Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

Pcb ilikua mziki sana ukizingatia bam nayo sio ya kitoto

Practical nilikua bingwa wa kufoji practical aisee, necta nilipangiwa sehemu ya kuanza kufanya practical ya umeme yule msimamizi alinichek mpaka akacheka, yaani sikuunga kitu chochote jamaa anakuja kuniambia muda unaenda mbona hufanyi practical anakuta ndo namalizia kuchora graph nishamaliza saa nyingi...

Akaishia kucheka tu ananiuliza sasa we hizi data umezipataje
Kuna muda data unapika ukishajua range inaendaje...ukishaangalia pilot test iko aje unaweza kupika za chini...
 
Nafurahi kugundua kuwa nakujua na vile ulisema wewe ni ngumi mkononi basi mpaka hapa wewe mimi nakujua vilivyo ndugu yangu .

Mwenzio mbali na kurukaruka ila nilienda Muhimbili na badae huko nje vipi mwanangu ulitobolea wapi mzee baba ?

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Zamani kulikua na spirit sana unakuta wababe wote wa hesabu, au labda physics wanajulika kwa majina hata kama husomi nae habari utazipata tu
 
Hizi shule(mzumbe,pugu,kisimiri,ilboru,kibaha and the likes) japokua siku izi nyingi zimepoteza sifa zake aisee kama una moyo mwepesi usiende huko unaweza kupata depression au pressure ukashindwa kusoma
Kupoteza sifa kivipi mkuu wakati sasa hivi zimeongeza ufaulu kuliko miaka hiyo. Fuatalia matokeo yaliyotoka leo halafu linganisha na enzi zako. Kuna 1.7 zaidi ya 40 kwenye shule moja hizi za Kibaha , Mzumbe na Ilboru wakati enzi zako idadi hiyo ilikuwa kwa Tanzania nzima. Hizo shule bado zinapiga sana halafu ni kwa msuri wa kujitegemea.

Ila umenifurahisha kwenye kukata topick halafu ukaingia mtupu lazima uscore mswaki mpaka ukae sawa umepitia magumu. Jambo la msingi ilikuwa ni kuhakikisha uko miongoni mwa wanafunzi 100 waliopata division 1 maswala ya u T.O unawaachia wakina E. G na E.K and company
 
Kuna muda data unapika ukishajua range inaendaje...ukishaangalia pilot test iko aje unaweza kupika za chini...
Yaani mi nilikua nikishapata pilot test natupa mavifaa Yao Huko yaani hapo practical imeisha.....

Mwaka wetu kemia practical ya titration tulifanya mpaka jasho likatoka, ngoma haibadiliki Wala Nini... Mpaka jamaa mmoja akaropoka 'huu ni ujinga' watu wakacheka, msimamizi anauliza Nini watu wakamwambia mbona hii practical Kila mtu inamgomea, wakamtafuta teacher wa kemia kaja kujaribu ikamshinda... Kumbe Hawa kenge walileta chemical sijui za wapi bana, ikabidi msimamizi aandike ripoti kuhusu Hilo swala tukaambiwa tuachane na Hilo swali... Wajinga sijui kama walitupa marks zetu
 
Pcb ilikua mziki sana ukizingatia bam nayo sio ya kitoto

Practical nilikua bingwa wa kufoji practical aisee, necta nilipangiwa sehemu ya kuanza kufanya practical ya umeme yule msimamizi alinichek mpaka akacheka, yaani sikuunga kitu chochote jamaa anakuja kuniambia muda unaenda mbona hufanyi practical anakuta ndo namalizia kuchora graph nishamaliza saa nyingi...

Akaishia kucheka tu ananiuliza sasa we hizi data umezipataje
Ukapika data zinazokaribia na uhalisia. Walimu wa hizo shule wandundisha mbinu za kufaulu mitihani pia kuhakikisha unamaliza kwa muda muafaka kisha urejee kuokoteza marks kuitafuta A au B
 
Kupoteza sifa kivipi mkuu wakati sasa hivi zimeongeza ufaulu kuliko miaka hiyo. Fuatalia matokeo yaliyotoka leo halafu linganisha na enzi zako. Kuna 1.7 zaidi ya 40 kwenye shule moja hizi za Kibaha , Mzumbe na Ilboru wakati enzi zako idadi hiyo ilikuwa kwa Tanzania nzima. Hizo shule bado zinapiga sana halafu ni kwa msuri wa kujitegemea.

