Mtu yoyote aliyewahi kuishi na mwanamke/mwanaume na kuunda familia Hawezi kuwekwa katika Kundi la Kataa Ndoa

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,340
51,900
Kwema Wakuu!

Vijana wa siku hizi wamechanganyikiwa mno. Hata vitu vidogovidogo kama maana ya maneno au dhana hawajui. Mathalani, Neno "Ndoa".

Kuishi na mwanamke au mwanaume kiunyumba kwa lengo la kuunda familia ndio tafsiri sahihi ya Ndoa. Ndoa ni makubaliano ya mwanaume na mwanamke kuishi pamoja katika kuunda familia. Hiyo ni ndoa. Nature inatambua hivyo.

Ndoa haihitaji ruhusa ya Wazazi, sijui taasisi ya dini gani huko, sijui serikali. Yaani serikali inaweza isiwepo lakini ndoa ikawepo, wazazi wanaweza wasiwepo lakini ndoa ikawepo, taasisi za dini zinaweza zisiwepo lakini Ndoa ikawepo. Hiyo tosha inatakiwa ikuonyeshe kuwa Maamuzi na makubaliano ya wawili(me na ke) ndio independent Factor. Hizo zingine ni dependent Factors.

Wengi hufikiri kuwa Ndoa ni kuchukua mwenza kumpeleka kwa wazazi, sijui kutoa mahari, sijui kwenda msikitini sijui Kanisani au serikalini ati huko ndio kufunga Ndoa. Jambo ambalo sio sahihi.

Wewe ukishaishi na Mwanamke au mwanaume pamoja, kwa lengo la kushiriki kuunda familia na kampani katika maisha hiyo tayari ni NDOA.
Haupo kwenye kundi la watu wanaokataa Ndoa.

Sheria za ndoa, mila na taratibu za kiutamaduni zilizowekwa kwenye ndoa zipo kwaajili ya kuzuia Uonevu, dhulma na uminywaji wa haki miongoni mwa wanandoa ambao tayari wamekwisha kuoana hata bila kuhusisha wazazi, taasisi za Dini, na serikali.

Wazazi, Taasisi za dini na serikali hazina haki ya kuingilia mambo ya familia yako isipokuwa tuu ikiwa kuna uhalifu, dhulma inafanyika.
Kisiasa na kiutawala Ndoa ni smallest Unit ya Mamlaka na Utawala. Ni kama Seli ya mwili kwa kiumbe hai.

Kuipinga Ndoa kwa viumbe wenye utashi haitawezekana kwa sababu itatafsiriwa kama Kupinga Mamlaka za kisiasa za juu kama Serikali.

Huwezi ongoza taifa ambalo robo tatu ya Watu ni wakataa Ndoa. Hiyo haiwezekaniki. Ni kama kuongoza taifa la mashetani ambalo mara kwa mara mapinduzi, tamaa mbaya, uchafu utakuwa ndio mila na desturi.

Ndoa ni familia, familia ndio msingi mkuu wa taifa na Dunia.

Wapinga ndoa wanahaki ikiwa watakuwa ni éxceptional na wachache. Lakini kupiga kampeni Watu wakatae Ndoa ni sawa na kupiga kampeni Duniani kusiwe na serikali yaani Watu waishi vyovyote watakavyo. Yaani Tanzania serikali ifutwe, Kenya na Dunia nzima kusiwe na serikali. Unafikiri nini kitatokea?

Moja ya mambo yanayowatofautisha binadamu na wanyama wengine ni pamoja na Ndoa.

Kama mwanadamu akipinga ndoa atazidi kufanana na wanyama wengine kama Mbwa, Paka, na wanyama wengine wasio na mfumo wa kifamilia. Na hii itafanya mwanadamu asitawalike na tabia zingine chafu na mbaya zitazidi kuibuka.

