Kwanini Mkuu wa Majeshi hapewi heshima?

Colonial mentality....nenda Marekani au Urusi uone army commander anakiaje ata na rais hapa Bongo ni ile ile ya Kikoloni
 
Escort ambayo anatumia mkuu wa majeshi ni kubwa kuliko ya baadhi uliowataja. Mana wale escort yao ni polisi na mkuu wa majeshi escort ni ya makomandoo nadhani unajua tofauti aliyonayo polisi na mwanajeshi
acha kudanganya watu, wewe hujui hata maana ya mwanajeshi, soma ibara ya 147(4) ya katiba ya Tanzania 1977, mwanajeshi maana yake ni askari wa majeshi yetu yote yaani polisi,magereza,jeshi la ulinzi, na jeshi la kujenga taifa. na pia unaposema JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA maana yake ni pamoja na polisi, magereza, jeshi la kudumu, maarufu hujiita jwtz kitu ambacho si sahihi kisheria, kwani wenyewe jina lao halisi ni REGULAR FORCE, huwezi kuwa na kitu TPDF kwa kuwa tenga polisi na magereza, (UNAPOSEMA TPDF NI PAMOJA NA POLISI+MAGEREZA) nenda kasome sheria ya ulinzi wa taifa (NATIONAL DEFENCE ACT 1966) Kifungu cha 10(1)a-d , pia soma sheria ya majeshi ya akiba ya mwaka 1965 part iii, (RESERVE FORCES ACT), Pia kuna kasumba ya kutamba kwamba kombati za mabakabaka zina maanisha eti ni jeshi kamili, hii kasumba haina ukweli tena inaonesha weledi mfinyu ktk masuala ya kijeshi, nguo zile za mabakabaka ni CAMOUFLAGE HASA UTAKAPOKUA UNAPIGANA MAENEO YENYE UOTO UNAO LINGANA NA VAZI HILO, (KIJANI KIBICHI CHENYE MCHANGANYIKO), HIYO ITAKUSAIDIA USISHAMBULIWE KIRAHISI NA ADUI, lakini kwa ujinga wetu tuna amini kombati za baka ndiyo uanajeshi kamili. huwezi kwenda pigana jangwani then ukavaa kombati za bakabaka , mtapigwa mchana kweupe, kwani itakuwa ni rahisi kwa adui kuwagundua kutokana na kwamba jangwani huwa akuna uoto wa kijani kibichi, kombati sahihi kwa jangwa itategemea na nature ya jangwa lenyewe na lazima itakuwa kaki, n.k
 
acha kudanganya watu, wewe hujui hata maana ya mwanajeshi, soma ibara ya 147(4) ya katiba ya Tanzania 1977, mwanajeshi maana yake ni askari wa majeshi yetu yote yaani polisi,magereza,jeshi la ulinzi, na jeshi la kujenga taifa. na pia unaposema JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA maana yake ni pamoja na polisi, magereza, jeshi la kudumu, maarufu hujiita jwtz kitu ambacho si sahihi kisheria, kwani wenyewe jina lao halisi ni REGULAR FORCE, huwezi kuwa na kitu TPDF kwa kuwa tenga polisi na magereza, (UNAPOSEMA TPDF NI PAMOJA NA POLISI+MAGEREZA) nenda kasome sheria ya ulinzi wa taifa (NATIONAL DEFENCE ACT 1966) Kifungu cha 10(1)a-d , pia soma sheria ya majeshi ya akiba ya mwaka 1965 part iii, (RESERVE FORCES ACT), Pia kuna kasumba ya kutamba kwamba kombati za mabakabaka zina maanisha eti ni jeshi kamili, hii kasumba haina ukweli tena inaonesha weledi mfinyu ktk masuala ya kijeshi, nguo zile za mabakabaka ni CAMOUFLAGE HASA UTAKAPOKUA UNAPIGANA MAENEO YENYE UOTO UNAO LINGANA NA VAZI HILO, (KIJANI KIBICHI CHENYE MCHANGANYIKO), HIYO ITAKUSAIDIA USISHAMBULIWE KIRAHISI NA ADUI, lakini kwa ujinga wetu tuna amini kombati za baka ndiyo uanajeshi kamili. huwezi kwenda pigana jangwani then ukavaa kombati za bakabaka , mtapigwa mchana kweupe, kwani itakuwa ni rahisi kwa adui kuwagundua kutokana na kwamba jangwani huwa akuna uoto wa kijani kibichi, kombati sahihi kwa jangwa itategemea na nature ya jangwa lenyewe na lazima itakuwa kaki, n.k
me nimekuelewa mkuu.
 
