Kwanini Nyerere hakuendeleza kusini kwa miaka mingi?

Kwanini Nyerere hakuendeleza kusini kwa miaka mingi?
Kwanini sehemu nyingi zenye Waislamu wengi hazikuendelezwa kwa miaka mingi? (Hii ni tokea ukoloni)
Jadili.
Sehemu ambazo zimeendelea zimetokana na watu wake kupata elimu dunia toka wakati wa ukoloni. Sehemu ambazo elimu dunia haikupewa msisitizo mapema maendeleo ni kidogo.
 
watu wa kusin ni wavivu, me nimesoma lindi sec nilichojionea ni watu kuamka asubuh na kuanza kucheza bao na kula kashata wasubr mchana wake zao wawaitie ugal na samak au mingoko, ukiangalia biashara za maana ni wahnd na wachaga ndo wanamiliki, maendeleo yanakuja kwa jamii kujitambua
 
Wewe ulitaka dini kwenye TANU au siasa?

Ujinga wako usikufanye ukasahau kuwa katika chama huiwakilishi dini yako.
Kama mimi ni mjinga sijui utamwita nani Nyerere alyemchagua Rev.Mushendwa kuwa Mkuu wa Development of Political Education katika chama cha TANU kwa ajili ya imani yake kubwa kwa Ukatoliki.
 
Kwanini Nyerere hakuendeleza kusini kwa miaka mingi?
Kwanini sehemu nyingi zenye Waislamu wengi hazikuendelezwa kwa miaka mingi? (Hii ni tokea ukoloni)
Jadili.

Kwa hiyo leo mpo tayari kuendelezwa? Kwa nini unafikiri vizazi vilivyopita havikuwa na akili kama ya kwako?

Hakuna mtu anayeendelezwa kwa nguvu. Unaweza kumpeleka ng'ombe kwenye maji lakini huwezi kumlazimisha kuyanywa. Mungu humpa kila ndege riziki yake lakini hamwekei kwenye kiota.
 
ebu tujiulize sisi waislam na wakristu, KAMA TATIZO NI MFUMO KRISTO '' WHO IS RUNNING THE WORLD?''
hiki kiingereza ambacho zomba na sadeeq wanaandika humu kimetokea wapi, mitaala ya elimu tofaut na somo la dini, masomo mengine kuna system yoyote ya kiislam?

NAOMBA KUJULISHWA ISLAMIC EDUCATION SYSTEM, achana na islamic banking system ambayo inatumika sasa hivi, bt haitawork out, ni ya kivivu haiwezekani leo uchukue 50000 alaf miaka mitano ijayo urudishe 50000 ileile, je thamani ya fedha itakuwa ile ile?


Kubalini tuu THIS IS GOD ENGINEERING!!!!( GREAT THINKERS, FREELANCERS, FREE AGENCY,BIG CONTRACT, BIG CONTRACTORS, NO CATERPILLAR, NO TECHNOLOGY, BIG INVENTORS) we are running the World fellas.
 
NAOMBA KUJULISHWA ISLAMIC EDUCATION SYSTEM, achana na islamic banking system ambayo inatumika sasa hivi, bt haitawork out, ni ya kivivu haiwezekani leo uchukue 50000 alaf miaka mitano ijayo urudishe 50000 ileile, je thamani ya fedha itakuwa ile ile?
Kubalini tuu THIS IS GOD ENGINEERING!!!!( GREAT THINKERS, FREELANCERS, FREE AGENCY,BIG CONTRACT, BIG CONTRACTORS, NO CATERPILLAR, NO TECHNOLOGY, BIG INVENTORS) we are running the World fellas.
Fanya utafiti kidogo kuhusu thamani ya pesa Kiislamu, je ni karatsi, ni coins za fedha? coins za dhahabu? halafu rudi hapa jamvini tuijadili.
Wanachofanya katika Islamic Banking System ni kujaribu kuiweka kuwa ya Kiislamu kiasi wanachoweza.
Kuhusu wewe kuwa una running the world, ninachokuambia kuwa ndio inawezekana kuwa una run the world, lakini usisahau kuwa Misri chini ya Firauni ilikuwa iki run the world katika wakati wao, sasa hivi ni ardhi ya Waislamu, Levante (Syria,Lebanon,Jordan) hizi zote zili run the world katika wakati wao huku ikiwa ni stronghold ya Kanisa,leo hii ni nchi za Waislamu.
Ninakukumbusha tu.......vipi mjadala kuhusu "st" Nyerere!tuufunge?
 