Unazaa watoto kama Mbwa alafu hujui wanaishije, wanalelewaje, lakini ndani ya ndoa lazima ujue wanaishije na wanalelewaje kwa sababu nawe utakuwa mhusika wa kujenga kizazi chako.

Kutuma pesa sio Malezi. Huwezi sema umemlea mtoto kisa ulikuwa unatuma pesa. Malezi yanahusu ushiriki wa moja kwa moja kwa mzazi kwa mtoto wake.

Mtoto akikaa kwa Bibi au kwa Mamaake au kwa Babaake alafu wewe ukawa unatuma pesa za matumizi. Haiwezi kutajwa kuwa Mtoto huyo Ulimlea.
Kuishi na mtoto ndio kumlea mtoto na hakuna tafsiri zaidi ya hiyo.
Kutuma matumizi ya mtoto haiwezi kutafsiriwa kama kufanya malezi.

Vijana, kampeni ya Kukataa ndoa haiwezi kuwa kwa mtu mwenye utimamu wa Akili. Ni aidha kuna athari za kisaikolojia au Historia mbaya kwa mtu husika.

Utapeli kwenye mapenzi upo.
Ubinafsi kwenye mapenzi na ndoa upo.
Unyanyasaji na ukatili kwenye ndoa unaweza kuwepo.
Lakini nani mwenye wajibu wa kupambana kukabiliana na mambo hayo kama sio wewe?

Jukumu lako kama mwanaume au mwanamke ni kusimamisha serikali yako(familia yako). Jukumu lako kama mwanadamu ni kutawala. Utawala unaanzia kwenye kizazi chako kisha mazingira na jamii.

Yaani upo serikalini ati unakataa serikali kisa ati kuna Waasi, sijui magaidi, sijui Watu wanaotaka kukupindua, sijui wala rushwa na wanaokuhujumu. Wewe utakuwa na akili kweli.

Kama mtawala(mfano wa Mungu) ni jukumu lako kupambana na kuhakikisha kizazi chako kinakuwa bora na kizazi bora hutoka kwenye familia BORA (mke na mume) na sio nje ya hapo.

Muhimu, unapaswa uwe makini katika kuchagua mwenza wa maisha ambaye utaenda kuanzisha nayè familia(serikali yenu).

Dhamiri ya kile kinachokufanya uchague mke au mume na vigezo ulivyoviweka ndio vitaamua serikali yako(familià yako) itakavyokuwa.

Ndoa na mapenzi sio Pesa. Hilo liweke Akili kabisa. Ukishaingiza mtazamo kuwa ndoa au mahusiano ni pesa jua kabisa wewe ni Tapeli na mbinafsi kabla hata ya huyo mwenza unayemtafuta.
Kwenye utawala au mamlaka pesa hutafutwa. Lakini uaminifu, upendo, haki uadilifu, umoja, kujitoa ndio misingi ya Utawala ikiwemo familia.

Acha Nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Kupitia uzi huu nimeelewa kwamba,
Wanaume kataa ndoa ni wanaume wa hovyo wasiojiamini kukabiliana na majukumu(hawajakamilika kuitwa wanaume)

Sasa sijui mwanaume asiyekamilika kwenye uanaume wake tunamuitaje, inabidi apate jina Lake maana kwenye uanaume hayupo, yupo hapa katikati anaelea
 
Kupitia uzi huu nimeelewa kwamba,
Wanaume kataa ndoa ni wanaume wa hovyo wasiojiamini kukabiliana na majukumu(hawajakamilika kuitwa wanaume)

Sasa sijui mwanaume asiyekamilika kwenye uanaume wake tunamuitaje, inabidi apate jina Lake maana kwenye uanaume hayupo, yupo hapa katikati anaelea

Mwanaume kiasili ni mtawala.
Sasa fikiria ati Rais hataki utawala kisa kuna Waasi, wapindua nchi, magaidi n.k.


Hivyo ni vitu vya kawaida katika kuongoza na kutawala jambo lolote
 
Hi tafsiri iko sahi
Kwema Wakuu!

