Kwanini Nyerere hakuendeleza kusini kwa miaka mingi?

Mnawaachisha watoto shule wakiwa na miaka 12 na kuwaozesha mnataka maendeleo ya kuolewa au? Elimu akhera haitumiki katika maendeleo...... NACHUKIZWA SANA NA WATU WANAOLALAMA KILA WAKATI BADALA YA KUTAFUTA MUAFAKA WA MATATIZO YAO.
 
Kwanza kabisa Nyerere alichotaka yeye ni kuboresha hali ya maisha ya wananchi (tokana na Watu na Mazingira aloyakuta) na ndio maana alipotangaza Azimio la Arusha alisema wazi kwamba maadui wetu ni watatu. 1. UMASKINI, 2. UJINGA na 3. MARADHI, haya ndio maswala aloyafanyia kazi kwa muda wote wa miaka 24 ya utawala wake na hakuna mtu hata mmoja hapa anayeweza kunambia tulikuwa na ubora zaidi ktk haya wakati wa mkoloni kuliko wakati wa Nyerere japokuwa sii kwa vipimo ambavyo vijana wa leo wanataka kuvitumia. Nyerere alikuwa na vision hii kulingana na hali halisi aloikuta ama kuiona wapi tuanzie, na alipambana na vitu ambavyo vilimkwaza Mtanzania ktk kuijenga nchi kwa kutazama vitu hivyo vitatu. Sasa aje mtu hapa anambie ni shule au Hospital ngapi zilijengwa Kusini dhidi ya zilizojengwa Mikoa ya kanda ya ziwa, Nyanda za juu, Kaskazini, Mashariki na magharibi.
Umeni dissapoint, nilitegemea ungekuja na jipya!
Vile vita vya kagera vilimboreshea vipi mwananchi hali yake ya maisha?
Hivi vita vilikuwa ni kupigana na UMASKINI, UJINGA NA MARADHI?
 
mtoa mada google effects za INBREEDING halafu uone madhara yake kiuchumi,kiafya na usalama wa taifa?Mbaya utakuta imeangusha uislam zaidi duniani kote.Halafu uje bongo uone ni kwanini sehemu zenye waislam wengi zilivyokuwa victims.
mojawapo ni ulemavu wa kimwili na kiakili, gharama ya kuwalea hawa jamaa, kupungua kwa uwezo wa kiushindani katika jamii.Hata huku kualalama ni tabia ya dhaifu na njia nyingine ya kujiita dhaifu bila kusema moja kwa moja Ukimaliza kupitia hiyo topic then uje jadili hii mambo.
 
Mara nyingi najiuliza kwanini hawa ndugu zetu wa imani ya mtume ambaye hakujua kusoma wala kuandika ni walalamikaji hata kwa Matatizo ambayo ni wenyewe wamejisababishia. Waarabu walikuwa ni waislamu, wamewaletea hawa walalamishi uislamu si elimu. Wamekuwepo pwani karne na karne kabla ya wazungu. Wamewarithisha waafrika uislamu lakini si elimu. Nina hakika hata maeneo ya pwani yangekuwa na wakristo kisha K'manjaro kukawa na Waarabu na waislamu ni wachagga ambao sasa hivi wangekuwa wanawalaumu watu wa pwani kwa kuwaonea. Nyerere alitawala Tz miaka 24. Yeye tu ndiye Rais aliyetoka bara yaani mbali na pwani. Mwinyi, Mkapa na sasa Jk wana miaka 26, wamewafanyia nini watu wa kusini na pwani kuliko Nyerere?
Mimi nina hakika hata mtume mnayemwamini ikifika siku ya mwisho anahukumiwa kwa kuusababishia ulimwengu hasara ya kuwafanya watu wawe walalamikaji, wavivu, wasiopenda kusoma, wauaji, wakatili, magaidi, wachawi, waabudu majini, wakatili na waonevu kwa wanawake, kuoa wake wengi na wachukiaji wa wasiokuwa waislamu ataanza kumlaumu Mwenyezi Mungu huku akisahau kuwa ni kutafuta, umaarufu, tamaa ya mali na madaraka, tamaa ya wanawake na fedha ndiko kulimfanya asione udanganyifu uliokuwepo mbele ya macho yake kwa mgongo shetani aliyejifanya malaika pangoni.
 
Umeni dissapoint, nilitegemea ungekuja na jipya!
Vile vita vya kagera vilimboreshea vipi mwananchi hali yake ya maisha?
Hivi vita vilikuwa ni kupigana na UMASKINI, UJINGA NA MARADHI?
Siandiki lolote kuridhisha mtu maana kama Idd Amin angekuwa Mkristu na Nyerere Muislaam basi ungekuwa na sababu zote za kumshambulia na kuboresha maisha ya wananchi - Akili hiyo mimi sina!
 
nyerere kweli aliibagua mikoa ya kusini na ndio maana akangoa reli kutoka mtwara kwenda nachingwea.sasa kwanini asiseme akuendeleza mikoa hii tena kwa makusudi nani anapinga hili?
 
Kwanini Nyerere hakuendeleza kusini kwa miaka mingi?
Kwanini sehemu nyingi zenye Waislamu wengi hazikuendelezwa kwa miaka mingi? (Hii ni tokea ukoloni)
Jadili.

Ni zipi hizo sehemu zenye waislam wengi?
Kwa kufuata sensa iliyofanyika lini?
 
kama kweli kuna mtu anakuja hapa na kumtetea idi amini kisa ni mwislamu sitashangaa mtu huyo huyo akitetea shoga kisa ana jina la dini yake. so sad
 
Back
Top Bottom