The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Malecela, lazima umchukie Lowasa, maana naamini alihusika ktk ile mbinu iliyomnyima ufalme mzee wako, unakumbuka lile tukio la Morogoro?
unakumbuka mama Anne aliporwa kiasi gani alichokuwa anakiwahisha Dodoma, kwa ajili ya kuwahonga NEC wampitishe Malecela Sr? Wewe kizazi cha wafilisi Tanzania unaweza kushika bunduki?
Chuki yako haijaanzia kwako, kwani hata maddam tulimshuhudia akijiita mpinga ufisadi, huku akisahau pesa ya kifisadi aliyopokea toka kwa fisadi papa. Chichidodo
unakumbuka mama Anne aliporwa kiasi gani alichokuwa anakiwahisha Dodoma, kwa ajili ya kuwahonga NEC wampitishe Malecela Sr? Wewe kizazi cha wafilisi Tanzania unaweza kushika bunduki?
Chuki yako haijaanzia kwako, kwani hata maddam tulimshuhudia akijiita mpinga ufisadi, huku akisahau pesa ya kifisadi aliyopokea toka kwa fisadi papa. Chichidodo