Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,333
- 24,227
Ukosefu wa dola sasa unaathiri biashara nyingi zinazotegemea kuagiza vipuri na malighafi zinazohitajika kuagizwa nje.
Kwa miaka mingi viongozi wa serikali wamekuwa wakishinda kila kiongozi kumpata "Mchina wake" kwenye miradi mingi nchini.
Wachina wamekuwa wakipewa miradi hata inayoweza kufanywa na wazawa hapa nchini.
Hili limelalamiikiwa kwa miaka mingi sana na wananchi mbali mbali, lakini kwa vile viongozi hao walikuwa wakipewa cha juu, wakaziba masikio.
Sasa kilichotokea ni kwamba wachin si wazawa, na wao wakipata hela y madafu wanaiwinda dola ya marekani kama luba.
Matokeo yake wachina wana nunua dola hadi Tshs 2,700 kwa dola moja.
Matokeo yake dola haionekani mitaani, maana ikiingia tu, imekwapuliwa.
Hili ni tatizo serikali imejijengea yenyewe, na yenyewe inajua miradi ya wachina imetolewa vipi.
Shida hii kwa biashara za wananchi imetokana na serikali yenyewe.
Kwa miaka mingi viongozi wa serikali wamekuwa wakishinda kila kiongozi kumpata "Mchina wake" kwenye miradi mingi nchini.
Wachina wamekuwa wakipewa miradi hata inayoweza kufanywa na wazawa hapa nchini.
Hili limelalamiikiwa kwa miaka mingi sana na wananchi mbali mbali, lakini kwa vile viongozi hao walikuwa wakipewa cha juu, wakaziba masikio.
Sasa kilichotokea ni kwamba wachin si wazawa, na wao wakipata hela y madafu wanaiwinda dola ya marekani kama luba.
Matokeo yake wachina wana nunua dola hadi Tshs 2,700 kwa dola moja.
Matokeo yake dola haionekani mitaani, maana ikiingia tu, imekwapuliwa.
Hili ni tatizo serikali imejijengea yenyewe, na yenyewe inajua miradi ya wachina imetolewa vipi.
Shida hii kwa biashara za wananchi imetokana na serikali yenyewe.