upende usipende.........................shirikisho la eac linakuja sasa huyo jk sijui atakusaidaje kama hata sasa hana majibu ya ukosefu wa ajira..............................raisi ambaye amekiri kuwa hajui kwanini tz ni masikini...........................hivi atakutetea kivipi na umasikini ndiyo unazidi kushamiri.................................chungulia majibu ya umasikini huu nje ya mipaka ya tz au utabakia na mawazo yako mgando uliyonayo
ndiyo madhara ya wageni kujipenyeza na kujifanya watanzania! Wewe siyo mtanzania kabisa! Umekomaa,unafaida flani ya ndugu zako waje wavamie ardhi yetu eeh!