Vijana wa siku hizi wamechanganyikiwa mno. Hata vitu vidogovidogo kama maana ya maneno au dhana hawajui. Mathalani, Neno "Ndoa".

Kuishi na mwanamke au mwanaume kiunyumba kwa lengo la kuunda familia ndio tafsiri sahihi ya Ndoa. Ndoa ni makubaliano ya mwanaume na mwanamke kuishi pamoja katika kuunda familia. Hiyo ni ndoa. Nature inatambua hivyo.

Ndoa haihitaji ruhusa ya Wazazi, sijui taasisi ya dini gani huko, sijui serikali. Yaani serikali inaweza isiwepo lakini ndoa ikawepo, wazazi wanaweza wasiwepo lakini ndoa ikawepo, taasisi za dini zinaweza zisiwepo lakini Ndoa ikawepo. Hiyo tosha inatakiwa ikuonyeshe kuwa Maamuzi na makubaliano ya wawili(me na ke) ndio independent Factor. Hizo zingine ni dependent Factors.

Wengi hufikiri kuwa Ndoa ni kuchukua mwenza kumpeleka kwa wazazi, sijui kutoa mahari, sijui kwenda msikitini sijui Kanisani au serikalini ati huko ndio kufunga Ndoa. Jambo ambalo sio sahihi.

Wewe ukishaishi na Mwanamke au mwanaume pamoja, kwa lengo la kushiriki kuunda familia na kampani katika maisha hiyo tayari ni NDOA.
Haupo kwenye kundi la watu wanaokataa Ndoa.

Sheria za ndoa, mila na taratibu za kiutamaduni zilizowekwa kwenye ndoa zipo kwaajili ya kuzuia Uonevu, dhulma na uminywaji wa haki miongoni mwa wanandoa ambao tayari wamekwisha kuoana hata bila kuhusisha wazazi, taasisi za Dini, na serikali.

Wazazi, Taasisi za dini na serikali hazina haki ya kuingilia mambo ya familia yako isipokuwa tuu ikiwa kuna uhalifu, dhulma inafanyika.
Kisiasa na kiutawala Ndoa ni smallest Unit ya Mamlaka na Utawala. Ni kama Seli ya mwili kwa kiumbe hai.

Kuipinga Ndoa kwa viumbe wenye utashi haitawezekana kwa sababu itatafsiriwa kama Kupinga Mamlaka za kisiasa za juu kama Serikali.

Huwezi ongoza taifa ambalo robo tatu ya Watu ni wakataa Ndoa. Hiyo haiwezekaniki. Ni kama kuongoza taifa la mashetani ambalo mara kwa mara mapinduzi, tamaa mbaya, uchafu utakuwa ndio mila na desturi.

Ndoa ni familia, familia ndio msingi mkuu wa taifa na Dunia.

Wapinga ndoa wanahaki ikiwa watakuwa ni éxceptional na wachache. Lakini kupiga kampeni Watu wakatae Ndoa ni sawa na kupiga kampeni Duniani kusiwe na serikali yaani Watu waishi vyovyote watakavyo. Yaani Tanzania serikali ifutwe, Kenya na Dunia nzima kusiwe na serikali. Unafikiri nini kitatokea?

Moja ya mambo yanayowatofautisha binadamu na wanyama wengine ni pamoja na Ndoa.

Kama mwanadamu akipinga ndoa atazidi kufanana na wanyama wengine kama Mbwa, Paka, na wanyama wengine wasio na mfumo wa kifamilia. Na hii itafanya mwanadamu asitawalike na tabia zingine chafu na mbaya zitazidi kuibuka.

Unazaa watoto kama Mbwa alafu hujui wanaishije, wanalelewaje, lakini ndani ya ndoa lazima ujue wanaishije na wanalelewaje kwa sababu nawe utakuwa mhusika wa kujenga kizazi chako.

