Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,927
- 94,353
Pete mbona zimejaa kwa masonara, kama huo ndio msimamo wako jifikirie mara mbili, ni afadhali mtu asiepropose ndoa kuliko msanii anaekuingilia kwa gia ya kukuoa.Ni kama vile wanatufanyia Interview! hapo hujanipata. Hayo nitafanya ukinivisha pete wangu. kama inakushindaa
kwaheri
Utavimba bichwa kwa kuvalishwa pete kumbe kuna wenzako 6 nao wameshavalishwa pete, jamaa atajilia mzigo kwa ulaini akitosheka anakuachia manyoya. wake up usiwe mjinga.