Kwanini Nyerere hakuendeleza kusini kwa miaka mingi?
Kwanini sehemu nyingi zenye Waislamu wengi hazikuendelezwa kwa miaka mingi? (Hii ni tokea ukoloni)
Jadili.


Hapo kwenye red ni ukoloni upi unaouzungumzia? Ule wa mwarabu uliodumu kwa karibu miaka 1000 au ule wa wajerumani/waingereza uliodumu kwa kama miaka 100?
 
Fanya utafiti kidogo kuhusu thamani ya pesa Kiislamu, je ni karatsi, ni coins za fedha? coins za dhahabu? halafu rudi hapa jamvini tuijadili.
Wanachofanya katika Islamic Banking System ni kujaribu kuiweka kuwa ya Kiislamu kiasi wanachoweza.
Kuhusu wewe kuwa una running the world, ninachokuambia kuwa ndio inawezekana kuwa una run the world, lakini usisahau kuwa Misri chini ya Firauni ilikuwa iki run the world katika wakati wao, sasa hivi ni ardhi ya Waislamu, Levante (Syria,Lebanon,Jordan) hizi zote zili run the world katika wakati wao huku ikiwa ni stronghold ya Kanisa,leo hii ni nchi za Waislamu.
Ninakukumbusha tu.......vipi mjadala kuhusu "st" Nyerere!tuufunge?


mpendwa sadeeeq, kubali mfumo wa kidunia wa elimu ni wa KIKRISTO, kama sifahamu naomba unijulishe ISLAMIC EDUCATION SYSTEM achana na somo la dini.
 
Misri chini ya Firauni ilikuwa iki run the world katika wakati wao, sasa hivi ni ardhi ya Waislamu, Levante (Syria,Lebanon,Jordan) hizi zote zili run the world katika wakati wao huku ikiwa ni stronghold ya Kanisa,leo hii ni nchi za Waislamu.
That is very true. sasa unataka kutuambia kuwa leo hii hizo nchi hazi-run the world kwa sababu watu wake ni wa-Islam au?
 
Fanya utafiti kidogo kuhusu thamani ya pesa Kiislamu, je ni karatsi, ni coins za fedha? coins za dhahabu? halafu rudi hapa jamvini tuijadili.
Wanachofanya katika Islamic Banking System ni kujaribu kuiweka kuwa ya Kiislamu kiasi wanachoweza.
Kuhusu wewe kuwa una running the world, ninachokuambia kuwa ndio inawezekana kuwa una run the world, lakini usisahau kuwa Misri chini ya Firauni ilikuwa iki run the world katika wakati wao, sasa hivi ni ardhi ya Waislamu, Levante (Syria,Lebanon,Jordan) hizi zote zili run the world katika wakati wao huku ikiwa ni stronghold ya Kanisa,leo hii ni nchi za Waislamu.
Ninakukumbusha tu.......vipi mjadala kuhusu "st" Nyerere!tuufunge?

That is very true. sasa unataka kutuambia kuwa leo hii hizo nchi hazi-run the world kwa sababu watu wake ni wa-Islam au?
 
