lwidia2k
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 616
- 1,268
Sie bhana hatuhusiki, hata tukileta matopic magumu kama phonology, semantics, hawawezi kutuelewa
Sie bhana hatuhusiki, hata tukileta matopic magumu kama phonology, semantics, hawawezi kutuelewa
Majamaa yako fiti kila konaMimi nilisoma na majini, mashetani na mapepo wale hawakuwa binadamu aisee yote yalienda muhimbili
Bila shaka hiyo ni Jitegemee SecSijasoma vipaji maalumu ila shule niliyosoma imetoa sana watu maarufu hapa mjini wasanii ,waigizaji,madalali,makuwadi
Zilikuwa 286 TZ nzima na zingekuwa chini ya hapo.Huko mwaka NECTA walikua na hasira na sisi. One za masomo yote zilikua hazizidi 350 Tanzania yote aisee.
Kama ana Div 1, na kwenye combination za sayansi kama PCM au PCB Somo moja ana D na mawili ana C anaruhusiwa kwenda advance kwa kozi hizo nilizotaja provided ana Div One.Hiyo D ya Physics hawezi pata comb ya PCB.
Dah nampata huyooo kipnd yupo form five me nipo zang form two azaboy apoUmenikumbusha kijana mmoja anaitwa Rajabu ndegeulaya.
Tuna report advance Azania yeye alipitisha tangazo la kuwa anafundisha tuition Kwa WANACHUKUA PHYSICS, CHEMISTRY NA PURE MATHEMATICS.
WATU walizani ni form six kumbe ni form five alishamaliza topic zote mpaka za six basi ikabidi tuendelee kupiga mapindi kwa Ndegeulaya.
Sema alipga kawaida sn necta ya sixUmenikumbusha kijana mmoja anaitwa Rajabu ndegeulaya.
Tuna report advance Azania yeye alipitisha tangazo la kuwa anafundisha tuition Kwa WANACHUKUA PHYSICS, CHEMISTRY NA PURE MATHEMATICS.
WATU walizani ni form six kumbe ni form five alishamaliza topic zote mpaka za six basi ikabidi tuendelee kupiga mapindi kwa Ndegeulaya.
Itakuwa Azania, Jite Ute, au Makongo.Bila shaka hiyo ni Jitegemee Sec
Necta wanazingua sana aisee.. imagine kuna dogo nlkua namkimbizia phyz na namba dogo alkua shallow sn mwisho wa cku necta kapga one ya nne.. nkabaki nashangaa japo nmempka mwnyweSa ivi Kuna shule nilikuta karibia darasa zima Lina 1.3 pcm na pcb .. nikasema hii sasa ishakua dharau
Dah bila shaka dogo kaajiliwa local government...ni engineer somewhere...Umenikumbusha kijana mmoja anaitwa Rajabu ndegeulaya.
Tuna report advance Azania yeye alipitisha tangazo la kuwa anafundisha tuition Kwa WANACHUKUA PHYSICS, CHEMISTRY NA PURE MATHEMATICS.
WATU walizani ni form six kumbe ni form five alishamaliza topic zote mpaka za six basi ikabidi tuendelee kupiga mapindi kwa Ndegeulaya.
Halafu hao waliopata hizo alama ni weupe tu...Nina shemeji yangu alikimbia shule PCB baada ya kutoka na Saba olevel...zamani mtu anayepiga Saba olevel na tatu advance wanakuwa smart kweli kweli..sio sasa..ni almshaka..labda kwa government.... lakini private wengi ni almshakaaa SanaaSa ivi Kuna shule nilikuta karibia darasa zima Lina 1.3 pcm na pcb .. nikasema hii sasa ishakua dharau
CBGMsaada kijana wangu ana Phy-D,Bios-CGeog-C,Chem-C na Maths-D napo probably anaangukia Comb gani A level?
Azania itoe hapo.Itakuwa Azania, Jite Ute, au Makongo.
