William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
CCM ni lazima ijivue magamba ili kushinda kwa kishindo Mwaka 2015, ni lazima ifike mahali Lowassa na Chenge waondolewe katika nafasi zozote za uongozi wa chama. Lengo la CCM ni lazima liwe ku-invest more in Waheshimiwa kama Januari Makamba, Nape under Supervision ya Wazee kama Sitta, Mwakyembe, na Mwandosya hapa the goal ni kutawala 50 more years.
Kwa sababu by then the Nyerere generation itakuwa imekwisha, tutakua na wananchi wasiomjua Mwalimu kabisaa ndipo for the first time CCM tutaanza kupigania kura kwa jasho, my point ni kwamba CCM for that goal haiwezi kuwekeza kwenye mafisadi kina Lowassa.
CCM ni lazima ijivue kwa sababu kama hawajivui, then Ninawashauri Waheshimiwa Nape na Sitta wajitoe na kuivunja CCM kwa sababu tupo wengi ambao tunalijali hili taifa tutajiunga nao, Lowassa na mihela yake yote hawezi kuanzisha chama cha siasa, he knows that kwamba ni Dead end, na akitoka CCM anajua kwamba CCM haiwezi kuvunjika, lakini for sure 100%, Waheshimiwa Nape na Sitta wakitoka CCM inavunjika vipande, Je Mh. JK yuko radhi kuona CCM inavunjika under his watch? No! So hawa magamba ni lazima waondoke soon as possible or else!
People this is our Nation na saa ya kuhesabiwa ni sasa, hatuwezi kukaa pembeni kuwaachia mafisadi watuamulie the National agenda, kwanza tuliambiwa Rostam hawezi kuguswa cause ana siri nyingi sana za Mkuu wa Kaya, lakini akavuliwa sasa ni wakati muafaka na Lowassa, Chenge na wengine wengi wakavuliwa, we understand the campaign ya Mafisadi kununua watu wengi kila kona ya taifa, ninasema Wenyeviti wote wa CCM Mikoa kuacha Mheshimiwa Makongoro, na Makatibu wao waondolewe na ikibidi wafukuzwe Chama, wote ni compromise wa Lowassa, Wamenunuliwa tayari.
Kuondoka kwa mafisadi wote hakumalizi matatizo yote ya CCM, lakini kunafungua njia ya kujipanga kelekea kwenye utawala wa Respect of the Law!
Lowassa hajatununua wananchi wote, ninawajua a lot of my friends walionunuliwa tayari shame on you, wewe ndugu yangu ninayesikia umenunuliwa na Shillingi Millioni 100 hivi karibuni na kwamba siku hizi unapewa habari za kuandika na Tanzania Daima, I am shocked na ninakuja soon ninataka tukae uso kwa uso uniangaliae usoni uniambie kwamba hii habari sio kweli, ninajua kwamba Wabunge 75% ya Wabunge wa CCM wamenunuliwa tayari wakiongozwa na Kagasheki ambaye hutamba sana bungeni kwamba hakuna wa kumgusa Lowassa, maaan! you are dead wrong!
CCM this is my promise to you, siku Lowassa akipitishwa kugombea Urais nitachukua Bunduki na kuingia msituni and I mean it not in my watch, nilipooona maisha yamekua magumu bongo nilikimbilia Ubaharia, na nilipooona hamsikii vilio vya wananchi nilishiriki kuanzisha kiboko yenu JF, now I am ready kuingia Msituni maana enough is enough!
MUNGU IBARIKI TANZANIA!
William @...NYC,USA: Mutuz Le Baharia!
Kwa sababu by then the Nyerere generation itakuwa imekwisha, tutakua na wananchi wasiomjua Mwalimu kabisaa ndipo for the first time CCM tutaanza kupigania kura kwa jasho, my point ni kwamba CCM for that goal haiwezi kuwekeza kwenye mafisadi kina Lowassa.
CCM ni lazima ijivue kwa sababu kama hawajivui, then Ninawashauri Waheshimiwa Nape na Sitta wajitoe na kuivunja CCM kwa sababu tupo wengi ambao tunalijali hili taifa tutajiunga nao, Lowassa na mihela yake yote hawezi kuanzisha chama cha siasa, he knows that kwamba ni Dead end, na akitoka CCM anajua kwamba CCM haiwezi kuvunjika, lakini for sure 100%, Waheshimiwa Nape na Sitta wakitoka CCM inavunjika vipande, Je Mh. JK yuko radhi kuona CCM inavunjika under his watch? No! So hawa magamba ni lazima waondoke soon as possible or else!
People this is our Nation na saa ya kuhesabiwa ni sasa, hatuwezi kukaa pembeni kuwaachia mafisadi watuamulie the National agenda, kwanza tuliambiwa Rostam hawezi kuguswa cause ana siri nyingi sana za Mkuu wa Kaya, lakini akavuliwa sasa ni wakati muafaka na Lowassa, Chenge na wengine wengi wakavuliwa, we understand the campaign ya Mafisadi kununua watu wengi kila kona ya taifa, ninasema Wenyeviti wote wa CCM Mikoa kuacha Mheshimiwa Makongoro, na Makatibu wao waondolewe na ikibidi wafukuzwe Chama, wote ni compromise wa Lowassa, Wamenunuliwa tayari.
Kuondoka kwa mafisadi wote hakumalizi matatizo yote ya CCM, lakini kunafungua njia ya kujipanga kelekea kwenye utawala wa Respect of the Law!
Lowassa hajatununua wananchi wote, ninawajua a lot of my friends walionunuliwa tayari shame on you, wewe ndugu yangu ninayesikia umenunuliwa na Shillingi Millioni 100 hivi karibuni na kwamba siku hizi unapewa habari za kuandika na Tanzania Daima, I am shocked na ninakuja soon ninataka tukae uso kwa uso uniangaliae usoni uniambie kwamba hii habari sio kweli, ninajua kwamba Wabunge 75% ya Wabunge wa CCM wamenunuliwa tayari wakiongozwa na Kagasheki ambaye hutamba sana bungeni kwamba hakuna wa kumgusa Lowassa, maaan! you are dead wrong!
CCM this is my promise to you, siku Lowassa akipitishwa kugombea Urais nitachukua Bunduki na kuingia msituni and I mean it not in my watch, nilipooona maisha yamekua magumu bongo nilikimbilia Ubaharia, na nilipooona hamsikii vilio vya wananchi nilishiriki kuanzisha kiboko yenu JF, now I am ready kuingia Msituni maana enough is enough!
MUNGU IBARIKI TANZANIA!
William @...NYC,USA: Mutuz Le Baharia!