Kwanini Nyerere hakuendeleza kusini kwa miaka mingi?

Fanya utafiti kidogo kuhusu thamani ya pesa Kiislamu, je ni karatsi, ni coins za fedha? coins za dhahabu? halafu rudi hapa jamvini tuijadili.
Wanachofanya katika Islamic Banking System ni kujaribu kuiweka kuwa ya Kiislamu kiasi wanachoweza.
Kuhusu wewe kuwa una running the world, ninachokuambia kuwa ndio inawezekana kuwa una run the world, lakini usisahau kuwa Misri chini ya Firauni ilikuwa iki run the world katika wakati wao, sasa hivi ni ardhi ya Waislamu, Levante (Syria,Lebanon,Jordan) hizi zote zili run the world katika wakati wao huku ikiwa ni stronghold ya Kanisa,leo hii ni nchi za Waislamu.
Ninakukumbusha tu.......vipi mjadala kuhusu "st" Nyerere!tuufunge?

This much honest, St. Sideeq!

Vipi sasa, baada ya kuwa ardhi ya Kiislamu, bado inaiongoza dunia au? Kwa hiyo umeanza sasa kupata akili eeh kuwa uislamu ukiingia maendeleo yanatokea mlango wa pili. Kwa hiyo na Misri nao waliharibiwa na Nyerere au?

Sasa kinachokufanya ushangae Pwani, Lindi na Mtwara ni nini ikiwa unajua kuwa ni ardhi ambazo waislamu mpo?
 
Kuna jambo gani la maana Nyerere aliloifanyia Tanzania?! kama yapo hayazidi vidole vya mkononi.
Ninamzungumzia Nyerere kama kiongozi hapa ndio maana sikuijibu ile hoja ya kuwa aliwapeleka watoto wake wapigane na Uganda (kama ni kweli), kwa sababu kama yeye alikuwa ni careless father aliyemuweka Obote mbele kabla ya watoto wake basi hilo ni suala lake binafsi.
Nchi nyingi msaliti huuliwa na kusahauliwa kabisa! kwa nini Nyerere aliyisaliti hii nchi hadi kwenda kuleta raia wa kigeni wawaue Wazanzibari na kuwa kibaraka wa nchi za Magharibi miaka na miaka aenziwe na kupewa nafasi katika Tanzania ya leo?!

Nadhani wewe ndo yuleyule Topical, maana mawazo haya ndo yaleyale ya kulaumu bila kuwa na hoja za kutegemeza madai yako! Kwa kuwa mambo aliyofanya Nyerere hayazidi matano, basi hebu yataje hayo! Tupime na IQ yako katika kuchambua mambo!

Isije ikawa umekaririshwa maneno hayo katika chuo unachosoma na Topical bila kumhoji mwalimu wenu atoe ufafanuzi wa madai hayo! Sisemi Nyerere hakupungua katika matendo yake. Yeye ni Binadamu na katika mikutano yake mingi amekiri mapungufu na kuwasihi achaneni na mabaya yaliyotendeka katika uongozi wake chukueni yale mazuri na kuyaendeleza. Lakini hapa ni kinyume chake!
 
Nyerere alietokea Mara, mbona baada ya kung'atuka ndio tunaona Mara inakua na hakuna anaemlalamikia kutoka kule Mara?

Na kwanini Muislamu wa pwani aonekana alirudishwa nyuma kimaendeleo na Nyerere? Kwani hao Waislam wa Machame, Nyasirori, Maswa etc sio waislamu? Mbona wao hawalalamiki?
 
