Kwanini Nyerere hakuendeleza kusini kwa miaka mingi?
Kwanini sehemu nyingi zenye Waislamu wengi hazikuendelezwa kwa miaka mingi? (Hii ni tokea ukoloni)
Jadili.
Hakuna sehemu katika Tanganyika ambayo Waarabu waliachiwa watatwale, na kama walikuwa sio watawala wangezijenga vipi hizo shule?!Tutafika said:Sehemu ambazo mwarabu aliachiwa, kwa vile hakuwa na malengo ya kutawala bali biashara, hakufanya la maana
Ukweli wenyewe huyu jamaa ndiye aliye introduce ubaguzi wa Kidini, Kikabila na Kiukanda Tanzania.Kabla yake haijulikani katika historia ya Tanzania kuwa na ubaguzi.Insurgent said:Kwanini Nyerere hakuendeleza kusini kwa miaka mingi?
Kwanini sehemu nyingi zenye Waislamu wengi hazikuendelezwa kwa miaka mingi? (Hii ni tokea ukoloni)
Jadili.
Hakuna sehemu katika Tanganyika ambayo Waarabu waliachiwa watatwale, na kama walikuwa sio watawala wangezijenga vipi hizo shule?!Ukweli wenyewe huyu jamaa ndiye aliye introduce ubaguzi wa Kidini, Kikabila na Kiukanda Tanzania.Kabla yake haijulikani katika historia ya Tanzania kuwa na ubaguzi.
Aliyowafanyia Waislamu kila mtu anayajua, hakuacha hapo akaendelea na Wachaga, mwisho akawarudia watu wa Pwani na kudiriki kusema kuwa hakuna watu wanaoitwa Waswahili, aka invent neno Tanzania BARA ili kuwafuta Wapwani katika historia ya TZ! hii ni kwa gharama ya neno Tanganyika eti kwa sababu tu alikuwa hajui maana ya neno Tanganyika!
Kibaya zaidi jamaa alikuwa si Mtanzania na vitendo vyake pia si vya Kitanzania. Maoni yangu binafsi:
Haka kajamaa kafutwe katika Historia ya Tanzania.
Kwanini Nyerere hakuendeleza kusini kwa miaka mingi?
Kwanini sehemu nyingi zenye Waislamu wengi hazikuendelezwa kwa miaka mingi? (Hii ni tokea ukoloni)
Jadili.
Pamoja na uvivu wao, lakini wamekutawala (Mzee Mkapa na Kawawa)!Watu wa kusini ni wavivu sana,ata uwafanyeje..
Hakuna personal attacks na kusingiziana hapa, tunamjadili mtu hivyo hapana shaka yoyote yatatajwa yale yote yanayomhusu aidha yanapendeza au hayapendezi, ndio ilivyo wakati akijadiliwa mtu!Kama Nyerere alijipenda vile mbona hakuijenga BUTIAMA,kikabakia kijiji tu?MMEONA HAPA MAENEO YA CHALINZE KUELEKEA WAMI takribani kilometa 15-20, JK alichopafanya?Lete mjadala mwingine,kumsingizia Nyerere tabia zenu mbaya huku PWANI ni mada isiyofaa JF
Kwanini Nyerere hakuendeleza kusini kwa miaka mingi?
Kwanini sehemu nyingi zenye Waislamu wengi hazikuendelezwa kwa miaka mingi? (Hii ni tokea ukoloni)
Jadili.
Hakuna personal attacks na kusingiziana hapa, tunamjadili mtu hivyo hapana shaka yoyote yatatajwa yale yote yanayomhusu aidha yanapendeza au hayapendezi, ndio ilivyo wakati akijadiliwa mtu!
Kuhusu kutoijenga Butiama, unaonaje mtu akikwambia kuwa alikuwa haithamini kwa sababu si M-TZ? yaani uzalendo wake una mashakamashaka?
Binafsi sioni ubaya wowote kama Mkapa, Mwinyi, JK au kiongozi yoyte yule akijenga kwao, yeye akijenga kwao, huyu akijenga kwao, mimi nikijenga kwetu ndio maendeleo yanavyoendelea nchi nzima! mwisho wa yote ni Tanzania na Mtanzania yoyote yule anaweza kuitumia hiyo mindombinu.
Nyerere alikuwa MBAGUZI na MDINI no. 1
Alikuwa na chuki sana akifikiri kuwapendelea wakristo na kuwabagua waislamu ndio atapata kwenda peponi (imani za wakristo wengi)
Kwa hiyo Nyerere alijenga wapi?
Alijenga wakatoliki na kanisa katoliki kwa kutumia pesa za umma (st. nyerere mungu akurehemu)
Alijenga wakatoliki na kanisa katoliki kwa kutumia pesa za umma (st. nyerere mungu akurehemu)
Na hawa marais wengine wameendeleza wapi?
Be specific!
Kapeleka pesa za umma kanisani (katoliki for 24yrs) na kuwajaza wakatoliki wenzake wachote pesa za umma..
hatimaye kaambulia mwenye heri (st. nyerere mungu akurehemu)
Nyerere alikuwa MBAGUZI na MDINI no. 1
Alikuwa na chuki sana akifikiri kuwapendelea wakristo na kuwabagua waislamu ndio atapata kwenda peponi (imani za wakristo wengi)
Na hawa marais wengine wameendeleza wapi?
Out of topic..