Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,483
- 40,003
Mna moyo sana... ni kitu gani kiliwafanya muamini kuwa kuwa kanuni ambazo zinamuongoza rais kufanya uteuzi zingebadilika baada ya kuona teusi tatu za nyuma za mawaziri? kwanini leo abadilike?