Kuna jambo gani la maana Nyerere aliloifanyia Tanzania?! kama yapo hayazidi vidole vya mkononi.
Ninamzungumzia Nyerere kama kiongozi hapa ndio maana sikuijibu ile hoja ya kuwa aliwapeleka watoto wake wapigane na Uganda (kama ni kweli), kwa sababu kama yeye alikuwa ni careless father aliyemuweka Obote mbele kabla ya watoto wake basi hilo ni suala lake binafsi.
Nchi nyingi msaliti huuliwa na kusahauliwa kabisa! kwa nini Nyerere aliyisaliti hii nchi hadi kwenda kuleta raia wa kigeni wawaue Wazanzibari na kuwa kibaraka wa nchi za Magharibi miaka na miaka aenziwe na kupewa nafasi katika Tanzania ya leo?!

mwalimu Nyerere kafanya mengi sana na makubwa..
Lakini ukiyataza kwa mtazamo wa maendeleo ni ' msongamano wa magari ubungo mtaa' utasema hakufanya kitu...

Utamlinganisha mwl na huyu Bulicheka kwa akili zilizo sawaswa?
 
Topical tunapoongelea mfumo mzuri ni le utaratibu wa ushirikishaji uma wa waumini kwenye kuchangia katika miradi ya maendeleo. Tunaposema uchangiaji, ni pamoja na wewe kuamua kumpeleka mtoto wako katika shule inayomilikiwa na kanisa, au hata zahanati n.k, ukiacha michango ya moja kwa moja inayolenga kusimamisha miradi mipya inayoanzishwa na Kanisa. Najua wewe uko katika ile itikadi inayojitoa sana katika michango, lakini kwa lengo la kuua wasiokuwa na itikadi kama yako! Ukijitolea kihivyo, utapata uungwaji mkono hafifu katika nchi kama hii ambayo haina historia ya kuuana kwa sababu ya kutofautiana kiitikadi!

Ufisadi ni somo ambalo wanasiasa kama akina Dr. Slaa na wenzake wanalifundisha kila siku, hilo si itikadi ya ukatoliki. Wewe umeamua kulishikilia bila kuwa na hoja nzito za kuliunga mkono, kwa lengo la kulichafua kanisa au kumchafua mbaya wako unayedhani kakusababishia ukose elimu!. Kama unafahamu ufisadi wenye sura hiyo tafadhali lete jamvini tukuunge mkono!

Hilo la mimi kukosa elimu huna ushahidi zaidi ya kusukumwa na ushabiki na dharau kwa binadamu wenzako (hata kumjua humjui pathetic!)


Mfumo mzuri ni mfumo ambao uanatumia pesa za halali kuendeleza miradi halali kwa faida ya wananchi na dunia kwa ujumla

Kinyume cha hapo MoU ambayo ni sawa kwangu na mkataba wa EPA= RICHMOND ni mfumo wa kuchukua pesa za umma kwa hila na kuendeleza na kuendeleza ubaguzi katika jamii... (hila hii hulindwa na mfumo kristo i.e. wakristo walioko serikalini kunyamazia mali za umma kutumika kwa miradi ya kanisa (unaudited), mbaya zaidi huduma zenyewe ultimately ni ghali kupita kiwango cha mtu wa chini (kawaida)..kwa hiyo ni kanisa lako linapata mihela mara tatu kwa dhulma

a. Kutoka kwa MoU (uwizi)- kodi za watu wote

b. Kutoka walipaji wa huduma (ada, fee etc) ..watu wote

c. Sadaka kutoka kwa waumini (wakristo)..

Ufisadi anaohubiri slaa ni wa kibaguzi huko kanisani hawezi kutia timu..
 
Kuna jambo gani la maana Nyerere aliloifanyia Tanzania?! kama yapo hayazidi vidole vya mkononi.
Ninamzungumzia Nyerere kama kiongozi hapa ndio maana sikuijibu ile hoja ya kuwa aliwapeleka watoto wake wapigane na Uganda (kama ni kweli), kwa sababu kama yeye alikuwa ni careless father aliyemuweka Obote mbele kabla ya watoto wake basi hilo ni suala lake binafsi.
Nchi nyingi msaliti huuliwa na kusahauliwa kabisa! kwa nini Nyerere aliyisaliti hii nchi hadi kwenda kuleta raia wa kigeni wawaue Wazanzibari na kuwa kibaraka wa nchi za Magharibi miaka na miaka aenziwe na kupewa nafasi katika Tanzania ya leo?!

