MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
baadhi ya wanaJf ni raia wa nchi za kigeni ambao wanataka kutumia jukwaa hili kuonyesha kwamba Jk au Tanzania haikubaliki katika Jumuia EA
Rutashubanyuma ndo yale yale ya kina hypokite kanimbe aka Joseph kabila wanataka kujenga the HIMA EMPIRE kwenye maziwa makuu
baadhi ya wanaJf ni raia wa nchi za kigeni ambao wanataka kutumia jukwaa hili kuonyesha kwamba Jk au Tanzania haikubaliki katika Jumuia EA
Jibu hoja badala ya kushambulia mleta thread. Siyo siri kwamba kutokuja kwa wakuu wa nchi za EAC ktk mahadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika kunaonyesha wenzetu wamechoshwa na ubabaishaji wa watawala wetu! Ombwe la uongozi ktk serikali ya awamu ya 4 limeishavuka mipaka,sasa na majirani zetu wametustukia. Niliwahi uliza huko nyuma kwamba watendaji wetu serikalini na waziri walikuwa wapi mpaka dakika ya mwisho ya sherehe ya utiaji sahihi ndipo wanagundua kwamba kuna vipengele ktk haviko sawa! Kwa mtu yeyote makini huo ulikuwa ni uzembe.
Mawazo ya Interahamwe!
Mbona hakuna rais yeyote wa EAC aliyehudhuria Kenya's Jamhuri day juzi?:eyebrows:
we nyang'au nani Interahamwe?
Huoni mawazo yako hayana tofauti na Interahamwe. Ni mbaguzi na una chuki dhidi ya jamii ya Wahima wa nchi za maziwaa makuu.
Kama wamechoshwa na sie dawa ni kuendelea na jumuiya yao. Kususia sherehe hakuwasaidii maana kwetu sie EAC ni ajenda ya wakenya kujaribu kutatua matatizo yake kwa mgongo wa TZ. Sherehe zenyewe zilikuwa za ccm wala hazikuwa za watanzania lakini ishu ya ardhi na ulinzi ni ya watanzania, na kwa hilo kikwete anafanya maamuzi mazuri ya kwanza tangu aingie madarakani! Hongera kikwete!Jibu hoja badala ya kushambulia mleta thread. Siyo siri kwamba kutokuja kwa wakuu wa nchi za EAC ktk mahadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika kunaonyesha wenzetu wamechoshwa na ubabaishaji wa watawala wetu! Ombwe la uongozi ktk serikali ya awamu ya 4 limeishavuka mipaka,sasa na majirani zetu wametustukia. Niliwahi uliza huko nyuma kwamba watendaji wetu serikalini na waziri walikuwa wapi mpaka dakika ya mwisho ya sherehe ya utiaji sahihi ndipo wanagundua kwamba kuna vipengele ktk haviko sawa! Kwa mtu yeyote makini huo ulikuwa ni uzembe.
Kama wamechoshwa na sie dawa ni kuendelea na jumuiya yao. Kususia sherehe hakuwasaidii maana kwetu sie EAC ni ajenda ya wakenya kujaribu kutatua matatizo yake kwa mgongo wa TZ. Sherehe zenyewe zilikuwa za ccm wala hazikuwa za watanzania lakini ishu ya ardhi na ulinzi ni ya watanzania, na kwa hilo kikwete anafanya maamuzi mazuri ya kwanza tangu aingie madarakani! Hongera kikwete!