Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,694
- 58,763
- Thread starter
- #41
Asante Doc nimekusoma.LiZzy. Kusema kweli mimi sijakutana na situation kama hii in real life. Cross my heart, Nimejaribu to keep away from women after discovering the woman I was living with was double crossing me. I had two beautiful doughters with her and had to let her go. My 2nd was arranged by my family and we R together blessed with two boys and a girl.
My first alinitambulisha kwa na nilikuwa nimekubalika ingawaje ilikuwa sio chaguo la family yangu lakini walimkubali. Yalipo nitokea saana walikuwa wananiambia; si tulikuambia, unaona sasa.
I am planning kuongeza wa pili ambaye yuko nursing college Mtwara. Huyu kwao ninatambulika na kwetu well so and so. Marafiki zake waliopo hapa saaana wananitembelea home. Lakini my wife amekubali shingo upande. Maadili ya kidini yanambana.
I hope nimekujibu lakini kwa mifano ya life yangu.
Pole kwa kuzungukwa!!
Hehehehe wawili utawaweza?