Sikumbuki kama Nyerere aliwahi kuwa kibaraka wa mtu kama ukibaraka huu tunaouona hapa. Hata kisa cha Nyerere kukataa kuchimbwa kwa madini ni ile hali ya ujeuri wake wa kukataa kuwanyenyekea wazungu kama tunavyoona sasa mtu anashindwa kutulia nyumbani kukicha yupo kwa watu akiomba misaada.

Mtu msaliti mwenye kutaka kuiuza nchi yake ni kama UAMSHO wanachokifanya kule Zanzibar. Kuna dada jana kaeleza vyema kuhusu kinacoendelea na kuwaonya Wazanzibari kuwa makini na uamsho. Akatoa mfano ambao naurudia hapa kwa manufaa yako na wenzio wanaopenda ushabiki.

Omar Al Bashir alishirikiana na Wasudan weusi kwa mwamvuli wa Uislamu na kufanya vita na watu wa Kusini. Adhma yao ilipotimu, mambo yakageuka, Uislamu ukawa si kigezo tena cha muunganiko wao, badala yake Ukaja UARABU na U-WEUSI. Darfur ikachafuka, tukashuhudia wanamgambo wa Kiarabu wa Janjaweed kwa ushirikiano na Al Bashir yule yule wakiua wenzao weusi kama ndege kwenye mashamba ya mpunga.

Leo hii tunaona dini inatumika Zanzibar kuwaunganisha watu kwa uongo wa Kuikomboa Zanzibar. Ufadhili wa Waarabu ambao kwa hakika wanakitaka hiki kisiwa. Makanisa yanachomwa na magari na maduka, baa n.k, vyote kwa jina la UISLAMU. Sasa angalizo kwa mnaoshabikia msilolijua, Farid ametumwa,je aliyemtuma mnamjua? Zanzibar ikishapatikana, ndugu zetu nyie hambadiliki rangi na kuwa waarabu. Mtabaki weusi kama sisi na ndio utakuwa mwanzo wa machungu.

Ukifika Kongowe, ingia ndani elekea kusini kuitafuta stesheni ya reli ya SOGA. Hapo kati utakuta kijiji cha VIKUGE. Wakazi wake walilima machungwa na mihogo kwa miaka. Wakaja Wapakistan, wakawarubuni wawauzie mashamba kwamba na wao watajengewa msikiti. Msikiti kweli umejengwa, mkubwa mzuri. Lkn kwa sasa wao ni watumishi tu katika mashamba yaliyokuwa ya kwao wenyewe. Hao ndio watu wa bara la Asia, ambao sasa wanaitaka Zanzibar.

Msije mkakimbilia huku tu mkishauza hiko kimkoa chenu.

Nyerere ndio Baba wa Taifa la Tanzania na itabaki hivyo. Hawezi kubadili hilo shehe ponda wa bassaleh. Hata wewe utukane na kumlaani vipi, dhamira yako itakusuta siku ukipata akili. Ukabila na udini usingetuacha tuwe na amani kama asingekuwepo Nyerere, ni vile tu si kila kichwa kina ubongo ndio maana hili linakuwa gumu kufahamika.

Nyinyi Wapemba mmenuna kwa kuwa tu mlipelekwa National Service kwa nguvu. Ile ndio njia Nyerere alitumia kuua ukabila. Sasa kwa kuwa mmezoea kuvaa misuli mkae vibarazani jioni kama walivyokuwa wakifanya waarabu, lazima mumuone mbaya kwani uvivu kwenu ni ibada
 
Hilo la mimi kukosa elimu huna ushahidi zaidi ya kusukumwa na ushabiki na dharau kwa binadamu wenzako (hata kumjua humjui pathetic!)