I'm not trying to underrate brother don't quote me wrong I'm just stating how to improve and make it more better than it is.Hata upewe miaka 20 ya kukaririr na unalipwa unaweza usiwe Tz one, to be Tz one there a kind of bless kutoka kwa Mungu kwanza...Don't underrate.
Moses Mwizarubi
Nyie mliosoma shule za kata huwezi kuelewa hii kituPugu imekua lini vipaji maalumu?
Ni Kweli kama form 4 ulipiga fresh , kuna ueezekano 6 UKa drop , kuna mabro zangu walikuwa wamoto Sana pale mzumbe 4 walipiga dv 1 safi , 6 wakapata dv 3Sijaona sababu ya msingi ya kwenda advance mpaka sasa
Yana mwisho haya mkuu. Lakini cha muhimu shukuru Mungu ulimaliza vizuri na sasa mkono unaenda kinywani. Hizi ndizo elimu zetu za bongo.Hizi shule(mzumbe,pugu,kisimiri,ilboru,kibaha and the likes) japokua siku izi nyingi zimepoteza sifa zake aisee kama una moyo mwepesi usiende huko unaweza kupata depression au pressure ukashindwa kusoma
Miaka Hio mwisho wa miaka ya 2000 niliripoti Moja ya shule tajwa hapo combination ya pcm... Kipindi hicho special school wamejaa watoto wa dar kutoka (kibaha, Azania, pugu) aisee Hawa madogo wana sifa kishenzi.... Mtu anakuja kuripoti form 5 ameshamaliza topic zote za form 5 anakaribia kumaliza za form 6
Sasa si matozi tulivyomaliza form 4 vitabu tukatupa Kule mpaka siku ya kuripoti hujawahi kupiga pindi lolote... Unakutana na vitoto vimesoma sijui mchikichini huko aisee wamefuta topic zote, aisee nilipata presha sana mpaka kuzoea ile Hali.... Nakuta madogo wanapiga integration kama hawana akili, ukikaa bwenini wanaulizana kwa nguvu reaction za organic. Chemistry huko....
Dah yaani mwezi wa kwanza form 5 watu wanasolve necta review nikasema hapa nimeyatimba... Aisee ile presha ya ku catch up nilipata shida Sana sio Siri... Ukiwa na roho nyepesi unaweza kukata tamaa Moja kwa Moja
Kuna dogo tumeingia form 5 alikua anaitwa T.O (Tanzania one) alitukimbiza wote form 4 aisee huyu Jamaa mpaka Leo hua namuogopa. Hua namwambia hata hii kazi ya u engineer unayofanya unastahili kua somewhere else una potential kubwa sana, picha linaanza tumeingia form 5 hapo.... Sasa form 6 walikua wanafanya fitness tests (hii anatokea mwanafunzi mmoja au wawili wanatunga mtihani alafu wengine wanafanya japo sio lazima)
Ujinga wa hii mitihani wanafunzi wanajua kukomoana yaani maswali yote unakuta ya kibabe... Kuzungusha 0 huku ni kawaida tu ndo maana wengi walikua hawataki huu ujinga, dogo bana tunafika form 5 kaskia form 6 wanafanya fitness test ya physics dogo akazamia akapiga Pepa... Matokeo yanatoka form 6 karibu wote wamefeli dogo kawakimbiza.... Wote wanaulizana hili jina nani mbona hatumjui... Kuja kuulizia wakaja kugundua ni dogo wa form 5 aisee jamaa walimind kinoma akapigwa marufuku kabisa kusogeza pua kwenye fitness tests za form 6
Huyu dogo tulipofika form 6 sidhani kama aliwahi kukaa akasoma, jamaa alikua anakaa zake class watu wamepanga foleni na maswali Yao yaliowashinda dogo anapiga yote tu hajali kama ni ya physics, chemistry, pure au bam ye anasolve tu. Alikuja kua Tanzania one tena form 6 jamaa walimtangaza hesabu paper 1 na 2 zote alipiga 100%.
Huku kama una roho ndogo sio pa kwenda mi nusura panishinde nilitaka nirudishe mpira kwa kipa(kuhamia private)