male issa yahaya
Member
- Sep 7, 2023
- 11
- 1
Mimi ni mwanafunzi nilie maliza kidato cha nne naomba kuulza ni kozi ipi nzuri ya ajira naweza kusomea na ikawa rahisi kuajiriwa au kujiajiri yani ambayo bado ina fursa nzuri za ajiraa.
Anhaa sawa asanteKozi yoyote inayohusu:
1. Natural resources mfano maji, misitu..
2. Kilimo na Umwagiliaji.
3. Ya vitendokazi mfano fundi mbalimbali.
Huo ni kwa upand wa science. Na vp artsDoctor of Dental Surgery (DDS)
Kasome sheria.Mimi ni mwanafunzi nilie maliza kidato cha nne naomba kuulza ni kozi ipi nzuri ya ajira naweza kusomea na ikawa rahisi kuajiriwa au kujiajiri yani ambayo bado ina fursa nzuri za ajiraa.
Hapo rafiki kuchukua dip ya procurements,Mm ni mwanafunz nilie maliz form four mwaka juz natak kujua kutokana na ufaulu wangu huu kozi ipi nisomee yenye unafuu wa ajira kupatikan
History-C
Literature-C
English-C
Kiswahili-C
Civics-D
Geography-D. Pamoja na ziada ya
Islamic religion-D
Naomba majibu ndugu zangu nipate kujua kozi ipii itanisaidia kutokana na kuwep kwa nafas za ajira
Hahahhaah asant sema nili reseat mtihan mwaka mmoja hivo sija bahatika kupangiwa shule ya serikal kuendelea je unaweZ nshaur njia ipi inawez nsaidia sasa kurud katka mfumo wa shule za serikal ili kumudu gharama mana gharam za privat zip juu ndy inanifanya niulze vyuo ili wajiminye pesa ila nikiwa chuo na sio advanc afu tena waminyike na chuo badae mana hali za wazee ni duniNenda advance ukaendelee kukua
Nenda advance ukaendelee kukua
Hapo rafiki kuchukua dip ya procurements,
Oooh saw asantHapo rafiki kuchukua dip ya procurements,
Maji hawapokei hana pass za masomo ya scienceKozi yoyote inayohusu:
1. Natural resources mfano maji, misitu..
2. Kilimo na Umwagiliaji.
3. Ya vitendokazi mfano fundi mbalimbali.
Tafuta Chuo cha Hombolo Dodoma afu angalia course wanazo offer.Mm ni mwanafunz nilie maliz form four mwaka juz natak kujua kutokana na ufaulu wangu huu kozi ipi nisomee yenye unafuu wa ajira kupatikan
History-C
Literature-C
English-C
Kiswahili-C
Civics-D
Geography-D. Pamoja na ziada ya
Islamic religion-D
Naomba majibu ndugu zangu nipate kujua kozi ipii itanisaidia kutokana na kuwep kwa nafas za ajira