Mfumo mzuri ni mfumo ambao uanatumia pesa za halali kuendeleza miradi halali kwa faida ya wananchi na dunia kwa ujumla

Kinyume cha hapo MoU ambayo ni sawa kwangu na mkataba wa EPA= RICHMOND ni mfumo wa kuchukua pesa za umma kwa hila na kuendeleza na kuendeleza ubaguzi katika jamii... (hila hii hulindwa na mfumo kristo i.e. wakristo walioko serikalini kunyamazia mali za umma kutumika kwa miradi ya kanisa (unaudited), mbaya zaidi huduma zenyewe ultimately ni ghali kupita kiwango cha mtu wa chini (kawaida)..kwa hiyo ni kanisa lako linapata mihela mara tatu kwa dhulma

a. Kutoka kwa MoU (uwizi)- kodi za watu wote

b. Kutoka walipaji wa huduma (ada, fee etc) ..watu wote

c. Sadaka kutoka kwa waumini (wakristo)..

Ufisadi anaohubiri slaa ni wa kibaguzi huko kanisani hawezi kutia timu..

Nilitaka ufunguke tuipime IQ yako! Una elimu lakini wewe ni mchochezi! Madai yako yana majibu katika kila kona ya nchi hii lakini kwa makusudi kwa kushabikia uchochezi unafumba macho! Baada ya kugundua hili sina haja tena ya kujaribu kukufanya uelewe!
 
mwinyi kafanya nini? kikwete kafanya nini? acha kutokwa na mimate udini haukusaidii.. JK atawapa lini mahakama ya kadhi?
unakumbuka ile hotuba ya kule dodoma kwenye msikiti wa marehemu Qadaffi? kikwete aliwaambia nini kuhusu Mou? VIPI yule katibu wa wizara ya elimu ameshaachia madaraka?

Udini ni kutetea ukweli?? if that is the case ninayofuraha kusema kuwa udini utaendelea kuwepo hadi haki itakaposimama

Hapo ndio UDHAIFU WA JK ulipo..JK kwa kujipendekeza kwa Maaskofu ni balaa (udhaifu wake mkubwa huu)

a. Mahakama ya Kadhi ameshinikizwa kukubaliana na maaskofu kitu ambacho alitakiwa kutekeleza ilani ..(Kujipendekeza)

b. MoU na makanisa anajipendekeza kwa maaskofu pia..kwasababu kabla MoU 1992 kanisa halikuwa na hospitali wa chuo hata kimoja??? ..Udhaifu wake mkubwa huu
 
Nilitaka ufunguke tuipime IQ yako! Una elimu lakini wewe ni mchochezi! Madai yako yana majibu katika kila kona ya nchi hii lakini kwa makusudi kwa kushabikia uchochezi unafumba macho!

Sijaona majibu zaidi ya UDINI na hulka ya kutetea mfumo kristo iliyoendekezwa serikalini (viongozi) hadi hapa JF..hata kama taifa linakaribia kuangamia hakuna wa kusema???ukweli
 
Udini ni kutetea ukweli?? if that is the case ninayofuraha kusema kuwa udini utaendelea kuwepo hadi haki itakaposimama

Hapo ndio UDHAIFU WA JK ulipo..JK kwa kujipendekeza kwa Maaskofu ni balaa (udhaifu wake mkubwa huu)

a. Mahakama ya Kadhi ameshinikizwa kukubaliana na maaskofu kitu ambacho alitakiwa kutekeleza ilani ..(Kujipendekeza)

b. MoU na makanisa anajipendekeza kwa maaskofu pia..kwasababu kabla MoU 1992 kanisa halikuwa na hospitali wa chuo hata kimoja??? ..Udhaifu wake mkubwa huu

Unauliza au unasema?
 
Sikumbuki kama Nyerere aliwahi kuwa kibaraka wa mtu kama ukibaraka huu tunaouona hapa. Hata kisa cha Nyerere kukataa kuchimbwa kwa madini ni ile hali ya ujeuri wake wa kukataa kuwanyenyekea wazungu kama tunavyoona sasa mtu anashindwa kutulia nyumbani kukicha yupo kwa watu akiomba misaada.

Mtu msaliti mwenye kutaka kuiuza nchi yake ni kama UAMSHO wanachokifanya kule Zanzibar. Kuna dada jana kaeleza vyema kuhusu kinacoendelea na kuwaonya Wazanzibari kuwa makini na uamsho. Akatoa mfano ambao naurudia hapa kwa manufaa yako na wenzio wanaopenda ushabiki.