Jamani acheni kujidhalilisha kwa ajili ya huyu mtu!
Hiyo Shule Nyerere aliijenga kwa hela zake mfukoni hata iwe ya kwake?! ni hela ya nchi ukiwemo wewe mwenyewe mwananchi......halafu shule iliyojengwa mwaka 1927! wakati huo Nyerere alikuwa na miaka mingapi?
Mnapindisha historia, kuufunika utamaduni wenu kwa ajili ya huyu mtu.

umenisoma vibaya ndugu..
Sikusema Nyerere alijenga shule ya 1927 wakati yeye kazaliwa 1922..

Kwanza kabisa mjue ili swala sio natural phenomena bali ni swala la kihistoria.kwahiyo unapo jadili maswala ya kihistoria unakosea kuanza na mwl Nyerere,ukumbuke katika historia ya nchii hii nyerere ameonekana kuanzia 1922 hadi 1997.. Kwahiyo jadili hali iliyokuwepo kabla yake na baada yake..

Jamaa hapo juu kaeleza vizuri sana,wakoloni walijenga na kuanzisha maeneo ya utawala katika maeneo yafuatayo;
kwanza maeneo yenye wamishenari,ili iwe laisi kuweka utawala wao,kwasababu maeneo haya tayari yalikua na pa kuanzia
pili,maeneo yaliyo kuwa na trade routes kama tabora kidogo yalijengwa
tatu,maeneo yenye population ya kutosha kama kilimanjaro.. Ili wa pate vibarua wa kutosha
nne maeneo yenye yenye rutuba ili waanzishe mashamba yao.. N.k lakini hizo ni enzi za mjerumani

lakini enzi za mwingeleza,yeye alifuata nyayo za mjerumani hakuna kubwa jipya aliloanzisha,kwasababu alijua yupo hapo kwa muda mfupi.. Na vita ya pili na matatizo ya uchumi miaka ya 1929 yalimsababisha mwingeleza hawe mnyonyaji zaidi kuliko kujenga..

Sasa ndugu zangu ulitaka mwl Nyerere haibadilishe kigoma iwe kama kilimanjaro kwa muda wa miaka 24,wakati kigoma ilitengenezwa kuwa vile kuanzia miaka ya 1890?

Ebu muacheni Baba wa Taifa apumzike kwa amani
 
Kama walitawala kwa nini kusini kwao bado maskini? Kwanza suala la maendeleo huanzia kwa mtu binafsi, kama mnakaa tu kugonga kahawa mnamsubiri Nyerere mtaisoma namba. Ndo nyie mnaamini maghorofa yote ya Kariakoo ni juhudi za serikali wakati ni za watu binafsi.
Maendeleo huanzia kwako nyambaaf
Wewe una maendeleo gani? Unaambiwa nchi zetu za Africa ni maskini wa kutupwa ndiyo maana tunaomba misaada kila kukicha. Sasa hayo maendeleo uliyonayo ni yepi, Nyambaafu! Usijitie moyo kijana, ungekuwa Afrika ya Kusini ungesemaje mshamba wee!
 
Kwanza kabisa mjue ili swala sio natural phenomena bali ni swala la kihistoria.kwahiyo unapo jadili maswala ya kihistoria unakosea kuanza na mwl Nyerere,ukumbuke katika historia ya nchii hii nyerere ameonekana kuanzia 1922 hadi 1997.. Kwahiyo jadili hali iliyokuwepo kabla yake na baada yake..
Bravo! Hapa ni katika moja ya sehemu ambazo nilikuwa nikizichimba!
Umefika wakati sasa wa Watanzania waache kumuona Nyerere kuwa ndiye mwanzilishi wa hili Taifa! turudini kwenye Historia yetu kabla ya Nyerere, rich history of Tanganyika and Zanzibar.Si baba wa Taifa yule alikuja na amekwenda kama vile wengine wote! Tanzania si Nyerere tu au Unyerenyere tukateni hizi kamba tulizofungwa ili tuendelee.
Nawasilisha.
 
