgongo wa uchumi wa kusini kwa mazao ya mtama na korosho, akawaua kiuchumi kabisa maksudi.
''mtakatifu nyerere mwenye heri''
Mtama na korosho zenyewe zipo wapi? Ile reli ilijengwa na wakoloni kwa ajili ya kusafirisha karanga. Mradi ulipokufa kulikuwa hakuna sababu ya kuendelea kuwa na reli.