Kwanini Mkuu wa Majeshi hapewi heshima?

LEGE

JF-Expert Member
Oct 14, 2011
5,123
9,167
Au niuelewa wangu mdogo au upo tofauti na ukweli husika?

Kuna huu utaratibu wa viongozi wa kiserikali hasa hapa dar kutembea kwa masafara wa magari kadhaa ukiongozwa na pikipiki.
baadhi ni kama waziri mkuu .spika wa bunge MKUU wa mkoa na mkuu wa polisi Mara NYINGI wanapo kuwa wanapita huwa wanasafishiwa njia kabisa.

Lakini why kwa MKUU wamajeshi huwa tofauti??. Inamaaana kweli kiutendaji hawa wapo juu yake??.

Hivi nji ikipinduliwa nani anashika madaraka ya kuiongoza kama sio MKUU wa majeshi..ss kwanini hapewi heshima ??? au ndio utaratibu??.
wiki iliyopita tulinasa nae kwenye foleni bondeni alikuwa akielekea njia ya TEGETA alikuwa na msafara wa gari 1 tu ya MP ambayo ilikuwa mbele ilibidi washuke nakuanza kupangua gari ili MKUU aweze kupita.
 
Escort ambayo anatumia mkuu wa majeshi ni kubwa kuliko ya baadhi uliowataja. Mana wale escort yao ni polisi na mkuu wa majeshi escort ni ya makomandoo nadhani unajua tofauti aliyonayo polisi na mwanajeshi

MKUU mshangao wangu ni why anapokuwa anapita njia huwa haisafishi?? yaani nayeye unakuta anakuwa kwenye foleni kama kawaida??.

MKUU naomba unisaidie misafara mfano wa raisi huwa unatakiwa kuwa na magari mangapi na huwa anaongozana na wakina nani na waziri MKUU nae pia na spika na je urazima wakuambatana na hao watu ni upi??
 
Ninachoelewa jeshi letu Tz hua halina msafara maalum kwa viongozi..kwa kile wanachokiita sababu za kiusalama, ndio maana ni ngumu kukuta msafara wa Rais unaongozana na Mkuu wa majeshi lazma wapeane nafasi kubwa sana.

Pindi uonapo mkuu wa majeshi anakatiza kua mpole tuu wala usije ukawa hamna ulinzi wa kutosha...ngoja wahusika wakaombe ruhusa ya kusema humu jamvini watakueleza zaidi...:A S wink:
 
Escort ambayo anatumia mkuu wa majeshi ni kubwa kuliko ya baadhi uliowataja. Mana wale escort yao ni polisi na mkuu wa majeshi escort ni ya makomandoo nadhani unajua tofauti aliyonayo polisi na mwanajeshi

tofauti ni ipi? na acha kudanganya watu eti analindwa na makomando
 
  • Thanks
Reactions: B40
Mkuu wa majeshi ana ulinzi wake maalumu toka kwa wanajeshi wa kawaida na makomandoo, kule anakokwenda pia tayari kambi za huko huwa zimetaarifiwa juu ya ziara au msafara wa mkuu wa majeshi hivyo kujipanga kutoa ulinzi.

Kumbuka ndani ya jeshi kuna kitengo maalumu cha ujasusi, kwa hivyo ni vigumu sana kumjua nani jasusi na nani siyo hata TISS ina watu wake maalumu huku jeshini.

Endapo kuna mapinduzi ya kijeshi Mkuu wa majeshi huwa ahusiki ingawa taarifa za mapinduzi huwa anazo.

Wanajeshi wenye vyeo vya chini mfano Captain, kanali ndo huwa wanapindua nchi kwa Baraka za Wakuu wa kijeshi, hao wakuu wa kijeshi kazi yao ni kuwapa taarifa wakuu wa vikosi vya zones na mikoani
 
We siku ukimwona anapita katiza na kastaleti kako ndo utajuwa!

MKUU mm nilishuhudia tulikuwa tonatokea MWENGE na kuelekea kunduchi tukiwa na private car na kuanzia bondeni mpaka samaki samaki kulikuwa na foleni gari hazitembei kabisa coz kulikuwa na ajali.
na upande wapili gari zilikuwa zikitembea kama kawaida na kulikuwa hakuna foleni kabisa lkn kilicho nishangaza nikuwa MKUU huyo wamajeshi akiongozwa na gari ya MP Mbele walipita taratibu kwakubembeleza nakuwaomba baadhi ya madereva kuweka gari pembeni kisha wakapita.mm nikashangaa kwanini wasihamie upande wa pili ambao LAzima gari zingesimama na kuwapisha ??.
na kwanini yeye huwa hasafishiwi njia kama viongozi wengine??.
maana kunahuyu mwingine wakutoka TEGETA kila siku ni shidaaaa.anakwenda ofisini kwa king'ora anarudi kwa king'ora
 
MKUU mm nilishuhudia tulikuwa tonatokea MWENGE na kuelekea kunduchi tukiwa na private car na kuanzia bondeni mpaka samaki samaki kulikuwa na foleni gari hazitembei kabisa coz kulikuwa na ajali.
na upande wapili gari zilikuwa zikitembea kama kawaida na kulikuwa hakuna foleni kabisa lkn kilicho nishangaza nikuwa MKUU huyo wamajeshi akiongozwa na gari ya MP Mbele walipita taratibu kwakubembeleza nakuwaomba baadhi ya madereva kuweka gari pembeni kisha wakapita.mm nikashangaa kwanini wasihamie upande wa pili ambao LAzima gari zingesimama na kuwapisha ??.
na kwanini yeye huwa hasafishiwi njia kama viongozi wengine??.
maana kunahuyu mwingine wakutoka TEGETA kila siku ni shidaaaa.anakwenda ofisini kwa king'ora anarudi kwa king'ora

wanasiasa na polisi wana sifa za kijinga ndo maana wanapenda kusafishiwa njia kwenye misafara yao.
 
Mkuu wa majeshi ana ulinzi wake maalumu toka kwa wanajeshi wa kawaida na makomandoo, kule anakokwenda pia tayari kambi za huko huwa zimetaarifiwa juu ya ziara au msafara wa mkuu wa majeshi hivyo kujipanga kutoa ulinzi.

Kumbuka ndani ya jeshi kuna kitengo maalumu cha ujasusi, kwa hivyo ni vigumu sana kumjua nani jasusi na nani siyo hata TISS ina watu wake maalumu huku jeshini.

Endapo kuna mapinduzi ya kijeshi Mkuu wa majeshi huwa ahusiki ingawa taarifa za mapinduzi huwa anazo.

Wanajeshi wenye vyeo vya chini mfano Captain, kanali ndo huwa wanapindua nchi kwa Baraka za Wakuu wa kijeshi, hao wakuu wa kijeshi kazi yao ni kuwapa taarifa wakuu wa vikosi vya zones na mikoani

Ngoja nitafakari andiko lako hili nitatarui.
 
MKUU mshangao wangu ni why anapokuwa anapita njia huwa haisafishi?? yaani nayeye unakuta anakuwa kwenye foleni kama kawaida??.

MKUU naomba unisaidie misafara mfano wa raisi huwa unatakiwa kuwa na magari mangapi na huwa anaongozana na wakina nani na waziri MKUU nae pia na spika na je urazima wakuambatana na hao watu ni upi??

Wee baki na swali lako la awali,hiyo idadi ya magari ya ulinzi ya viongozi sijui hata unaitakia nini??? Au lengo lako ni nini na wewe ni nani??

Dunia hii maswali mengine huwa hayajibiwi
 
Back
Top Bottom