kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
...mkuu hilo neno nililipata direct from the horse's mouth-wakongo waishio hapo dar.MABANGA....nimeipenda hii term!
...mkuu hilo neno nililipata direct from the horse's mouth-wakongo waishio hapo dar.MABANGA....nimeipenda hii term!
Msofe kaokoka wapi? Juzi hapa amejenga fensi na servant kota kwenye kiwanja cha mama mmoja jirani yangu huku mbezi beach. Bahati nzuri huyu mama nae ni mtu wa mjini ameshinda kesi.
Mkuu T- square tunagonga mida ya jioni!Ni kweli, halafu we waweza kuwa jirani yangu, nami naishi mitaa hiyo, vibia tunagonga GMB au Juliana na T-Square!
Maana ya neno hilo kwenye red ni Mawe kama ambavyo utasikia kwenye nyimbo zao nyingi wana sema "Mbula ya Mabanga" maana ya ke "Mvua ya Mawe"sio bure,hawezi kuokoka tu hivihivi.huyu lazima kuna jambo la kiafya alikumbana nalo.wakat fulani mkongoman mmoja aliniambia kuwa anauguwa kisukari.wale wakongoman wa FM academia sijui watapata wapi pesa ya ''MABANGA''(kutaja majina ktk wimbo).
ooh kumbee...Maana ya neno hilo kwenye red ni Mawe kama ambavyo utasikia kwenye nyimbo zao nyingi wana sema "Mbula ya Mabanga" maana ya ke "Mvua ya Mawe"
Wanyama hawajengewi mabwawa huko mwituni..don't loose your sleep dude.
matapeli hao..... Ukiwatumia hela huwaoni, kawaida wanapata details zako kwa mtu wa karibu, na siku hizi kuna wimbi jingine oikipata details zako wanakupigia wakikwambia wana faili lako lenye makosa yako uwaone uwape kitu kidogo la sivyo watalifikisha mbele.....
Wote ni matapeli