me nimekuelewa mkuu.
ukisoma kifungu cha 56(4) cha sheria ya ulinzi wa taifa Tz, kinawataka jeshi la ulinzi, kutoa taarifa ya mazoezi yao kwa wakazi wa maeneo husika kama mazoezi hayo yataingia kwenye makazi ya watu, basi na mtu atakaye kaidi au kuingilia mafunzo yao atakamatwa na askari wa jeshi la polisi au ofisa wa jeshi la ulinzi au na askari yeyote wa jeshi la ulinzi kwa amri kutoka kwa ofisa wa jeshi la ulinzi, natena mafunzo hayo yanapaswa yawe na kibali cha maandishi kutoka kwa waziri wa ulinzi s.56(1), na pia kwa waziri wa mambo ya ndani kwa mujibu wa penal code, sasa ni mara ngapi jeshi la kudumu au jeshi la ulinzi hufanya mafunzo karibu na makazi ya watu bila kutoa taarifa kwa wakazi? na tena jeshi hili la kudumu la ulinzi huwa hawatoi hata taarifa ndani ya jeshi la polisi chombo ambacho kimepewa mamlaka ya kuhakikisha watu hawaingilii mafunzo yao, kwa mujibu wa kifungu nilicho kitaja. nilazima dhana ya kudharauliana katika majeshi yetu yote iondolewe kila askari amuheshimu mwenzie kwa mujibu wa majukumu aliyo pewa na nnchi.

na hata kama ni kutafuta kwamba chombo kipi kina mamlaka juu ya chenzie bado jeshi la polisi litakuwa namba moja kimamlaka kwani ndiyo chombo pekee cha kusimamia sheria zote za nchi, ukisoma sheria ya usalama wa taifa letu utaona kwamba TISS hawana uwezo wa ku enforce sheria bali kuchunguza tuu lkn jeshi la polisi linachuguza na ku enforce, je ? nani zaidi kimamlaka ?

ukisoma kifungu cha 77(1) cha sheria ya ulinzi wa taifa, askari wa jeshi la polisi (police constable) ambaye kimsingi ni police officer anamamlaka ya kumkamata askari wa jeshi la ulinzi ambaye anasadikika kuwa ni mtoro katika jeshi hilo, au ni mtoro kabisa, kisha kumfikisha mahakamani au kumpeleka kwenye kambi yao, sasa mpaka hapo nani ni kiranja wa mwenzie kati ya jeshi la polisi na jeshi la ulinzi ? ingawa nao askari wa jeshi la ulinzi huweza kuwa na mamlaka ya askari wa jeshi la polisi pale watakapokuwa wanasaidia mamlaka za kiraia (yaani ku enforce civilian laws)kwa Kifungu cha 22 cha sheria ya ulinzi wa taifa Tz