Omar Al Bashir alishirikiana na Wasudan weusi kwa mwamvuli wa Uislamu na kufanya vita na watu wa Kusini. Adhma yao ilipotimu, mambo yakageuka, Uislamu ukawa si kigezo tena cha muunganiko wao, badala yake Ukaja UARABU na U-WEUSI. Darfur ikachafuka, tukashuhudia wanamgambo wa Kiarabu wa Janjaweed kwa ushirikiano na Al Bashir yule yule wakiua wenzao weusi kama ndege kwenye mashamba ya mpunga.

Leo hii tunaona dini inatumika Zanzibar kuwaunganisha watu kwa uongo wa Kuikomboa Zanzibar. Ufadhili wa Waarabu ambao kwa hakika wanakitaka hiki kisiwa. Makanisa yanachomwa na magari na maduka, baa n.k, vyote kwa jina la UISLAMU. Sasa angalizo kwa mnaoshabikia msilolijua, Farid ametumwa,je aliyemtuma mnamjua? Zanzibar ikishapatikana, ndugu zetu nyie hambadiliki rangi na kuwa waarabu. Mtabaki weusi kama sisi na ndio utakuwa mwanzo wa machungu.

Ukifika Kongowe, ingia ndani elekea kusini kuitafuta stesheni ya reli ya SOGA. Hapo kati utakuta kijiji cha VIKUGE. Wakazi wake walilima machungwa na mihogo kwa miaka. Wakaja Wapakistan, wakawarubuni wawauzie mashamba kwamba na wao watajengewa msikiti. Msikiti kweli umejengwa, mkubwa mzuri. Lkn kwa sasa wao ni watumishi tu katika mashamba yaliyokuwa ya kwao wenyewe. Hao ndio watu wa bara la Asia, ambao sasa wanaitaka Zanzibar.

Msije mkakimbilia huku tu mkishauza hiko kimkoa chenu.

Nyerere ndio Baba wa Taifa la Tanzania na itabaki hivyo. Hawezi kubadili hilo shehe ponda wa bassaleh. Hata wewe utukane na kumlaani vipi, dhamira yako itakusuta siku ukipata akili. Ukabila na udini usingetuacha tuwe na amani kama asingekuwepo Nyerere, ni vile tu si kila kichwa kina ubongo ndio maana hili linakuwa gumu kufahamika.

Nyinyi Wapemba mmenuna kwa kuwa tu mlipelekwa National Service kwa nguvu. Ile ndio njia Nyerere alitumia kuua ukabila. Sasa kwa kuwa mmezoea kuvaa misuli mkae vibarazani jioni kama walivyokuwa wakifanya waarabu, lazima mumuone mbaya kwani uvivu kwenu ni ibada

Aisee huyo dada amekuhadithia hadithi nzuri sana...(haya tupigie makofi na tuimbe kwa pamoja)..

Grow up man...hizo propaganda za uarabu vs uafrika vs. mapinduzi vs. usultani is the same sh it..

Tuko mbali sana ni mambo ubaguzi ...tunaongelea faida ya nchi na wananchi kwa ujumla ...
 
Udini ni kutetea ukweli?? if that is the case ninayofuraha kusema kuwa udini utaendelea kuwepo hadi haki itakaposimama

Hapo ndio UDHAIFU WA JK ulipo..JK kwa kujipendekeza kwa Maaskofu ni balaa (udhaifu wake mkubwa huu)

a. Mahakama ya Kadhi ameshinikizwa kukubaliana na maaskofu kitu ambacho alitakiwa kutekeleza ilani ..(Kujipendekeza)

b. MoU na makanisa anajipendekeza kwa maaskofu pia..kwasababu kabla MoU 1992 kanisa halikuwa na hospitali wa chuo hata kimoja??? ..Udhaifu wake mkubwa huu

acha unafiki wewe, uchaguzi uliopita nyie waislamu kupitia redio yenu ya morogoro ndio mlitia unafiki ili dr Slaa asishinde kwa kishindo , sasa leo unaulaumu udhaifu wa kikwete unamaanisha nini, mlikuwa mnakata mti huku mmeukalia, kama alhaji Kikwete naye hamumuamini basi 2015 inabidi uamsho wasimamishe shehe wao yule agombee urais.
 