Ila umenifurahisha kwenye kukata topick halafu ukaingia mtupu lazima uscore mswaki mpaka ukae sawa umepitia magumu. Jambo la msingi ilikuwa ni kuhakikisha uko miongoni mwa wanafunzi 100 waliopata division 1 maswala ya u T.O unawaachia wakina E. G na E.K and company
Kuna mwaka niliangalia top 10 za matokeo ya form 6 nikazikosa kibaha, ilboru,mzumbe yaani kisimiri na tabora boys ndo zilikuwepo nilisikitika sana
 
Yaani mi nilikua nikishapata pilot test natupa mavifaa Yao Huko yaani hapo practical imeisha.....

Mwaka wetu kemia practical ya titration tulifanya mpaka jasho likatoka, ngoma haibadiliki Wala Nini... Mpaka jamaa mmoja akaropoka 'huu ni ujinga' watu wakacheka, msimamizi anauliza Nini watu wakamwambia mbona hii practical Kila mtu inamgomea, wakamtafuta teacher wa kemia kaja kujaribu ikamshinda... Kumbe Hawa kenge walileta chemical sijui za wapi bana, ikabidi msimamizi aandike ripoti kuhusu Hilo swala tukaambiwa tuachane na Hilo swali... Wajinga sijui kama walitupa marks zetu
Hata mwaka wetu ilikua very slow hasa ..sema ilileta majibu muda umeenda..hapo ndo mpiko wa data ulifanyika kiufasaha maana hakuna namna muda ukiisha huwezi ongezewa...
 
Sitaki hata kukumbuka ule mziki wa mkate wa physics....kwanza nilijilaumu kwanini nimeenda kusoma PCB..nawalaumu walimu kwa kunipa bichwa kuwa unaweza ww lazima uende PCB...nilochokua naweza ni Biology tuu....hayo mengine ni practical ndo zilikua zinanisaidia...Phyisics ngumu nyiee...mpk leo sijui hata kuunga balbu iwake...
mie nilipewa bichwa naweza hesabu nikaenda pcm...weee .kemia hadi leo.sielewagi kitu..😏...physics ni formulas tu ziwe akilini na ubongo uwe twisted kila mara....kemia shikamoo..sijui matitration...pyee
 
mie nilipewa bichwa naweza hesabu nikaenda pcm...weee .kemia hadi leo.sielewagi kitu..😏...physics ni formulas tu ziwe akilini na ubongo uwe twisted kila mara....kemia shikamoo..sijui matitration...pyee
Organic chemistry shikamoo, Kuna dogo aisee alimeza organic yaani akawa kama kichaa anatembea anaongea mwenyewe maswala ya chemical reactions tu😃
 
mie nilipewa bichwa naweza hesabu nikaenda pcm...weee .kemia hadi leo.sielewagi kitu..😏...physics ni formulas tu ziwe akilini na ubongo uwe twisted kila mara....kemia shikamoo..sijui matitration...pyee
Mziki ulikua kwenye Organic Chemistry mwalimu wetu alikua muhaya yani anavyoongea huwezi muelewa vzr...aisee somo nililichukia...chemstry ni nomaa....mimi nilikua nakomaa na paractical aisee..
 
Miaka ya tisini tulikuwa tunazungumzia Mzumbe, Ilboru, Kibaha na Tabora Boys (kwa wavulana), na Kilakala, Tabora girls na Msalato (kwa wasichana). Kumbe wenzetu mkaja kuongezewa na "pugu, kisimiri, and the likes"!!! No wonder bado najiuliza hii kauli ya "Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000 niliripoti..." inamaanisha nyakati zipi!!
 
Miaka ya tisini tulikuwa tunazungumzia Mzumbe, Ilboru, Kibaha na Tabora Boys (kwa wavulana), na Kilakala, Tabora girls na Msalato (kwa wasichana). Kumbe wenzetu mkaja kuongezewa na "pugu, kisimiri, and the likes"!!! No wonder bado najiuliza hii kauli ya "Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000 niliripoti..." inamaanisha nyakati zipi!!
na ifunda tech mkuu
 
Back
Top Bottom