ukisoma C.40 ya kanuni ya adhabu ndani ya jeshi la ulinzi (CODE OF SERVICE DISCIPLINE) inatamka kuwa kitendo cha askari yeyote yule wa jeshi la ulinzi kuzuia askari mwenzao au ofisa wao asikamatwe na askari polisi, wa jeshi la polisi ni kosa tena lina stahili adhabu ya miaka isiyopungua miwili, hii ni sheria ya jeshi la ulinzi lenyewe, swali ni kwamba ni mara ngapi askari wa jeshi la ulinzi hugoma kukamatwa na askari wa jeshi la polisi ? kwa kisingizio kuwa wao hawa wezi kamatwa na polisi ? na kwa mujibu wa kifungu hiki nani ni zaidi ya mwenzie ? any way TANZANIA POLICE FORCE IS THE ORIGIN OF MILITARY CIVILIZATION IN TANZANIA, DRAW ITS HISTORY FROM THE GERMANS IN COLONIAL PERIODS , FOLLOWED BY THE NATIONAL SERVICE, UKIACHANA NA KINGS AFRICAN RIFLE YA MWINGEREZA AMBAMO JESHI LA ULINZI HUPATA CHANZO CHA HISTORIA YAKE, NA TENA HATA VIONGOZI WA KWANZA WA JKT WALIKUWA NI POLICE, 'majeshi yote yanamajukumu ya ulinzi wa taifa letu na kuhakikisha usalama, ni lazima askari (wanajeshi) wote wa vyombo vyote muheshimiane na kuthaminiana.

NAHATA KAMA NI MFUMO WA VYEO VYA KIJESHI AMBAO ASKARI WA JESHI LA ULINZI HUTAMBIA SANAAAAAA, BADO WANAPASWA KUKUMBUKA KUWA MKUU WA KWANZA WA JESHI LA POLICE TANZANIA ALIKUWA NA CHEO CHA "MAJOR" ALIITWA "MAJOR DAVIS " alikuja Tanganyika akitokea South Africa (hiki kilikuwa kipindi ambacho tanganyika ilikuwa chini ya uangalizi wa muingereza), BAADA YA HAPO COMMISSIONER ELANGWA SHAHIDI AKAWA MKUU WA KWANZA WA POLICE KWA WAZAWA, NA BAADAYE TULIPO UNGANA NA ZANZIBAR ELANGWA SHAHIDI AKAWA "IGP" WA KWANZA WA POLICE TANZANIA
 
acha kudanganya watu, wewe hujui hata maana ya mwanajeshi, soma ibara ya 147(4) ya katiba ya Tanzania 1977, mwanajeshi maana yake ni askari wa majeshi yetu yote yaani polisi,magereza,jeshi la ulinzi, na jeshi la kujenga taifa. na pia unaposema JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA maana yake ni pamoja na polisi, magereza, jeshi la kudumu, maarufu hujiita jwtz kitu ambacho si sahihi kisheria, kwani wenyewe jina lao halisi ni REGULAR FORCE, huwezi kuwa na kitu TPDF kwa kuwa tenga polisi na magereza, (UNAPOSEMA TPDF NI PAMOJA NA POLISI+MAGEREZA) nenda kasome sheria ya ulinzi wa taifa (NATIONAL DEFENCE ACT 1966) Kifungu cha 10(1)a-d , pia soma sheria ya majeshi ya akiba ya mwaka 1965 part iii, (RESERVE FORCES ACT), Pia kuna kasumba ya kutamba kwamba kombati za mabakabaka zina maanisha eti ni jeshi kamili, hii kasumba haina ukweli tena inaonesha weledi mfinyu ktk masuala ya kijeshi, nguo zile za mabakabaka ni CAMOUFLAGE HASA UTAKAPOKUA UNAPIGANA MAENEO YENYE UOTO UNAO LINGANA NA VAZI HILO, (KIJANI KIBICHI CHENYE MCHANGANYIKO), HIYO ITAKUSAIDIA USISHAMBULIWE KIRAHISI NA ADUI, lakini kwa ujinga wetu tuna amini kombati za baka ndiyo uanajeshi kamili. huwezi kwenda pigana jangwani then ukavaa kombati za bakabaka , mtapigwa mchana kweupe, kwani itakuwa ni rahisi kwa adui kuwagundua kutokana na kwamba jangwani huwa akuna uoto wa kijani kibichi, kombati sahihi kwa jangwa itategemea na nature ya jangwa lenyewe na lazima itakuwa kaki, n.k
Nafikiri ulimaanisha "hakuna badala ya akuna, nilitaka kukubaliana na wewe lakini niliposoma hiyo sentensi nimegundua huna 'credibility'
 
Kwa Utaratibu wa Vyeo CDF ndiye Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Tanzania.

