Naikuru
Senior Member
- Jul 29, 2015
- 169
- 230
Mimi nakumbuka miaka ya 2005 mimi na washkaji wangu wawili tumetokea shuke moja ya kata tukaenda Ilboru kufanya discussion hapo tupo form 4..
Tukaanza kusolve maswali tunapiga paper nzima discussion.. kwenye vipengele vya multiple choice bwana nilijifunza kitu sana kwao na kilinisaidia sana.
Tulisove paper moja tukafika kwenye kipgele hicho cha multiple choice tukakutana na swali ambalo majibu yake yanatuchanganya jamaa wa ilboru akamtuma mwenzake kwenda kufuata kitabu ili tupate jibu lake.. kitabu kililetwa akamwamvia fungua ukurasa flani tukasoma ukurasa huo mpaka tukapata jibu sahihi.
Wakati huo kule kwetu katani kama swali halieleweki tunatafuta jibu kwa kura au kufumba macho kisha unapandisha mkono unashusha taratibu kuelekea eneo la swali kidole ikiangua A tunahitimisha kuwa ndiyo jibu .
Ila kuanzia pale nilijifunza kitu na ilinisaidia sana na nikafaulu bhana
Tukaanza kusolve maswali tunapiga paper nzima discussion.. kwenye vipengele vya multiple choice bwana nilijifunza kitu sana kwao na kilinisaidia sana.
Tulisove paper moja tukafika kwenye kipgele hicho cha multiple choice tukakutana na swali ambalo majibu yake yanatuchanganya jamaa wa ilboru akamtuma mwenzake kwenda kufuata kitabu ili tupate jibu lake.. kitabu kililetwa akamwamvia fungua ukurasa flani tukasoma ukurasa huo mpaka tukapata jibu sahihi.
Wakati huo kule kwetu katani kama swali halieleweki tunatafuta jibu kwa kura au kufumba macho kisha unapandisha mkono unashusha taratibu kuelekea eneo la swali kidole ikiangua A tunahitimisha kuwa ndiyo jibu .
Ila kuanzia pale nilijifunza kitu na ilinisaidia sana na nikafaulu bhana