Yaani nimejikuta nahurumia kila mdada naye muona no matter what!!! Maana nafikiria kama anaweza kunambia mimi ambaye I know him very well wasiomjua??? Nimekosa raha kabisa kwa siku ya leo mpaka mkoloni ananiuliza kulikoni namwambia Kichwa kinaniuma tu kumbe mawazo yaani sina nguvu kabisa dah!!!!