Hoja ya kwanini hana Msafara sio kweli kwani yeye anao msafara kwa utaratibu wa sheria ya viongozi wetu nchini.

Wako viongozi ambao wanatumia msafara wa njia kufungwa kabisa na huruhusiwi kabisa kufungua mpaka upewe taarifa na wako viongozi ambao njia inasafishwa ili wapite.

Amiri Jeshi ambaye ndiye Rais yeye anafungiwa njia kabisa mpaka atakapopita, Na ukiingilia msafara wake unafunguliwa kesi ya Uhaini.

Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wako kwenye kundi la Bosi wao.

Spika, Katibu Mkuu Kiongozi, Mkuu wa Majeshi, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Mkuu wa Usalama wa Taifa na wengine, Hawa wanasafishiwa nji inapobidi tu na sio utaratibu wa kila siku, mara zote wanakuwa na mbili kwa maana ya kiongozi na walinzi wake.
 
kwenye hali ya dharura pale ambapo amiri jeshi mkuu anakuwa ametoa amri basi JWTZ hujumuisha majeshi yote ikiwamo mgambo ,na wale wanaojitolea pale wanapohitajika ....kwa ujumla pamoja na wastaafu wa vyombo vya ulinzi au wale wote ambao wana namba za mafunzo za majeshi yote wako chini ya JESHI LA AKIBA ....Ikitokea vita formation ya comand yote huwa chini ya JWTZ.
 
acha kudanganya watu, wewe hujui hata maana ya mwanajeshi, soma ibara ya 147(4) ya katiba ya Tanzania 1977, mwanajeshi maana yake ni askari wa majeshi yetu yote yaani polisi,magereza,jeshi la ulinzi, na jeshi la kujenga taifa. na pia unaposema JESHI LA WANANCHI WA TANZANIA maana yake ni pamoja na polisi, magereza, jeshi la kudumu, maarufu hujiita jwtz kitu ambacho si sahihi kisheria, kwani wenyewe jina lao halisi ni REGULAR FORCE, huwezi kuwa na kitu TPDF kwa kuwa tenga polisi na magereza, (UNAPOSEMA TPDF NI PAMOJA NA POLISI+MAGEREZA) nenda kasome sheria ya ulinzi wa taifa (NATIONAL DEFENCE ACT 1966) Kifungu cha 10(1)a-d , pia soma sheria ya majeshi ya akiba ya mwaka 1965 part iii, (RESERVE FORCES ACT), Pia kuna kasumba ya kutamba kwamba kombati za mabakabaka zina maanisha eti ni jeshi kamili, hii kasumba haina ukweli tena inaonesha weledi mfinyu ktk masuala ya kijeshi, nguo zile za mabakabaka ni CAMOUFLAGE HASA UTAKAPOKUA UNAPIGANA MAENEO YENYE UOTO UNAO LINGANA NA VAZI HILO, (KIJANI KIBICHI CHENYE MCHANGANYIKO), HIYO ITAKUSAIDIA USISHAMBULIWE KIRAHISI NA ADUI, lakini kwa ujinga wetu tuna amini kombati za baka ndiyo uanajeshi kamili. huwezi kwenda pigana jangwani then ukavaa kombati za bakabaka , mtapigwa mchana kweupe, kwani itakuwa ni rahisi kwa adui kuwagundua kutokana na kwamba jangwani huwa akuna uoto wa kijani kibichi, kombati sahihi kwa jangwa itategemea na nature ya jangwa lenyewe na lazima itakuwa kaki, n.k
Nini kirefu cha TPDF?
 
Nini kirefu cha TPDF?
(TPDF) TANZANIA PEOPLES DEFENCE FORCES (SOMA KIFUNGU CHA 10(1) CHA SHERIA YA ULINZI WA TAIFA/ THE NATIONAL DEFENCE ACT 1966) HAPO UTAELEWA ZAIDI COMPONENTS OF TPDF, NA USIISHIE HAPO TUU SOMA TENA SHERIA YA MAJESHI YA AKIBA / THE RESERVE FORCES ACT 1965 (PART III YA SHERIA HIYO)
 
Au niuelewa wangu mdogo au upo tofauti na ukweli husika?