Bravo! Hapa ni katika moja ya sehemu ambazo nilikuwa nikizichimba!
Umefika wakati sasa wa Watanzania waache kumuona Nyerere kuwa ndiye mwanzilishi wa hili Taifa! turudini kwenye Historia yetu kabla ya Nyerere, rich history of Tanganyika and Zanzibar.Si baba wa Taifa yule alikuja na amekwenda kama vile wengine wote! Tanzania si Nyerere tu au Unyerenyere tukateni hizi kamba tulizofungwa ili tuendelee.
Nawasilisha.

Kulikuwepo na Tanzania kabla ya Nyerere? Kuna watu wengi waliopita ambao waliongoza Tanzania - Tanganyika na Zanzibar. Kuna masultani - Seyyid Said, Seyyid Barghash, n.k. Kuna Wajerumani - akina Karl Peters, Kuna waingereza, n.k. Vile vile kuna machifu mbalimbali walioendesha makabila yao mbalimbali.

Historia mara nyingi inawakumbuka watu muhimu. Hii haina maana kuwa katika historia ya hizo nchi hapakupata kuwepo viongozi wengine. Enzi za Himaya ya Warumi mmoja kati ya wanaokumbukwa sana ni Julius Ceasar. Kule USA wanawakumbuka akina Abraham Lincoln, George Washington na John Kennedy.

Kumbuka vile vile ukisikia mtu fulani alikuwa maarufu haina maana kila mtu alikubaliana naye.
 
Sometimes. Wewe uelewa wako ni wa chini kabisa. Ukiambiwa Afrika bara masikini,basi unaona wote masikini. Ukiambiwa Amerika ama Ulaya ni matajiri basi unachukulia watu wote huko ni matajiri!
Wewe una maendeleo gani? Unaambiwa nchi zetu za Africa ni maskini wa kutupwa ndiyo maana tunaomba misaada kila kukicha. Sasa hayo maendeleo uliyonayo ni yepi, Nyambaafu! Usijitie moyo kijana, ungekuwa Afrika ya Kusini ungesemaje mshamba wee!
 
Kulikuwepo na Tanzania kabla ya Nyerere? Kuna watu wengi waliopita ambao waliongoza Tanzania - Tanganyika na Zanzibar. Kuna masultani - Seyyid Said, Seyyid Barghash, n.k. Kuna Wajerumani - akina Karl Peters, Kuna waingereza, n.k. Vile vile kuna machifu mbalimbali walioendesha makabila yao mbalimbali.

Historia mara nyingi inawakumbuka watu muhimu. Hii haina maana kuwa katika historia ya hizo nchi hapakupata kuwepo viongozi wengine. Enzi za Himaya ya Warumi mmoja kati ya wanaokumbukwa sana ni Julius Ceasar. Kule USA wanawakumbuka akina Abraham Lincoln, George Washington na John Kennedy.

Kumbuka vile vile ukisikia mtu fulani alikuwa maarufu haina maana kila mtu alikubaliana naye.
Kuna jambo gani la maana Nyerere aliloifanyia Tanzania?! kama yapo hayazidi vidole vya mkononi.
Ninamzungumzia Nyerere kama kiongozi hapa ndio maana sikuijibu ile hoja ya kuwa aliwapeleka watoto wake wapigane na Uganda (kama ni kweli), kwa sababu kama yeye alikuwa ni careless father aliyemuweka Obote mbele kabla ya watoto wake basi hilo ni suala lake binafsi.
Nchi nyingi msaliti huuliwa na kusahauliwa kabisa! kwa nini Nyerere aliyisaliti hii nchi hadi kwenda kuleta raia wa kigeni wawaue Wazanzibari na kuwa kibaraka wa nchi za Magharibi miaka na miaka aenziwe na kupewa nafasi katika Tanzania ya leo?!
 