Aisee huyo dada amekuhadithia hadithi nzuri sana...(haya tupigie makofi na tuimbe kwa pamoja)..

Grow up man...hizo propaganda za uarabu vs uafrika vs. mapinduzi vs. usultani is the same sh it..

Tuko mbali sana ni mambo ubaguzi ...tunaongelea faida ya nchi na wananchi kwa ujumla ...

Faida ya nchi na wananchi kwa ujumla haiwezi kuongelewa msikitini. Zanzibar si sehemu ya msikiti na ndio maana unaona makanisa kule. Kama unafikiri ubaguzi uko mbali, unafikiri BAA na MAKANISA vilijichoma vyenyewe?

Kama ni issue ya nchi na wananchi kwa ujumla, ujumla wao upo wapi ikiwa UAMSHO ni taasisi ya KIISLAMU?
 
kwa taarifa yako nyerere aling'oa reli kutoka bandarini mtwara hadi nachingwea iliyokuwa uti wa mgongo wa uchumi wa kusini kwa mazao ya mtama na korosho, akawaua kiuchumi kabisa maksudi.
''mtakatifu nyerere mwenye heri''
 
Si kweli.

Huduma za jamii kabla ya uhuru zilikuwa sehemu ambazo kuna shughuli za kiuchumi za Wazungu, na mara nyingi zilikuwa ni mashamba makubwa:

Plantations: maeneo ya Tanga ambayo yalikuwa na mkonge na ambayo hatuwezi kukataa kuwa Tanga ni sehemu ya Waislamu wengi.

Settler farms: Arusha, Moshi, Mbeya, na Bukoba.

Route Centers: Tabora, ambayo pia huwezi kukataa kwamba nako kuna waislamu wengi.

Walijenga maeneo hayo kwa kuwa wao wenyewe waliishi maeneo hayo, na walihitaji huduma hizo. Hakukuwa na uhusiano na dini kama unavyojaribu kusadikisha.

Ndio maana shule ya kwanza ya Tanganyika ilijengwa Bagamoyo, ambayo wakati huo ilikuwa makao makuu ya Wajerumani. Sijui kama kulikuwa na Wakristo pale.

It is interesting kujiuliza kwa nini Bagamoyo ilirudi nyuma licha ya kuwa na shule ya kwanza.

Sidhani kuwa ulichokisema ni ukweli mtupu. Dini ya kikristo ilikuwa mstari wa mbele sana katika kutoa huduma za kijamii ikiwemo elimu. Chukulia sehemu chache zifuatazo: Peramiho na Ruvuma kwa ujumla, Mahenge, Ndanda, Mbeya, Bukoba, Iringa, n.k.
Bukoba hawakuwa na settler farms za maana.
Wakristo wa Fathers of the Holy Cross ndiyo waliojenga shule ya kwanza pale Bagamoyo. Shule ya kwanza ya serikali kujengwa na Wajerumani ilikuwa ni Tanga School. Inaelekea wenyeji wa Bagamoyo hawakupenda sana Holy Cross wajenge kanisa na shule pale Bagamoyo ijapokuwa Sultan Majjid na baadaye Bargash waliwabembeleza lakini walikubali kwa shingo upande. Kukataa kwao ndiyo kulikofanya hiyo dini na shule kutostawi pale Bagamoyo. Wamisionari walihamia Kurasini na halafu baadaye kwenda Ndanda na Peramiho.
Kitu kingine watu wanahusisha kanisa Katoliki na kuenea kwa maendeleo Tanzania. Hii siyo kweli ijapokuwa wakatoliki wanaweza kuwa wengi kuliko madhehebu mengine. Shule nyingi sana zilijengwa na madhehebu ya Lethuran, Anglikan, na Moravian. Ukichukua Mbeya kwa mfano kuna wakatoliki wachache ukilinganisha na Moravians.
 