Kutuma pesa sio Malezi. Huwezi sema umemlea mtoto kisa ulikuwa unatuma pesa. Malezi yanahusu ushiriki wa moja kwa moja kwa mzazi kwa mtoto wake.

Mtoto akikaa kwa Bibi au kwa Mamaake au kwa Babaake alafu wewe ukawa unatuma pesa za matumizi. Haiwezi kutajwa kuwa Mtoto huyo Ulimlea.
Kuishi na mtoto ndio kumlea mtoto na hakuna tafsiri zaidi ya hiyo.
Kutuma matumizi ya mtoto haiwezi kutafsiriwa kama kufanya malezi.

Vijana, kampeni ya Kukataa ndoa haiwezi kuwa kwa mtu mwenye utimamu wa Akili. Ni aidha kuna athari za kisaikolojia au Historia mbaya kwa mtu husika.

Utapeli kwenye mapenzi upo.
Ubinafsi kwenye mapenzi na ndoa upo.
Unyanyasaji na ukatili kwenye ndoa unaweza kuwepo.
Lakini nani mwenye wajibu wa kupambana kukabiliana na mambo hayo kama sio wewe?

Jukumu lako kama mwanaume au mwanamke ni kusimamisha serikali yako(familia yako). Jukumu lako kama mwanadamu ni kutawala. Utawala unaanzia kwenye kizazi chako kisha mazingira na jamii.

Yaani upo serikalini ati unakataa serikali kisa ati kuna Waasi, sijui magaidi, sijui Watu wanaotaka kukupindua, sijui wala rushwa na wanaokuhujumu. Wewe utakuwa na akili kweli.

Kama mtawala(mfano wa Mungu) ni jukumu lako kupambana na kuhakikisha kizazi chako kinakuwa bora na kizazi bora hutoka kwenye familia BORA (mke na mume) na sio nje ya hapo.

Muhimu, unapaswa uwe makini katika kuchagua mwenza wa maisha ambaye utaenda kuanzisha nayè familia(serikali yenu).

Dhamiri ya kile kinachokufanya uchague mke au mume na vigezo ulivyoviweka ndio vitaamua serikali yako(familià yako) itakavyokuwa.

Ndoa na mapenzi sio Pesa. Hilo liweke Akili kabisa. Ukishaingiza mtazamo kuwa ndoa au mahusiano ni pesa jua kabisa wewe ni Tapeli na mbinafsi kabla hata ya huyo mwenza unayemtafuta.
Kwenye utawala au mamlaka pesa hutafutwa. Lakini uaminifu, upendo, haki uadilifu, umoja, kujitoa ndio misingi ya Utawala ikiwemo familia.

Acha Nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Hii tafsiri iko sahihi, ila mtoto wa kike wa siku hizi huwezi mwambia kitu kama hicho akakubali. Wanawake wa siku hizi, tafsiri ya ndoa kwao ni sherehe.
 
Kwema Wakuu!

Vijana wa siku hizi wamechanganyikiwa mno. Hata vitu vidogovidogo kama maana ya maneno au dhana hawajui. Mathalani, Neno "Ndoa".

Kuishi na mwanamke au mwanaume kiunyumba kwa lengo la kuunda familia ndio tafsiri sahihi ya Ndoa. Ndoa ni makubaliano ya mwanaume na mwanamke kuishi pamoja katika kuunda familia. Hiyo ni ndoa. Nature inatambua hivyo.

Ndoa haihitaji ruhusa ya Wazazi, sijui taasisi ya dini gani huko, sijui serikali. Yaani serikali inaweza isiwepo lakini ndoa ikawepo, wazazi wanaweza wasiwepo lakini ndoa ikawepo, taasisi za dini zinaweza zisiwepo lakini Ndoa ikawepo. Hiyo tosha inatakiwa ikuonyeshe kuwa Maamuzi na makubaliano ya wawili(me na ke) ndio independent Factor. Hizo zingine ni dependent Factors.

