Hapo ndo panaponihuzunisha Sangara yaani nasikia hata mwili unapata ganzi
Itatoka wapi Rocky wewe kwanza hata aaahhh yaani aaahhh
Hakuna na hamna sababu za kuanzisha thread! AMA unajiwekea bango nawe ?Tena makubwa hasa si madogo Elli
Yaani mi hata unichinje
najua ana ngoma na mimi nikajitumbukize pale
over my dead body sifanyi wala sijui hata kama hiyo hamu itakuwepo
Inauma mtu huyo ndio yupo kwenye shirika la waathirika na anakuwa na tabia hatarishi kama hizi.
nilitaraji yeye ndie awe mstari wa mbele kuelimisha wenzie juu ya kujilinda na kuwalinda wasio na maambukizi.
Jamani pole ya nini tena?
Huyo jamaa ameonyesha hisia zake tu kwa D.A ni swala la DA kukubali au kukataa
Chukulia hujui kama ana ngoma alafu baada ya siku mbili wadau wanakushtua huyo tayari ana moto na wewe umesha lala nae.
Hakuna na hamna sababu za kuanzisha thread! AMA unajiwekea bango nawe ?
Hapo sasa sijui wengine wafanyeje
Nimetoa pole kwa sababu anasema siku yake leo imekuwa si njema kutokana na mawazo.....
Bora niwe sikujua ile siku ya kwanza namtongoza
Ila nijue kabisa hapa ni waya wa umeme na bado napita na naushika
Mkuu hapo hapana
Mhhh mchungaji na wewe!!! Unapokuwa umeumia sometimes you need to talk, na yeye ameona hapa ndo mahali pa kusemea yaliyoko moyoni mwake leo.
Hakuna na hamna sababu za kuanzisha thread! AMA unajiwekea bango nawe ?
Jibu tosha kabisa hajui ni jinsi gani siku yangu imekaa vibaya na hajui hapa ndipo napata faraja ya hali ya juu sana kuliko nilivyofikiri.
Asanteni wote kwa ushauri wenu umenipunguzia mzigo mkubwa kichwani najiona nina watu wa karibu wa kunisaidia santeni sana