Aisee huyo dada amekuhadithia hadithi nzuri sana...(haya tupigie makofi na tuimbe kwa pamoja)..

Grow up man...hizo propaganda za uarabu vs uafrika vs. mapinduzi vs. usultani is the same sh it..


Tuko mbali sana ni mambo ubaguzi ...tunaongelea faida ya nchi na wananchi kwa ujumla ...

Nafikiri Waislamu wa Darfur walikuwa na mawazo kama yako wakati wanamsapoti Al Bashir kupigana na watu wa kusini. Sasa hivi bila shaka wana akili timamu (kwa wale waliobahatika kusalia) na wanaelewa nini maana ya muungano. Zanzibar haiwezi kuishi bila adui wa kushindana naye na kumtupia lawama. Maalim kakaribishwa ikulu kwa hiyo sasa serikali yenu hamuwezi kuilaumu kwa hiyo sasa anatafutwa adui mpya.

Nimeanza kusikia waislamu wa bara wanaitwa CHOGO, nafikiri ni mapema mno. Endelea kuzuga, lkn mwenzio Sideeq kakubali na katupa mifano ya Syria na Misri. Mara baada ya kuwa ngome za waislamu, maendeleo yamerudi nyuma.

Wewe ni CHOGO au UAMSHO? Manake nisije nikawa naku-address kama Mzanzibari kumbe wewe ni wa hapa hapa ambaye tayari umeshaanza kubaguliwa
 
Hakuna sehemu katika Tanganyika ambayo Waarabu waliachiwa watatwale, na kama walikuwa sio watawala wangezijenga vipi hizo shule?!Ukweli wenyewe huyu jamaa ndiye aliye introduce ubaguzi wa Kidini, Kikabila na Kiukanda Tanzania.Kabla yake haijulikani katika historia ya Tanzania kuwa na ubaguzi.
Aliyowafanyia Waislamu kila mtu anayajua, hakuacha hapo akaendelea na Wachaga, mwisho akawarudia watu wa Pwani na kudiriki kusema kuwa hakuna watu wanaoitwa Waswahili, aka invent neno Tanzania BARA ili kuwafuta Wapwani katika historia ya TZ! hii ni kwa gharama ya neno Tanganyika eti kwa sababu tu alikuwa hajui maana ya neno Tanganyika!
Kibaya zaidi jamaa alikuwa si Mtanzania na vitendo vyake pia si vya Kitanzania. Maoni yangu binafsi:
Haka kajamaa kafutwe katika Historia ya Tanzania.

Wewe kajamaa - Nyerere ndio kakuzalia NCHI ya TZ na ndio maana una mahala unapaita nyumbani ndani ya nchi iliyoizaa Nyerere, hivyo aidha kaa kimya ama mpe heshima yake na usimwite Kajamaa. Utanzania ama TANZANIA ni Nyerere kaleta baada ya kuleta UHURU na kuunganisha Z'bar na Tanganyika - hivyo matendo yake ndio UTANZANIA. Babu yako angeweza kabisa kufanya mazuri zaidi ya Nyerere lkn alikua huko...... na hakujua hata kinachoendelea. Nyerere jukumu lake nambari moja ilikua UHURU, uchumi ulifuata baadaye. Sasa kejeli hao kina Mwinyi, Mkapa na JK ambao wameshindwa kuimarisha jukumu lao nambari moja ambalo ni kuziba mapungufu ya mwanzilishi wao, yaani kujenga UCHUMI ndani ya nchi iliyo HURU.

Nyerere kwa vyovyote aliipenda Tanganyika na UHURU ilikua ndio issue kubwa lkn hakua na akili ya kutosha ama na rasilimali za kutosha kuendeleza nchi nzima kwa mpigo baada ya UHURU kupatikana. Sasa hakua na kosa kuendeleza sehemu fulani kwanza kwa kua alijua zingine zitafuata baadaye.
 
Back
Top Bottom