DA, kama unakubali aliyoyasema TF, kwamba hata mwenye HIV anaweza kuoa na kuzaa watoto, basi maelezo yako yangejita zaidi kwenye kumshangaa kwa nini anakutaka wakati akijua una mume badala ya kujikita kwenye status yake ya HIV. Kwa wewe kufanya hivyo imeonesha ni kama unamnyanyapaa. Ni kana kwamba unataka kusema: "Niende wapi na mwenye HIV/Ukimwi". Kwa hiyo suala hapa siyo HIV bali ni kwamba wewe una mume na yeye anajua. Hana sababu ya kukutaka uhusiano. Lakini anaweza kutafuta wengine walio huru kuooa. Cha maana awe wazi na hali yake ya afya.
Hapa kaileta hiii thread kisa kaotongozwa na mtu mwenye HIV wala sio kisa jamaa anajua kua ana mume! Kwani toka ameolewa leo ndo mara ya kwanza kuotongozwa na mtu ambaye anajua kua kaolewa? mboana hajaleta ishu kama hizo hapa? hapa ni unyanya paa tu umejaa, ni wapi ameambiwa kua wenye HIV hawaitaji kupenda au kupendwa! ishu nyingine bana yaani hata mantiki siioni hapa!DA, kama unakubali aliyoyasema TF, kwamba hata mwenye HIV anaweza kuoa na kuzaa watoto, basi maelezo yako yangejita zaidi kwenye kumshangaa kwa nini anakutaka wakati akijua una mume badala ya kujikita kwenye status yake ya HIV. Kwa wewe kufanya hivyo imeonesha ni kama unamnyanyapaa. Ni kana kwamba unataka kusema: "Niende wapi na mwenye HIV/Ukimwi". Kwa hiyo suala hapa siyo HIV bali ni kwamba wewe una mume na yeye anajua. Hana sababu ya kukutaka uhusiano. Lakini anaweza kutafuta wengine walio huru kuooa. Cha maana awe wazi na hali yake ya afya.
Hapa kaileta hiii thread kisa kaotongozwa na mtu mwenye HIV wala sio kisa jamaa anajua kua ana mume! Kwani toka ameolewa leo ndo mara ya kwanza kuotongozwa na mtu ambaye anajua kua kaolewa? mboana hajaleta ishu kama hizo hapa? hapa ni unyanya paa tu umejaa, ni wapi ameambiwa kua wenye HIV hawaitaji kupenda au kupendwa! ishu nyingine bana yaani hata mantiki siioni hapa!
Lazima uambiwe ili siku nyingine usilete upupu. We leo ndo mara ya kwanza kutongozwa na mtu anayejua kua umeolewa?Kunyamaza ni kitu cha msingi sana. Kama huoni mantiki unachangia nini sasa si ukae kimya watu wengine bana
Ha ha ha kunyimwa lazima bana si unajua shem wako tena alivyo mkoloni na anatimiza wajibu wake kisawasawa
Heri yako wewe ujuaye HIV status ya huyo jamaa...Nawaonea imani hao wasiojua chochote...ni neema ya Mungu tu itawaokoa.
Mbona mnamsemea hayo maneno kua haweki status yake hadharini? yaani ki uhalisia kabisa jamaa anaonekana yupo opened ndo maana kamtoke mtu ambaye anajua kabisa hali yake ilivyo! kama ingekua mtu mwingine asingeweza, angeenda kwa hao ambao hawamjui.!Yaani hii ndio inahuzunisha zaidi........ na sidhani kama yuko muwazi kiasi cha kuweka status yake hadharani wakati anatongoza. Mungu atusaidie.
Jibu swali hilo mbona unalikwepa?Tuheshimiane tafadhali kama huna cha kuandika nyamaza
Sasa umeleta hii thread kwa ajili ipi? au ndo kupoteza wakati kwenyewe huku?Sina wakati wa kupoteza
Lazima uambiwe ili siku nyingine usilete upupu. We leo ndo mara ya kwanza kutongozwa na mtu anayejua kua umeolewa?
Nzuri kabisa.
Hiyo off topic itajibiwa kwa PM