The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Ungekuwa na udhubutu ungeanza kumlaani M.kwere, kwa anayoyafanya, huoni migodi inavyochukuliwa holela huku wananchi wazawa wakiuwawa ama kukimbizwa katika ardhi yao wenyewe, ufisadi unaoendelea sasa nao ni Lowassa? madudu ya Ngeleja, Jairo, Luhanjo, Kawambwa, na Mkulo nayo ni Lowassa?
Tutajie CCM alie msafi then tukuletee profile yao, na usisahau Kumuorozesha J. Sr ili tukupe na yeye profile lake
Tutajie CCM alie msafi then tukuletee profile yao, na usisahau Kumuorozesha J. Sr ili tukupe na yeye profile lake