Kuna jambo gani la maana Nyerere aliloifanyia Tanzania?! kama yapo hayazidi vidole vya mkononi.
Ninamzungumzia Nyerere kama kiongozi hapa ndio maana sikuijibu ile hoja ya kuwa aliwapeleka watoto wake wapigane na Uganda (kama ni kweli), kwa sababu kama yeye alikuwa ni careless father aliyemuweka Obote mbele kabla ya watoto wake basi hilo ni suala lake binafsi.
Nchi nyingi msaliti huuliwa na kusahauliwa kabisa! kwa nini Nyerere aliyisaliti hii nchi hadi kwenda kuleta raia wa kigeni wawaue Wazanzibari na kuwa kibaraka wa nchi za Magharibi miaka na miaka aenziwe na kupewa nafasi katika Tanzania ya leo?!


Kuwa maarufu mtu siyo lazima ufanye vitu vingi. Kuna watu walifanya kitu kimoja tu wakawa maarufu sana. Uwingi siyo hoja.

Kuhusu Nyerere kuwaua Wazanzibar sina taarifa nalo. Kuhusu Nyerere kuwa kibaraka wa nchi za Magharibi napingana na wewe kabisa. Marais wote waliomfuata Nyerere wamekuwa marafiki zaidi kwa nchi za Magharibi kuliko Nyerere, na huyu wa sasa ndiyo kabisa. Safari anazozifanya kwa mwaka moja rais wa sasa kwenda USA ni nyingi kuliko alizofanya Nyerere tokea anaanza kudai uhuru hadi anaachia madaraka.
 
Nina hakika kwa bahati mbaya ukifikishwa hospitali, hata madakitari walio katika mgomo lazima watakuhudumia wewe kwa kukulaza ICU! Mjadala wako unatia shaka kwamba kama kuna darasa ulihudhuria basi ni yale madarasa aliyoasisiwa na huyo unayemponda! Unapojadili jambo hili halihitaji uwe na elimu ya kupitiliza. Jukumu la kuyaendeleza maeneo yote ya nchi hii lilikuwa jukumu la Mwalimu. Mwalimu aliikuta Nchi imegawanywa kikanda. Naona nijipe muda kukufundisha historia. Kulikuwa na ukanda wa kutoa Makarani, walimu na watumishi wa Maofisini, Ukanda huo ni pamoja na maeneo ya Kilimanjaro, kagera , Mbeya hasa Unyakyusani kuyataja kwa uchache, Pia kulikuwa na ukanda walikotoka askari, hapa utaona Mara, Iringa, Ruvuma kuyataja pia kwa uchache. Sasa kuna ule ukanda maarufu uliotengwa kwa ajili ya Manamba, Maeneo hayo ni pamoja na maeneo ya Manda, Baadhi ya maeneo ya mkoa wa Mbeya hasa Usafwani na karibu ukanda wote wa kusini!

Kwa raslimali fedha chache alizokuwa nazo wakati anaanza kuiongoza nchi hii hakuna mjadala maeneo yaliyokuwa tayari yanamiundo mbinu ya kueleweka maendeleo yalionekana dhahiri. kwa mfano mashule yalikwisha kuwapo katika maeneo yale yaliyolengwa kutoa watumishi wa maofisini. Ndio maana Mwalimu aliamua watoto wasisome kikanda, haikushangaza kumwona mtoto toka Mtwara amepangiwa Old Moshi na alikuwa tayari kumsafirisha kwa gharama za Serikali ili akaipate hiyo Elimu!

Jambo lingine lililo dhahiri ni kwamba Waarabu Hawakuthamini elimu! Angalia mifumo ya Elimu kule Zanzibar, ukanda wote wa pwani ukiondoa maeneo ambako wamisionari wa Kikristo waliishi, Tabora na hata Kigoma utaona hayohayo. Kwa nini akusomeshe wakati wewe ni bidhaa? Kwa msimamo huo ulitegemea Mwalimu afanye muujiza gani? Zaidi sana alikazana kupiga vita matabaka ya kikabila na kikanda yaliokuwa yamejengeka sana wakati wake.

