Kwa waliomaliza form 4, kama una roho ndogo usiende kusoma special schools (shule za vipaji maalumu)

Enzi hizo tumeripoti shulee waalimu wakaanza mikwaraa ya kujaa na Introduction za nguvuu watoto waliotoka Private wakaona eehe hii ndo shuleee..dadekii miezii ikaanza kukataaa na A level somo kama physics unaweza fika form six bado unasoma topic moja ya mechanics Hapo ndo utajua uliingia chaka kuwasikiliza waalimu ungekomaa ujisomeee na tuition maana Pepa wakitunga wanatunga mpaka ambavyo hawatarajiii kufundishaa.
 
Mkuu pugu hapo nimewaweka kwa makosa, ila waliosoma ilboru wanajua mziki wa kisimiri... Hiki kishule kilikua Kijijini huko ila miaka yetu for ten consecutive years hawakuwahi kutoka top 10 kitaifa Hawa....
Kijiji ambacho bangi ni sehemu ya chakula.
 
Tatzo la walimu wa specials schools hawafundishi, wanapiga lecture TU,

Na wako bize na miradi yao mbalimbali mitaani, hawana njaa njaa sana ndo maana uchagua wanafunzi cream.

Kama ulizoea spoon-feeding lazma uteseke
Nakubaliana na wewe.
 
Miaka ya tisini tulikuwa tunazungumzia Mzumbe, Ilboru, Kibaha na Tabora Boys (kwa wavulana), na Kilakala, Tabora girls na Msalato (kwa wasichana). Kumbe wenzetu mkaja kuongezewa na "pugu, kisimiri, and the likes"!!! No wonder bado najiuliza hii kauli ya "Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000 niliripoti..." inamaanisha nyakati zipi!!
Pugu haijawahi kuwa special.
 
Nilienda nimechelewa nikakuta hao mabongoland wamesharipoti wameshamaliza topic zote

Nikataniwa niandike electronic configuration Mimi akili yangu nikawa natumia zile za o level 2:8:8 walicheka balaa mambo ya orbitals ,Wala vi theory vya aufbau , Pauling exclusion sijui kama zipo

Majamaa yakawa yanadhusha ma theory ya electro chemistry na ma reaction ya delocalization za benzene na Ortho and para kwenye organic nilitaka kulala mbele nimwbie mshua anipeleke shule za arts
nyie mnachekesha sana, aaah
 
Ko ni Kama channel 😄😂😂
Ndio lakini sio miaka uliyotaja, nyuma kidogo...



Waliokuwa wanapata ufaulu hafifu ni wale waliokuwa...
1. Waoga kama wewe

2. Mabitozi na wapenda starehe

3. Wasukuma na Wakurya ambao kuja kwao shule za mjini kuliwafanya wajihusishe na shughuli za kuwaingizia kipato (kukusanya ada), mfano hapo umenyeni kulikuwa na jamaa mpiga picha maarufu alikuwa hadi na baiskeli, anakula deal za kupiga picha shule kibao kuanzia Ngateu, Kiding'a, Enaboishu hadi Akeri huko, mwingine alikuwa anapiga deal za kusaga nafaka kwa wamenye kwenye mashine ya shule n.k...
Aisee? Ukute unamsema Shiwa Masunga. Alikuwa anasagisha mashine. Alipataga vijisenti nyingi lakini Kwa kazi yake Ile.
 
Ungesoma enzi za walimu kama Losujak aka Chifu R.I.P, Shembilu aka Mwasahili R.I.P, Mgaya aka Machakura R.I.P sidhani kama ungejaribu kuleta utemi...(timeline unayoielezea inaonesha hao waalimu hawakuwepo Ilboru)
Daaah.....Losujaki ole Ngavuti....RIP. Kweka....RIP. Hahahahah, Machakura kiboko yao.
 
fundi sanifu siyo lazima awe form 6. Ukiona fundi sanifu ana form six basi huyo alifeli form six. Best Engineers and Technicians ni wale waliopitia Technical Colleges like DIT, Arusha tech, MUST etc.

In short kwa Tanzania form six ni kupoteza muda.
FTC nimeiweka kundi la elimu ya high school (advanced Secondary) education.
Ingawa FTC ni specialized education.
Ukikosa F5 na F6 basi upitie FTC ukikosa vyote ukaenda kusoma elimu ya juu masomo ya sayansi utajikuta kuna kitu muhimu kwa elimu ya juu umekikosa.
 
Huyu ndiyo alikua kiboko Sasa alikua mbele yetu Red Label.

Nakumbuka Form two alinyanyua mabanda yote.

Ngozye na ukali wake wote alikua hamchapi huyu asipochomekea na sikumbuki Kama niliwahi kuona kachomekea.

Baada ya paper ya Form two Feza boys walikuja kumchukua wakamsomeshe bure lakini Ngozye (headmaster) aligoma.

Huyu Jamal Juma (babu) tulikua tunamuita babu kwa kua kichwani kwake Kuna mvi za kutosha.

Huyu mwamba alikua anashea yake ya chakula Cha asubuhi, mchana kwenye ofisi ya head Master.

Pepa za mchikichini kwa hidden kachukua sana Zawadi yeye alikua nakwenda kufanya Pepa akisikia Kuna Zawadi tu kachukua sana Zawadi za hidden pale.

Huyu dogo alipiga 1.10 inavyosemekana alikata rufaa kuwa Kuna hujuma hayo siyo matokeo yake Sasa sijui matokeo yake yalikua ni yapi baada ya kukata Rufaa.

Baada ya kumaliza Azania form four Feza boys walimchukua Advanced level mwamba alikwenda Kusimamisha mabanda matatu ya PCM yaani 1.3

Mwamba alipeleka uturuki mpaka Sasa sijui yupo wapi.
Yes umemuelezea vizuri sana aisee na wala hujakosea

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Swala la kuingia shule sijui kitu umenikumbusha wakati naanza form one Aisee hata majina ya masomo siyajui nikitajiwa kwanza nashtuka ndio nini hiyo? Inahusu nini? Halafu wapi wakiulizwa wanajibu vizuri is a brach of ..... Nikaona maisha ni magumu kwangu ila week 3 tukaanza kula meza moja
 
Back
Top Bottom