Kuna huu utaratibu wa viongozi wa kiserikali hasa hapa dar kutembea kwa masafara wa magari kadhaa ukiongozwa na pikipiki.
baadhi ni kama waziri mkuu .spika wa bunge MKUU wa mkoa na mkuu wa polisi Mara NYINGI wanapo kuwa wanapita huwa wanasafishiwa njia kabisa.

Lakini why kwa MKUU wamajeshi huwa tofauti??. Inamaaana kweli kiutendaji hawa wapo juu yake??.

Hivi nji ikipinduliwa nani anashika madaraka ya kuiongoza kama sio MKUU wa majeshi..ss kwanini hapewi heshima ??? au ndio utaratibu??.
wiki iliyopita tulinasa nae kwenye foleni bondeni alikuwa akielekea njia ya TEGETA alikuwa na msafara wa gari 1 tu ya MP ambayo ilikuwa mbele ilibidi washuke nakuanza kupangua gari ili MKUU aweze kupita.
watu wengine bwana sijui mmetumwa mnaanza kuchokonoa mambo mnataka kutia siasa katika jeshi we ndo unapanga itifaki
 
kwenye hali ya dharura pale ambapo amiri jeshi mkuu anakuwa ametoa amri basi JWTZ hujumuisha majeshi yote ikiwamo mgambo ,na wale wanaojitolea pale wanapohitajika ....kwa ujumla pamoja na wastaafu wa vyombo vya ulinzi au wale wote ambao wana namba za mafunzo za majeshi yote wako chini ya JESHI LA AKIBA ....Ikitokea vita formation ya comand yote huwa chini ya JWTZ.
JINA HALISI LA HAWA WANAOITWA JWTZ NI "REGULAR FORCE"(REJEA KIFUNGU CHA 10(1)(a) CHA SHERIA YA ULINZI WA TAIFA LA TANZANIA) "REGULAR FORCE" YAANI JESHI LA ULINZI LA KUDUMU HII INAMAANA KUNA MAJESHI MENGINE YA ULINZI AMBAYO SI YA KUDUMU KWA MAANA KWAMBA WAKATI WA AMANI PENGINE YANATEKELEZA SHUGHULI ZINGINE ZA TAIFA, MFANO MAGEREZA, POLISI, ETC NA HAO MGAMBO UNAO WAZUNGUMZIA HAWATAJWI KWENYE KIFUNGU CHA 10(1) CHA SHERIA YA ULINZI WA TAIFA, KWAMBA WATAKUWA NI SEHEMU YA TPDF, ILA MGAMBO NI RAIA/ MWANANCHI ALIYEPEWA MAFUNZO YA KUTEKEREZA SHERIA (LAW ENFORCEMENT) AU MAFUNZO YA KIJESHI AU MAFUNZO YANAYO FANANIA NA MAFUNZO YA KIJESHI (PARAMILITARY TRAINING /QUAS MILITARY), NENO MGAMBO HALITA MAANISHA POLISI,ASKARI MAGEREZA, ASKARI WA JESHI LA KUDUMU YAANI REGULAR FORCE, AU ASKARI WA NATIONAL SERVICE, SOMA SHERIA YA MGAMBO YA TANZANIA, IITWAYO "PEOPLES MILITIA ACT (POWER OF ARREST ) 1975",(KIFUNGU CHA 1, TAFSIRI YA MGAMBO) HAPO UTAPATA MAANA HALISI YA 'MGAMBO" NI NANI ? , ILA SASA SUALA LA KUWAJUMUISHA MGAMBO KWENYE TPDF WAKATI WA VITA HILO LISIKUPE TABU KWANI WAKATI WA VITA SI MGAMBO TUU HATA RAIA ASIYE NA MAFUNZO ATAPEWA MAFUNZO KIDOGO ILIAWEZE JUMUIKA KUTETEA TAIFA LAKE. KWA MUJIBU WA SHERIA HIYO YA MGAMBO, MGAMBO ANAMAMLAKA YA KUKAMATA MAKOSA YA JINAI, NA PINDI AFANYAPO KAZI ZA UKAMATAJI BASI ANAKUWA NA CHEO SAWA NA POLICE CONSTABLE (KIFUNGU CHA 3 CHA SHERIA YA MGAMBO NILIYO ITAJA HAPO KWENYE MAELEZO YANGU)
 