Usimlaumu Nyerere Walaumu waliokupa hiyo itikadi inayokumbatia ubaguzi kwa misaingi ya Kidini!

Good analysis hodogo, unajua watu wana perception na huyo mtu kutokana na ama kuna mwanafamilia au yeye mwenyewe alipokonywa tonge mdomoni, all in all pamoja shule chache na umaskini wa nje watanzania wachache bila kujali uwezo wao kiuchumi na eneo alilotoka walisoma sekondari tena kwa gharama ya nauli ya serikali hata kama unatoka Rukwa utapelekwa Arusha kikikubwa uwe ulifaulu std 7
 
Mfumo gani wa kisayansi "labda sayansi ya kutumia pesa za umma kwa ufisadi

Of course ni mfumo sawa na wale mafisadi walioko serikalini maana wengi wameiga kutoka hilo kanisa ndio hatutakaa tuendelee, mfumo kristo ni curse..aisee

Topical tunapoongelea mfumo mzuri ni le utaratibu wa ushirikishaji uma wa waumini kwenye kuchangia katika miradi ya maendeleo. Tunaposema uchangiaji, ni pamoja na wewe kuamua kumpeleka mtoto wako katika shule inayomilikiwa na kanisa, au hata zahanati n.k, ukiacha michango ya moja kwa moja inayolenga kusimamisha miradi mipya inayoanzishwa na Kanisa. Najua wewe uko katika ile itikadi inayojitoa sana katika michango, lakini kwa lengo la kuua wasiokuwa na itikadi kama yako! Ukijitolea kihivyo, utapata uungwaji mkono hafifu katika nchi kama hii ambayo haina historia ya kuuana kwa sababu ya kutofautiana kiitikadi!

Ufisadi ni somo ambalo wanasiasa kama akina Dr. Slaa na wenzake wanalifundisha kila siku, hilo si itikadi ya ukatoliki. Wewe umeamua kulishikilia bila kuwa na hoja nzito za kuliunga mkono, kwa lengo la kulichafua kanisa au kumchafua mbaya wako unayedhani kakusababishia ukose elimu!. Kama unafahamu ufisadi wenye sura hiyo tafadhali lete jamvini tukuunge mkono!
 
Ukitaka kupata majibu ya maswali yako jiulize yafuatayo:

a. Miaka 24 ya st. nyerere kwanini hakukuwepo na mradi wa kujenga shule, barabara na viwanda katika mikoa ya kusini??

b. Miaka 24 ya st. nyerere kwanini waziri wa elimu alikuwa mkatoliki tena padre???

c. Miaka 24 ya st. nyerere kwanini aliwekeza katika kuwaendeleza wakatoliki na kuwapa nafasi serikalini za upendeleo, hadi mtu wa kawaida unashindwa kutofautisha kanisa na serikali???

d. Miaka 24 ya st. nyerere kwanini kulikuwa na wafanyakazi wachache serikalini kutoka kusini??

NB. Usiniambia hawataki wenyewe, maana nimeshaenda Hanang ambako alijenga shule za bweni kwa watu waliokataa kabisa kusoma..angeweza kufanya the same?? unajua ni kwani hawajawasaidia??

Rais pekee anayeongoza kwa ubaguzi na udini Tanzania (st. nyerere mungu amrehemu)

mwinyi kafanya nini? kikwete kafanya nini? acha kutokwa na mimate udini haukusaidii.. JK atawapa lini mahakama ya kadhi?
unakumbuka ile hotuba ya kule dodoma kwenye msikiti wa marehemu Qadaffi? kikwete aliwaambia nini kuhusu Mou? VIPI yule katibu wa wizara ya elimu ameshaachia madaraka?
 
Back
Top Bottom