Wrevta
JF-Expert Member
- Jan 18, 2023
- 1,440
- 1,720
Beesmom unaniliza kwa maneno yako hayaNazidi kuwa maskini afu nguvu nyingi natumia kupambania watoto ambao daily wazazi wao wanatudharau
Beesmom unaniliza kwa maneno yako hayaNazidi kuwa maskini afu nguvu nyingi natumia kupambania watoto ambao daily wazazi wao wanatudharau
Ndo ivo mkuuBeesmom unaniliza kwa maneno yako haya
Ualim kwel ni wito maana sii kwa kuchanganyikiwa uko, mpka unaamua kucoment mwenyewe kwenye uzi wako hii hatari
Hayo maneno tuKila sku mpwayungu village anaipambania hii Kada Ila watu wanamdisi , kiukweli ualimu mi kujitakia umaskini wa kutupwa , wachache Sana wanaomake , labda upangiwe mjini na kichwa kiwe kinazunguka hasa , vinginevyo ni kusubiri tuu pension katika umri wa kufunga mahesabu
Utakuwa mke wa mpwayungu village wewe lazima.Wengi wa watendaji viongozi ni wachumia tumbo na manamba Ili waendelee kula
Mungu akutangulie mama na usije kuterekaNdo ivo mkuu
Barikiwa sana babaMungu akutangulie mama na usije kutereka
Acha unaa basi!Wanaosimamia maisha ya watu wameidharau Sana.
Wanatarajia watoto watendewe nini Kwa kutekeleza watendaji wake, hasa walimu. Fikiria Walimu Wakuu wanapata posho kwa kazi anazozifanya mwalimu wa kawaida. Ni kama utumwa.
Mratibu Elimu kata anapata posho ya kazi ipi wkat anayeteseka na Kaz ni mwalimu wa kawaida. Kuna watu huwaambiii kitu Ili waendelee kula.
Nimuombe Rais Mh Mama ufanye kitu
Piga kazi acha Longo longo😁Wanaosimamia maisha ya watu wameidharau Sana.
Wanatarajia watoto watendewe nini Kwa kutekeleza watendaji wake, hasa walimu. Fikiria Walimu Wakuu wanapata posho kwa kazi anazozifanya mwalimu wa kawaida. Ni kama utumwa.
Mratibu Elimu kata anapata posho ya kazi ipi wkat anayeteseka na Kaz ni mwalimu wa kawaida. Kuna watu huwaambiii kitu Ili waendelee kula.
Nimuombe Rais Mh Mama ufanye kitu