Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,198
Viongozi wetu kwa sababu za kipumbavu na uzembe wanaongoza duaniani.
Sasa kama mnajua generator halina uwezo wa kuwasha umeme hapo uwanjani kwanini mlinunua? Au mmezuga kuweka hapo la bei rahisi hili hela iliotolewa kwa ajili ya generator lenye uwezo mtie ndani?
Tamaa inatumaliza wa afrika.
Sasa kama mnajua generator halina uwezo wa kuwasha umeme hapo uwanjani kwanini mlinunua? Au mmezuga kuweka hapo la bei rahisi hili hela iliotolewa kwa ajili ya generator lenye uwezo mtie ndani?
Tamaa inatumaliza wa afrika.