watu wengine bwana sijui mmetumwa mnaanza kuchokonoa mambo mnataka kutia siasa katika jeshi we ndo unapanga itifaki
kuna siasa gani hapo au ww mda wote ndio wawaza siasa? yaonekana huna hata ulijualo watu tuliuliza ili kufahamishwa na humu kuna watu wameshusha majibu na elimu ambayo hata ww hapo huna ufaham juu yahayo.usiwaze siasa mda wote ndugu utashindwa kufanya mambo ya msingi​
 
.......,hiyo idadi ya magari ya ulinzi ya viongozi sijui hata unaitakia nini??? Au lengo lako ni nini na wewe ni nani??

Dunia hii maswali mengine huwa hayajibiwi.....

Acha kumtisha bhanaaa..... nchi hii kila mtu anajifanya interejensia au usalama..hovyoooo. Mngesaidia kuvumbua majambazi basi kabla hawajafanya matukio kuliko kusubiri kuwatisha watu na mbwembwe zenu za kifala.

Jamaa anauliza maana kamuonea huruma Mkuu wa Majeshi kwanini hasafishiwi njia na wala haitaji idadi ya magari. Kwa uzoba wako unaleta vitisho....kwenda kuleeee
 
Au niuelewa wangu mdogo au upo tofauti na ukweli husika?

Kuna huu utaratibu wa viongozi wa kiserikali hasa hapa dar kutembea kwa masafara wa magari kadhaa ukiongozwa na pikipiki.
baadhi ni kama waziri mkuu .spika wa bunge MKUU wa mkoa na mkuu wa polisi Mara NYINGI wanapo kuwa wanapita huwa wanasafishiwa njia kabisa.

Lakini why kwa MKUU wamajeshi huwa tofauti??. Inamaaana kweli kiutendaji hawa wapo juu yake??.

Hivi nji ikipinduliwa nani anashika madaraka ya kuiongoza kama sio MKUU wa majeshi..ss kwanini hapewi heshima ??? au ndio utaratibu??.
wiki iliyopita tulinasa nae kwenye foleni bondeni alikuwa akielekea njia ya TEGETA alikuwa na msafara wa gari 1 tu ya MP ambayo ilikuwa mbele ilibidi washuke nakuanza kupangua gari ili MKUU aweze kupita.

Una udugu na Augustine Mrema? Naibu Waziri Mkuu pekee kupata kutokea Tanganyika mpaka Tanzania.
 
MKUU mm nilishuhudia tulikuwa tonatokea MWENGE na kuelekea kunduchi tukiwa na private car na kuanzia bondeni mpaka samaki samaki kulikuwa na foleni gari hazitembei kabisa coz kulikuwa na ajali.
na upande wapili gari zilikuwa zikitembea kama kawaida na kulikuwa hakuna foleni kabisa lkn kilicho nishangaza nikuwa MKUU huyo wamajeshi akiongozwa na gari ya MP Mbele walipita taratibu kwakubembeleza nakuwaomba baadhi ya madereva kuweka gari pembeni kisha wakapita.mm nikashangaa kwanini wasihamie upande wa pili ambao LAzima gari zingesimama na kuwapisha ??.
na kwanini yeye huwa hasafishiwi njia kama viongozi wengine??.
maana kunahuyu mwingine wakutoka TEGETA kila siku ni shidaaaa.anakwenda ofisini kwa king'ora anarudi kwa king'ora
Nani huyo anayeenda kazini kwa ving'ora?
 
Back
Top Bottom