Wengi hufikiri kuwa Ndoa ni kuchukua mwenza kumpeleka kwa wazazi, sijui kutoa mahari, sijui kwenda msikitini sijui Kanisani au serikalini ati huko ndio kufunga Ndoa. Jambo ambalo sio sahihi.

Wewe ukishaishi na Mwanamke au mwanaume pamoja, kwa lengo la kushiriki kuunda familia na kampani katika maisha hiyo tayari ni NDOA.
Haupo kwenye kundi la watu wanaokataa Ndoa.

Sheria za ndoa, mila na taratibu za kiutamaduni zilizowekwa kwenye ndoa zipo kwaajili ya kuzuia Uonevu, dhulma na uminywaji wa haki miongoni mwa wanandoa ambao tayari wamekwisha kuoana hata bila kuhusisha wazazi, taasisi za Dini, na serikali.

Wazazi, Taasisi za dini na serikali hazina haki ya kuingilia mambo ya familia yako isipokuwa tuu ikiwa kuna uhalifu, dhulma inafanyika.
Kisiasa na kiutawala Ndoa ni smallest Unit ya Mamlaka na Utawala. Ni kama Seli ya mwili kwa kiumbe hai.

Kuipinga Ndoa kwa viumbe wenye utashi haitawezekana kwa sababu itatafsiriwa kama Kupinga Mamlaka za kisiasa za juu kama Serikali.

Huwezi ongoza taifa ambalo robo tatu ya Watu ni wakataa Ndoa. Hiyo haiwezekaniki. Ni kama kuongoza taifa la mashetani ambalo mara kwa mara mapinduzi, tamaa mbaya, uchafu utakuwa ndio mila na desturi.

Ndoa ni familia, familia ndio msingi mkuu wa taifa na Dunia.

Wapinga ndoa wanahaki ikiwa watakuwa ni éxceptional na wachache. Lakini kupiga kampeni Watu wakatae Ndoa ni sawa na kupiga kampeni Duniani kusiwe na serikali yaani Watu waishi vyovyote watakavyo. Yaani Tanzania serikali ifutwe, Kenya na Dunia nzima kusiwe na serikali. Unafikiri nini kitatokea?

Moja ya mambo yanayowatofautisha binadamu na wanyama wengine ni pamoja na Ndoa.

Kama mwanadamu akipinga ndoa atazidi kufanana na wanyama wengine kama Mbwa, Paka, na wanyama wengine wasio na mfumo wa kifamilia. Na hii itafanya mwanadamu asitawalike na tabia zingine chafu na mbaya zitazidi kuibuka.

Unazaa watoto kama Mbwa alafu hujui wanaishije, wanalelewaje, lakini ndani ya ndoa lazima ujue wanaishije na wanalelewaje kwa sababu nawe utakuwa mhusika wa kujenga kizazi chako.

Kutuma pesa sio Malezi. Huwezi sema umemlea mtoto kisa ulikuwa unatuma pesa. Malezi yanahusu ushiriki wa moja kwa moja kwa mzazi kwa mtoto wake.

Mtoto akikaa kwa Bibi au kwa Mamaake au kwa Babaake alafu wewe ukawa unatuma pesa za matumizi. Haiwezi kutajwa kuwa Mtoto huyo Ulimlea.
Kuishi na mtoto ndio kumlea mtoto na hakuna tafsiri zaidi ya hiyo.
Kutuma matumizi ya mtoto haiwezi kutafsiriwa kama kufanya malezi.

Vijana, kampeni ya Kukataa ndoa haiwezi kuwa kwa mtu mwenye utimamu wa Akili. Ni aidha kuna athari za kisaikolojia au Historia mbaya kwa mtu husika.

Utapeli kwenye mapenzi upo.
Ubinafsi kwenye mapenzi na ndoa upo.
Unyanyasaji na ukatili kwenye ndoa unaweza kuwepo.
Lakini nani mwenye wajibu wa kupambana kukabiliana na mambo hayo kama sio wewe?

