Kutambulika. . . .

Nimeshadeposit cash, to be delivered on 14/2
pink_calla_lilies.jpg

Beautiful. . .yaje kabla ya lunch ili watu waone.
 
Utapoa tu.
Nchuchu mpaka hii post ya #29 naanza kupata hisia kuwa Mkuu umeshikilia kiberiti mbele ya pipa la petrol,something is bound to explode very soon,are you ready for the bang? umevaa helmet? halafu i have a feeling you are somebody whose normal ID i know.
 
Nchuchu mpaka hii post ya #29 naanza kupata hisia kuwa Mkuu umeshikilia kiberiti mbele ya pipa la petrol,something is bound to explode very soon,are you ready for the bang? umevaa helmet? halafu i have a feeling you are somebody whose normal ID i know.
Mie pia nna hizo hisia manake mwandiko wake unafanana na wa huyo somebody!
 
LiZzy. Kusema kweli mimi sijakutana na situation kama hii in real life. Cross my heart, Nimejaribu to keep away from women after discovering the woman I was living with was double crossing me. I had two beautiful doughters with her and had to let her go. My 2nd was arranged by my family and we R together blessed with two boys and a girl.

My first alinitambulisha kwa na nilikuwa nimekubalika ingawaje ilikuwa sio chaguo la family yangu lakini walimkubali. Yalipo nitokea saana walikuwa wananiambia; si tulikuambia, unaona sasa.

I am planning kuongeza wa pili ambaye yuko nursing college Mtwara. Huyu kwao ninatambulika na kwetu well so and so. Marafiki zake waliopo hapa saaana wananitembelea home. Lakini my wife amekubali shingo upande. Maadili ya kidini yanambana.

I hope nimekujibu lakini kwa mifano ya life yangu.
wife ana relate vipi na binti zako wakubwa,ameweza ku settle nao vizuri? maana mtihani huwa uko hapo.
 
Raha ya mauwa ni hand to hand present, kwahiyo wazo lako halitekelezeki maana mtoko wa Valentines ni jioni. what u think?

Sasa wambea wambea wa hapa watajuaje na mimi NIMO?Au unataka unitambue ila NISITAMBULIKE wala USITAMBULIKE kwa watu??
 
Back
Top Bottom