Soma my first post wala hata swala la UKIMWI sitamgusia hata kidogo na wala sina huo unyanyapaa kabisa
Mkuu condom si zipo unatumia kinga kisha unabonyeza kilaiiini
Eti umesemaje vile???
Wewe Dena hebu mkubalie mwenzio bana...maisha yenyewe mafupi haya sasa kwa nini usiyafupishe kwa kula raha zaidi?
DA, kama unakubali aliyoyasema TF, kwamba hata mwenye HIV anaweza kuoa na kuzaa watoto, basi maelezo yako yangejita zaidi kwenye kumshangaa kwa nini anakutaka wakati akijua una mume badala ya kujikita kwenye status yake ya HIV. Kwa wewe kufanya hivyo imeonesha ni kama unamnyanyapaa. Ni kana kwamba unataka kusema: "Niende wapi na mwenye HIV/Ukimwi". Kwa hiyo suala hapa siyo HIV bali ni kwamba wewe una mume na yeye anajua. Hana sababu ya kukutaka uhusiano. Lakini anaweza kutafuta wengine walio huru kuooa. Cha maana awe wazi na hali yake ya afya.TF yaani hilo nalijua na ninajua maswala haya ya UKIMWI for almost 9yrs nafanya na hili shirika.
Najua anaweza kuoa na kuzaa na hata mtoto anaweza kuwa negative akilindwa na mama kuhudhuria KLINIK PMTCT.
But my question is huyu si kwamba ananitaka anioe?? Na hili limetokea baada ya mkewe kufariki na sisi tuligharamia maizshi yake kila kitu hata mimi nilihudhuria. Iweje?? Mimi ananitaka wa nini sasa sababu nina mume wala sihitaji mwanaume mwingine?? Hapo ndo pananipa utata
Mkuu hiyo hata haina hamu unajua kabisa huu ni waya na unabonyeza
hapo sikubaliani na wewe
<br />Msinishambulie sana kwamba namnyanyapaa la hasha hata kidogo.......................<br />
<br />
Nimefanya nae kazi kwa ukaribu na kumsaidia sana katika mambo mengi ya kikazi, lakini......................<br />
Nimemshangaa sana jana kunipigia simu na kuniambia ananipenda wakati ana jua fika kuwa nina mume na watoto.....................<br />
<br />
Kunitaka sikatai ni hali ya wanaume kumtamani/sijui kumpenda mwanamke......................<br />
Najiuliza anataka kuniweka katika group lake la PLHA au shida yake nini hasa??<br />
<br />
Ni mmoja wa chair wa chama cha hawa wenzetu PLHA..................<br />
Na sisi ni moja ya shirika ambalo linawapa msaada mkubwa na support yao yote inatoka kwetu.....................<br />
Nimekosa jibu nakubaki nimeshangaa............................................<br />
<br />
Najiuliza je ni kwa sababu mkewe kafariki??<br />
<br />
Au nini hasa??? <br />
<br />
Nilijikuta nataka/natamani kumtukana lakini namuheshimu maana ni sawa na Baba yangu kabisa..................................<br />
Najiuliza kama anaweza kunitongoza mimi ambaye namjua kuwa anaishi na VVU je kwa wasichana wengine wasomjua???...................<br />
<br />
Kweli UKIMWI hautakwisha TZ kwa mtindo huu........................................<br />
Wajameni tuwe makini sana......................<br />
<br />
Cheers<br />
<br />
DA
umenifanya nicheke mkuu...
Msinishambulie sana kwamba namnyanyapaa la hasha hata kidogo.......................
Nimefanya nae kazi kwa ukaribu na kumsaidia sana katika mambo mengi ya kikazi, lakini......................
Nimemshangaa sana jana kunipigia simu na kuniambia ananipenda wakati ana jua fika kuwa nina mume na watoto.....................
Kunitaka sikatai ni hali ya wanaume kumtamani/sijui kumpenda mwanamke......................
Najiuliza anataka kuniweka katika group lake la PLHA au shida yake nini hasa??
Ni mmoja wa chair wa chama cha hawa wenzetu PLHA..................
Na sisi ni moja ya shirika ambalo linawapa msaada mkubwa na support yao yote inatoka kwetu.....................
Nimekosa jibu nakubaki nimeshangaa............................................
Najiuliza je ni kwa sababu mkewe kafariki??
Au nini hasa???
Nilijikuta nataka/natamani kumtukana lakini namuheshimu maana ni sawa na Baba yangu kabisa..................................
Najiuliza kama anaweza kunitongoza mimi ambaye namjua kuwa anaishi na VVU je kwa wasichana wengine wasomjua???...................
Kweli UKIMWI hautakwisha TZ kwa mtindo huu........................................
Wajameni tuwe makini sana......................
Cheers
DA
Huyu Dena anambania jamaa....hajui kama samaki alitoka baharini huja nchi kavu!!!
Sijambo kaka shikamoo...........................
sasa yasmin dear iddi inakuwaje?<br />
<br />
pole dear.some people are evil.we need 2 b careful espeally as ladies.
Huyu Dena anambania jamaa....hajui kama samaki akitoka baharini huja nchi kavu!!!