Hhhmm. . . umejuaje?
As you wish...Beautiful. . .yaje kabla ya lunch ili watu waone.
Nchuchu mpaka hii post ya #29 naanza kupata hisia kuwa Mkuu umeshikilia kiberiti mbele ya pipa la petrol,something is bound to explode very soon,are you ready for the bang? umevaa helmet? halafu i have a feeling you are somebody whose normal ID i know.Utapoa tu.
Mie pia nna hizo hisia manake mwandiko wake unafanana na wa huyo somebody!Nchuchu mpaka hii post ya #29 naanza kupata hisia kuwa Mkuu umeshikilia kiberiti mbele ya pipa la petrol,something is bound to explode very soon,are you ready for the bang? umevaa helmet? halafu i have a feeling you are somebody whose normal ID i know.
wife ana relate vipi na binti zako wakubwa,ameweza ku settle nao vizuri? maana mtihani huwa uko hapo.LiZzy. Kusema kweli mimi sijakutana na situation kama hii in real life. Cross my heart, Nimejaribu to keep away from women after discovering the woman I was living with was double crossing me. I had two beautiful doughters with her and had to let her go. My 2nd was arranged by my family and we R together blessed with two boys and a girl.
My first alinitambulisha kwa na nilikuwa nimekubalika ingawaje ilikuwa sio chaguo la family yangu lakini walimkubali. Yalipo nitokea saana walikuwa wananiambia; si tulikuambia, unaona sasa.
I am planning kuongeza wa pili ambaye yuko nursing college Mtwara. Huyu kwao ninatambulika na kwetu well so and so. Marafiki zake waliopo hapa saaana wananitembelea home. Lakini my wife amekubali shingo upande. Maadili ya kidini yanambana.
I hope nimekujibu lakini kwa mifano ya life yangu.
halafu i have a feeling you are somebody whose normal ID i know.
Raha ya mauwa ni hand to hand present, kwahiyo wazo lako halitekelezeki maana mtoko wa Valentines ni jioni. what u think?Utatuma maua tu?
Mie pia nna hizo hisia manake mwandiko wake unafanana na wa huyo somebody!
kuna mtu anakuchokoza makusudically halafu nahisi ana multiple ID's!What's that supposed to mean?
kuna mtu anakuchokoza makusudically halafu nahisi ana multiple ID's!
ukirusha jiwe gizani atakayepiga kelele jua huyo ndo limemgonga.Na wewe utaja mwagiwa tindikali kwa huo umbea wako...shauri'ako.
Ha ha ha! Hisia zimepatia! Wacha nikae kimya!Na wewe utaja mwagiwa tindikali kwa huo umbea wako...shauri'ako.
Raha ya mauwa ni hand to hand present, kwahiyo wazo lako halitekelezeki maana mtoko wa Valentines ni jioni. what u think?
Ha ha ha! Hisia zimepatia! Wacha nikae kimya!