Jukumu lako kama mwanaume au mwanamke ni kusimamisha serikali yako(familia yako). Jukumu lako kama mwanadamu ni kutawala. Utawala unaanzia kwenye kizazi chako kisha mazingira na jamii.

Yaani upo serikalini ati unakataa serikali kisa ati kuna Waasi, sijui magaidi, sijui Watu wanaotaka kukupindua, sijui wala rushwa na wanaokuhujumu. Wewe utakuwa na akili kweli.

Kama mtawala(mfano wa Mungu) ni jukumu lako kupambana na kuhakikisha kizazi chako kinakuwa bora na kizazi bora hutoka kwenye familia BORA (mke na mume) na sio nje ya hapo.

Muhimu, unapaswa uwe makini katika kuchagua mwenza wa maisha ambaye utaenda kuanzisha nayè familia(serikali yenu).

Dhamiri ya kile kinachokufanya uchague mke au mume na vigezo ulivyoviweka ndio vitaamua serikali yako(familià yako) itakavyokuwa.

Ndoa na mapenzi sio Pesa. Hilo liweke Akili kabisa. Ukishaingiza mtazamo kuwa ndoa au mahusiano ni pesa jua kabisa wewe ni Tapeli na mbinafsi kabla hata ya huyo mwenza unayemtafuta.
Kwenye utawala au mamlaka pesa hutafutwa. Lakini uaminifu, upendo, haki uadilifu, umoja, kujitoa ndio misingi ya Utawala ikiwemo familia.

Acha Nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Taikon kama taikon.

Kinachopingwa kwenye hizi ndoa za kisasa ni utapeli unaofanywa ima ni kwa mwanaume au mwanamke na mwenza wake.

Rate ya ndoa kuvunjika ni kubwa sana kutokana na mfumo wa sasa.

KATAA NDOA NI KAMPENI HURU.

IMA UIKUBALI AU UIKATAE LAKINI INA UKWELI NDANI YAKE
 
Kupitia uzi huu nimeelewa kwamba,
Wanaume kataa ndoa ni wanaume wa hovyo wasiojiamini kukabiliana na majukumu(hawajakamilika kuitwa wanaume)

Sasa sijui mwanaume asiyekamilika kwenye uanaume wake tunamuitaje, inabidi apate jina Lake maana kwenye uanaume hayupo, yupo hapa katikati anaelea
KATAA NDOA NI KAMPENI INAYOENDESHWA KWA UHURU
SI NA WANAUME TU BALI HATA WANAWAKE.

MADHUMUNI MAKUBWA NI KUPINGA UTAPELI UNAOFANYIKA KWA KIGEZO CHA MKATABA WA NDOA.

UKIPINGA PINGA KWA HOJA.
 
Taikon kama taikon.

Kinachopingwa kwenye hizi ndoa za kisasa ni utapeli unaofanywa ima ni kwa mwanaume au mwanamke na mwenza wake.

Rate ya ndoa kuvunjika ni kubwa sana kutokana na mfumo wa sasa.

KATAA NDOA NI KAMPENI HURU.

IMA UIKUBALI AU UIKATAE LAKINI INA UKWELI NDANI YAKE

Huwezi kukataa ndoa
Kataa utapeli kwenye ndoa. Au kataa hfulma kwenye Ndoa. Hiyo imekaa sawa.

Alafu kingine utapeli katika ndoa huanzia katika hatua za awali kabisa.
Kitendo cha kusema kuna mmoja anatakiwa sijui kumpenda mwingine zaidi na mwingine kumtii mwingine zaidi huo ndio utapeli wenyewé.

Kanuni ya ndoa(upendo) ni kile ambacho hutaki kufanyiwa usimfanyie mwenzako. Na kile ambacho unapenda ufanyiwe basi mfanyie mwenzako.
 
Back
Top Bottom